Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Sisi hatudanganyi mtu , hata wewe unajua wazi kuwa paulo ni mtu aliishi na alizifanya kufuru tena kama haitoshi aliwakufurisha na wengine, ndie aliewaita nyie " WAKRISTO" badala ya " watu wa kristo" Ahahahahaahahaahaha huyu ndio wewe unakuja kumtetea hapa mkuu oil chafu haisafishiki , akajitangazia utume eti katokewa na Yesu hili tukio limejaa viroja vingi ndio maana unaona aibu kuleta maandiko , unaandika jumla jumla maana yatakukataa kweupeee juu ya usanii huu Paulo
 
Ahahahahaahahaahaha mkuu huyu jamaa atakuwa anakimbia twende taratibu ahahahaah Ahahaahhaahhahahahhha
 

Sadakta ukamilifu wa koloani huu hapa [emoji117] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
 
Jibu swali wewe acha blabla blaàa [emoji15] [emoji12] jee wanao abudu asicho abudu allah wapo hadi leo[emoji350] [emoji344]
 
Kamuulize Ibn Maajah na Mama Ummati Aisha.
Tafiri zenu hizo na mnazitunza over 1400yrs, now you don't accept it!! Why?
Hata kama ilikuwa jani, How come mbuzi ale kitabu, Allah alikuwa kalala? Oh Kumbe ndiye alikuwa amekufwaa akashindwa kuilinda.

The paper was with me .....Who?? Hivi siku Hizo kulikuwa na karatasi??
Njia ya mwongo fupi😛😛😛😛😛

Muongo mkubwa wewe! Imekalika wapi? Mbona hizo Hazipo?
Ikiwa ni batili, leo mnatoa wapi adhabu ya kumpiga mawe mwanamke mpaka AFE akikutwa anazini?
lete andiko linalosema hao ni watoto waliofiwa na mama zao ndio wananyonyeshwa?

Kwenye huu upupu wa Mudi mbona hatuoni mfiwa na mamaye hapo? bali ni njemba imekamilika kiasi kumtia mimba mimba mkeo.

Sahih Muslim » The Book of Marriage (Kitab Al-Nikah)

' A'isha (Allah be pleased with her) reported that Sahla bint Suhail came to Allah's Apostle (may peace be eupon him) and said:
Messengerof Allah, I see on the face of Abu Hudhaifa (signs of disgust) on entering of Salim (who is an ally) into (our house), whereupon Allah's Apostle (may peace be upon him) said: Suckle him. She said: How can I suckle him as he is a grown-up man? Allah's Messenger (may peace be upon him) smiled and said: I already know that he is a young man 'Amr has made this addition in his narration that he participated in the Battle of Badr and in the narration of Ibn 'Umar (the words are): Allah's Messenger (may peace be upon him) laughed.

حَدَّثَنَا عَمْرٌو النَّاقِدُ، وَابْنُ أَبِي عُمَرَ، قَالاَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، بْنِ الْقَاسِمِ عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ جَاءَتْ سَهْلَةُ بِنْتُ سُهَيْلٍ إِلَى النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فَقَالَتْ يَا رَسُولَ اللَّهِ إِنِّي أَرَى فِي وَجْهِ أَبِي حُذَيْفَةَ مِنْ دُخُولِ سَالِمٍ - وَهُوَ حَلِيفُهُ ‏.‏ فَقَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ أَرْضِعِيهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَتْ وَكَيْفَ أُرْضِعُهُ وَهُوَ رَجُلٌ كَبِيرٌ فَتَبَسَّمَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَقَالَ ‏"‏ قَدْ عَلِمْتُ أَنَّهُ رَجُلٌ كَبِيرٌ ‏"‏ ‏.‏ زَادَ عَمْرٌو فِي حَدِيثِهِ وَكَانَ قَدْ شَهِدَ بَدْرًا ‏.‏ وَفِي رِوَايَةِ ابْنِ أَبِي عُمَرَ فَضَحِكَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏.‏



Sunan an-Nasa'i » The Book of Marriage

It was narrated that 'Aishah said:
"Sahlah bint Suhail came to the Messenger of Allah and said: 'I see (displeasure) in the face of Abu Hudhaifah when Salim enters upon me.' The Messenger of Allah said: 'Breast-feed him.' She said: 'How can I breast-feed him when he is a grown man?' He said: 'Don't I know that he is a grown man?' Then she came after that and said: 'By the One Who sent you with the truth as a Prophet, I have never seen anything I dislike on the face of Abu Hudhaifah after that.'"

أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مُحَمَّدِ بْنِ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، قَالَ سَمِعْنَاهُ مِنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، - وَهُوَ ابْنُ الْقَاسِمِ - عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ جَاءَتْ سَهْلَةُ بِنْتُ سُهَيْلٍ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَتْ إِنِّي أَرَى فِي وَجْهِ أَبِي حُذَيْفَةَ مِنْ دُخُولِ سَالِمٍ عَلَىَّ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَأَرْضِعِيهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَتْ وَكَيْفَ أُرْضِعُهُ وَهُوَ رَجُلٌ كَبِيرٌ فَقَالَ ‏"‏ أَلَسْتُ أَعْلَمُ أَنَّهُ رَجُلٌ كَبِيرٌ ‏"‏ ‏.‏ ثُمَّ جَاءَتْ بَعْدُ فَقَالَتْ وَالَّذِي بَعَثَكَ بِالْحَقِّ نَبِيًّا مَا رَأَيْتُ فِي وَجْهِ أَبِي حُذَيْفَةَ بَعْدُ شَيْئًا أَكْرَهُ ‏.‏



Sunan Ibn Majah » The Chapters on Marriage

It was narrated that 'Aishah said:
“Sahlah bint Suhail came to the Prophet and said: 'O Messenger of Allah, I see signs of displeasure on the face of Abu Hudhaifah when Salim enters upon me.” The Prophet said: “Breastfeed him.” She said: “How can I breastfeed him when he is a grown man? The Messenger of Allah smiled and said: “I know that he is a grown man.” So she did that, then she came to the Prophet and said: “I have never seen any signs of displeasure on the face of Abu Hudhayfah after that.” And he was present at (the battle of) Badr.

حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ عَمَّارٍ، حَدَّثَنَا سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ الْقَاسِمِ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ جَاءَتْ سَهْلَةُ بِنْتُ سُهَيْلٍ إِلَى النَّبِيِّ ـ صلى الله عليه وسلم ـ فَقَالَتْ يَا رَسُولَ اللَّهِ إِنِّي أَرَى فِي وَجْهِ أَبِي حُذَيْفَةَ الْكَرَاهِيَةَ مِنْ دُخُولِ سَالِمٍ عَلَىَّ ‏.‏ فَقَالَ النَّبِيُّ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏"‏ أَرْضِعِيهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَتْ كَيْفَ أُرْضِعُهُ وَهُوَ رَجُلٌ كَبِيرٌ فَتَبَسَّمَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ وَقَالَ ‏"‏ قَدْ عَلِمْتُ أَنَّهُ رَجُلٌ كَبِيرٌ ‏"‏ ‏.‏ فَفَعَلَتْ فَأَتَتِ النَّبِيَّ ـ صلى الله عليه وسلم ـ فَقَالَتْ مَا رَأَيْتُ فِي وَجْهِ أَبِي حُذَيْفَةَ شَيْئًا أَكْرَهُهُ بَعْدُ ‏.‏ وَكَانَ شَهِدَ بَدْرًا ‏.‏


mjipange mje na majibu siyo unakurupuka tu!!
Inawezekanaje watu watatu wote waripoti habari moja na wasionyeshe kuwa ni watoto waliofiwa na mama zao ndio.
Wewe unajua sana kuliko Aisha(mama yenu) aliyetamaniwa na Bedui moja ambalo Mudi alishindwa kulidhibiti akajitia ooh mpe nyonyo atakuwa sawa na mwanao.

Nielekeze kwako nije nigonge mtindi wa mkeo uwe babangu shekh, acha kunibania!!
 
Sadakta ukamilifu wa koloani huu hapa [emoji117] View attachment 923127View attachment 923128 [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
Ahahahahaahahaahaha ni kweli wataijaza jahanamu, vigezo na masharti vimezingatiwa mbona Quran iko waziiiiiii Ahahahahaaaahqa
QURAN 18:106-107
106" HIYO JAHANAMU ni MALIPO yao kwa walivyo KUFURU na wakafanyia KEJELI ishara zangu na MITUME wangu";
107" Hakika WALIOAMINI na WAKATENDA mema mashukio yao yatakuwa kwenye PEPO za FIRDAUSI ";

Ahahahahaahahaahaha hivyo ndio vigezo na masharti , hiyo ndio QURAN utapasuka mdogo wangu ahahahhaahahjaaja
 
Wapi kamzidi [emoji350] [emoji344] [emoji