Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Sura 5:83 mbona imeshajibu vizuri kila siku tunakujibu hili jambo lakini wewe ni kilaza hiyo sura 5:82-83 ndio kuna muarobaini wako ahahahahaaaahaaaaaaha , Aya ya 83 WAKRISTO wenzako wanachururika machozi kwa kuijua Haki . unadonoa maandiko ahahahajajjjajjajajjajajaja
Kuhusu jahanamu kila siku nakujibu lakini uelewi
QURAN 85:10
"Hakika walio wafitini waumini wanaume na waumini wanawake, kisha hawakutubia , basi watapata adhabu ya Jahanamu na watapata adhabu ya kuungua.
11" hakika WALIOAMINI na WAKATENDA mema watapata bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huku ndiko kufuzu kukubwa",

Ahahahahaahahaahaha endelea kufitini waumini Ahahahhhahahahahahaha
 
Q. Was Alexander the great a Prophet?.
True or False?


EVIL PHARISEE PAUL ADMITS HE IS A LIAR

Romans 3:7 "If the truth of God has been spread by my lie, then why am I judged a sinner."

Fans of the self-proclaimed 13th apostle of Jesus Christ, Pharisee Paul/Saul of Tarsus - well there is your beloved Master admitting he is a liar. Who is he admitting his lie to?
The Jews.

Romans 2 -the entire discourse is between the evil Pharisee Paul and Jews who follow God's written commandments.

While there is not recorded in Romans 2 the Jews' responses to Pharisee Paul, it is evident that the Jews of God won the intellectual argument with the man of Satan, Pharisee Paul.

The wimpy child of Hell breaks down and admits he is spreading a lie. And what is that lie?

Well, the miserable creature of Hell runs around to the Gentiles screaming: don't you Gentiles dare follow God's written commandments, don't you dare follow the written commandments of your Creator, the Creator of the World!

Pharisee Paul, the freak of Hell, puts forth the following specious argument in defense of his claim that Gentiles are not to follow God's written commandments:

well, you teach do not steal, do you steal; you teach do not commit adultery, do you commit adultery?

Romans 2:23 "You say a man should not commit adultery, but do you commit adultery...."

Right back at you, moron Pharisee Paul - for you teach a 'Spirit doctrine' and claim that by following same, one becomes free from fulfilling evil in their flesh:

Galatians 5:16 "Walk in the spirit and you will not fulfill the lusts of the flesh."

Romans 8:2 "[we are under] the law of the Spirit of life in Jesus Christ ...."

and under said law ,

Romans 8:5 "... those who live for the Spirit, do those things of the Spirit."

Sweet, sounds lovely -- Live in the spirit, not in the flesh and then you will do nothing but good deeds in your flesh.

Great, Pharisee Paul. Now let's examine how your doctrine plays out in reality:

Romans 7:17 "I want to do good but I cannot do good. I do evil even though I do not want to do evil."

As I suspected, the Spirit doctrine is a lie from a child of Hell, Pharisee Paul.

Pharisee Paul's Spirit doctrine does not pan out! Paul himself cannot achieve the results (good deeds) that he claims come from following his Spirit doctrine!

So Pharisee Paul, you think you are a great instructor for the blind, a light to those in darkness.

You say: follow my Spirit doctrine and you will not do evil in your flesh. Yet, the moronic Pharisee says he serves evil (sin) with his flesh -- that is he goes around doing evil deeds. His feet hurry off to do evil!

Romans 7:25 "... I serve the law of sin with my flesh."

Again, in the intellectual battle between Pharisee Paul and the true Jews of God in Romans 2, the Jews of God win and the miserable punk Pharisee admits he is spreading a lie - that lie of the evil Pharisee is that Gentiles are not to follow God's written commandments.

King David sinned by committing adultery and murder. David knew Uriah's wife and then had him killed in battle. Does that mean King David can never instruct people or himself from the written Law of God ever again? Of course not! But the evil creature Pharisee Paul made an argument along those lines as to why God's creatures are not to follow God's written commandments. And that same argument can be used against following Pharisee Paul's Spirit doctrine - for Pharisee Paul says follow his Spirit doctrine and you will not do evil deeds in your flesh and yet he says he does nothing but evil deeds with his body and does not know how to do good with his body.

Paul's argument why to not follow God's written commandments: you teach do not steal, do you steal. Okay, evil Pharisee Paul - you teach: follow my Spirit doctrine and you will do good deeds in your flesh but you, Pharisee Paul say you do nothing but serve evil (sin) with your flesh!

The true Jews of God won the intellectual battle with Pharisee Paul. Read it again and rejoice at the truth, or be a lowly worm and continue to love your master Pharisee Paul:

Romans 3:7 "If my lie is spreading the truth of God why am I judged a sinner."

Now a word of advice from the true apostle of Jesus - John:

3 John 1:11 "... He that does good is of God; he that does evil has not seen God."

So do you want to follow John, a true apostle of Jesus, or obey a Pharisee? Do not be a suckered and duped Gentile by continuing to follow a Pharisee! Furthermore, you hate Jesus if you continue to follow a liar and a man who does evil -- that's Pharisee Paul, the self-proclaimed 13th apostle of Jesus for the Gentiles!

Revelation 22:15 "... lovers and makers of lies have their place in hell."

Pharisee Paul is a maker and lover of lies. He goes to hell, just as all Pharisees and their converts - Matthew 23:15, 23:33! You who quote Pharisee Paul, who quote his gospel as if the very words of Jesus himself - you are now without excuse before God at the time of judgment should you continue to spread the lies of Pharisee Paul. By the way, the idiot Pharisee Paul contradicts himself yet again:


Romans 9:1 "I speak the truth in Christ, I lie not ...."

Romans 3:7 "If the truth of God is being spread by my lie ...."

And the man of Satan instructs Gentiles:

Colossians 3:9 "Do not lie to one another ...."

Jesus is not lying when he says Pharisees are hypocrites! Jesus is not lying when he says Pharisees are children of Hell!
 
You can understand Paul 100% than reading even one page of Qur'an. such a boring book. You can not find plural when allah talking to moses and Jews and Torah. And they say it is the same God. What a lie?!!
 
Hoja ya msingi Kuhusu jua kuzama katika matope , ilishajibiwa andiko liko wazi ni dhul Qarnaini ndio aliona jua likizama katika matope upeo wa macho yake. huu mjadala ulifungwa ndio maana mtoa mada alishindwa kutetea hoja yake akaingia mitini Ahahaahahaaaaha kwa sababu alikurupuka
UMETOA HADITHI KADHAA UKAULIZA
1. Kwanini mtume asiwasamehe akawatoboa macho ?
JIBU : Kwanini Mungu aliangamiza watu wa Nuhu asiwasamehe?, watu wa sodoma asiwasamehe?, kizazi cha kwanza cha wamisri kuanzia watu mpaka wanyama asiwasamehe?
Kwanini Musa alitoa amri ya kuuliwa watu asiwasamehe?
HESABU 31:17
" Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao WATOTO ,na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.

Ukishapata majibu ya hapo utaelewa kuwa sio kila mara mkosaji huwa anasamehewa

2. Kama ni mtume wa Mungu kwanini hakujua hao watu wangeua wachungaji wake?
JIBU: hawezi jua kila kitu kwasababu yeye ni mtu , SASA kama Mungu wako AKUJUA kama SAULI angekataa neno lake unafikir angemfanya kuwa mfalme wa waisrael? Ahahahahhaah Msikilize Mungu wako ANAVYOJUTA kwa kumfanya SAULI mfalme maana amekataa kabisa kusikiliza neno lake
1 SAMUEL 15:9-10
9" Ndipo neno la Bwana likamjia SAMWEL , Kusema
10" NAJUTA kwa sababu NIMEMTAWAZA Sauli awe mfalme ; maana amerudi nyuma, asinifuate , wala hakufanya nilivyomuamuru, SAMWEL akasikitika akamlilia Bwana usiku kucha";

Ahahahahaahahaahaha kwanini Mungu wako AJUTE ? hakujua kama Sauli atarudi nyuma . Sasa badala ya Kushangaa Mungu wako kutojua kuwa Sauli atarudi nyuma, wewe kwa sababu una akili fupi unashangaa mwanadamu kutokujua jambo ahahaahahhahah ahahhaahhaahahahah kasome upyaa uje hapa
 
You can understand Paul 100% than reading even one page of Qur'an. such a boring book. You can not find plural when allah talking to moses and Jews and Torah. And they say it is the same God. What a lie?!!



2 Corinthians 12:16
said:
But be it so, I did not burden you: nevertheless, being crafty, I caught you with guile.​
1 Corinthians 9:19-22 said:
For though I be free from all [men], yet have I made myself servant unto all, that I might gain the more. And unto the Jews I became as a Jew, that I might gain the Jews; to them that are under the law, as under the law, that I might gain them that are under the law; To them that are without law, as without law, (being not without law to God, but under the law to Christ,) that I might gain them that are without law. To the weak became I as weak, that I might gain the weak: I am made all things to all [men], that I might by all means save some.​
Romans 3:7 said:
For if the truth of God hath more abounded through my lie unto his glory; why yet am I also judged as a sinner?​
Also, look at the three narratives of his conversion experience in Acts 9:3-7, Acts 22:6-10, and Acts 26:12-20.

There are contradictions in these three narratives. Even the great western saint Jerome said of Paul:

Jerome said:
"I will only mention the Apostle Paul. ... He, then, if anyone, ought to be calumniated; we should speak thus to him: ‘The proofs which you have used against the Jews and against other heretics bear a different meaning in their own contexts to that which they bear in your Epistles.

We see passages taken captive by your pen and pressed into service to win you a victory, which in volumes from which they are taken have no controversial bearing at all ... the line so often adopted by strong men in controversy – of justifying the means by the result."​
So, how can we trust one who admits to using deceit, and not only that, but even those who followed his words and teachings admitted he did so? Can we really trust the letters of Paul to support any kind of spirituality if this is the case? And not only that, but later church fathers followed his lead, in finding great use for deception and lying, as long as they gained things for their god:

Clement of Alexandria said:
"Not all true things are the truth, nor should that truth which merely seems true according to human opinions be preferred to the true truth, that according to the faith."​
So, in Clements opinion, even if something is true, if it contradicts their faith, it's not to be regarded as true.

John Chrysostom said:
"Do you see the advantage of deceit? ...

For great is the value of deceit, provided it be not introduced with a mischievous intention. In fact action of this kind ought not to be called deceit, but rather a kind of good management, cleverness and skill, capable of finding out ways where resources fail, and making up for the defects of the mind ...

And often it is necessary to deceive, and to do the greatest benefits by means of this device, whereas he who has gone by a straight course has done great mischief to the person whom he has not deceived."​
 
Hoja ya msingi Kuhusu jua kuzama katika matope , ilishajibiwa andiko liko wazi ni dhul Qarnaini ndio aliona jua likizama katika matope upeo wa macho yake. huu mjadala ulifungwa ndio maana mtoa mada alishindwa kutetea hoja yake akaingia mitini Ahahaahahaaaaha kwa sababu alikurupuka
UMETOA HADITHI KADHAA UKAULIZA
1. Kwanini mtume asiwasamehe akawatoboa macho ?
JIBU : Kwanini Mungu aliangamiza watu wa Nuhu asiwasamehe?, watu wa sodoma asiwasamehe?, kizazi cha kwanza cha wamisri kuanzia watu mpaka wanyama asiwasamehe?
Kwanini Musa alitoa amri ya kuuliwa watu asiwasamehe?
HESABU 31:17
" Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao WATOTO ,na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.

Ukishapata majibu ya hapo utaelewa kuwa sio kila mara mkosaji huwa anasamehewa

2. Kama ni mtume wa Mungu kwanini hakujua hao watu wangeua wachungaji wake?
JIBU: hawezi jua kila kitu kwasababu yeye ni mtu , SASA kama Mungu wako AKUJUA kama SAULI angekataa neno lake unafikir angemfanya kuwa mfalme wa waisrael? Ahahahahhaah Msikilize Mungu wako ANAVYOJUTA kwa kumfanya SAULI mfalme maana amekataa kabisa kusikiliza neno lake
1 SAMUEL 15:9-10
9" Ndipo neno la Bwana likamjia SAMWEL , Kusema
10" NAJUTA kwa sababu NIMEMTAWAZA Sauli awe mfalme ; maana amerudi nyuma, asinifuate , wala hakufanya nilivyomuamuru, SAMWEL akasikitika akamlilia Bwana usiku kucha";

Ahahahahaahahaahaha kwanini Mungu wako AJUTE ? hakujua kama Sauli atarudi nyuma . Sasa badala ya Kushangaa Mungu wako kutojua kuwa Sauli atarudi nyuma, wewe kwa sababu una akili fupi unashangaa mwanadamu kutokujua jambo ahahaahahhahah ahahhaahhaahahahah kasome upyaa uje hapa
 
You can understand Paul 100% than reading even one page of Qur'an. such a boring book. You can not find plural when allah talking to moses and Jews and Torah. And they say it is the same God. What a lie?!!
Tulia dawa ndivyo ilivyo bila shaka gavana anafanya kazi kubwa umeamia kwenye PLURAL ahahahahahahhahha
 
Ahahahahaahahaahaha mkuu hizi nondo vijana wakiziona wanatamani wajifiche Ahahhahahaahaaahah
 

..Presenting one line of paul letter to misled the meaning. Paul was very humble person.
 
Vipi
Vipi Muhammad naye Mungu?
Kuhusu kojo la ngamia mbona hujalisema kitu?
Unaweza kutuambia 1Samwel 15:1-8 na 11-15 zinaongea nini?
Usione uvivu bandika andiko hapo tuone mambo. kisha tujadili. Siyo unakuja na vitu nusu nusu.
 
Si wewe ni huyo anayekuongoza holy goat

So you longed for the lewdness of your youth, when in Egypt your bosom was caressed and your young breasts fondle
"Si wewe ni huyo anayekuongoza holy goat" Holy Goat yule aliyemzidi maujanja na kula quran ya Allah iliyokuwa chini ya kitanda cha mtumwa shetani? aka Muhammad?
 
Tulia dawa ndivyo ilivyo bila shaka gavana anafanya kazi kubwa umeamia kwenye PLURAL ahahahahahahhahha
Hajafanya kazi Yoyote. Ni Wewe unampa Bichwa. All he does is to dance with words like a magician. But he can't Knock the hussle..

That Islamic portrayal of Paul as a deceiver is also doubtful because Paul was sincere enough to die for his faith. The record of his martyrdom comes within a few years of his beheading, and scholars do not doubt it.

As we explored before, people willing to go to their deaths for their beliefs may very well be mistaken, but they are almost certainly sincere.

According to the records, Paul was lashed five times, beaten with rods three times, and even stoned until assumed dead before he was ultimately executed (2.Corinthians11:24–25).

If he were simply deceiving people, he had ten opportunities to repent before receiving life-threatening punishments.
Would he not have given up the charade? What was there to gain by deceiving everyone if he was about to lose his life? In truth, Paul gave up power, prestige, personal safety, and even his life. He did not receive any material gain by following Jesus.
 

Unanikoromea mimi ndie niliesema waisilamu wote wataenda MOTONI [emoji350] [emoji344] aya hii hapa [emoji117] wenzio waisilamu qadiani wamekubalia Kabisa KAULI ya allah kwamba motoni wataingia [emoji106] Nijibu masudi huu msafara wa waisilamu kwenda motoni na wewe umo [emoji350] [emoji109][emoji53] unanijazia beti za mashairi humu nisha ghani kwa sanaà hayo wapelekee msikitini kwenye watu kama wewe [emoji12]
 
Vipi

Vipi Muhammad naye Mungu?
Kuhusu kojo la ngamia mbona hujalisema kitu?
Unaweza kutuambia 1Samwel 15:1-8 na 11-15 zinaongea nini?
Usione uvivu bandika andiko hapo tuone mambo. kisha tujadili. Siyo unakuja na vitu nusu nusu.
Kwanza umekiri kuwa Mungu mda mwengine huwa asamehi ANAUA asante sana, halafu nimekupa andiko hapo nimekwambia ni Musa hivi huwa hamsomi ?
1.MUSA ANATOA AMRI YA KUUA
HESABU 31:18
"Basi kwa ajili hiyo MWUENI kila mume katika hao WATOTO, na kila mwanamke aliyemjua mume, kwa kulala pamoja naye ";

Ahahahahaahahaahaha huyo Musa sio Mungu wewe ahhhahaaaajajaaj
2. Acha uvivu huyu Nabii SAMWEL nae alimkatakata Mfalme AGAGI
1 SAMUEL 15:33
" lakini SAMWEL akamjibu , kama Upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na WATOTO wao, vivyo hivyo mama yako atafiwa miongoni mwa wanawake. Basi SAMWEL AKAMKATA Agagi VIPANDE mbele za Bwana huko Gilgali",

sasa huyo SAMWEL nae alikuwa Mungu? Muwe mnasoma acheni uvivu aisee ahahhaahhaahahahah Ahahhahahaahaaahah
 
Ahahahahaahahaahaha ukiona muislamu kaenda motoni ujue huyo ni muovu kabisa , Quran aijaacha kitu
QURAN 40:40
";Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo uovu wake, na anaye tenda wema, akiwa mwanamume au mwanamke , naye ni muumini ; basi hao wataingia peponi , Waruzukiwe humo bila ya HESABU";

Ahahahahaahahaahaha hii ndio kanuni hakuna ujanja ujanja wa kubebeana mafurushi ya midhambi ahahhaahhaahahahah
 
Mshenzi mshenzi tu toka ujana wake Paulo ni mtu wa ovyo anakufurisha watu , bado tu umemkumbatia wacha Gavana awafumbue macho ahahahahahqjajajjaj
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…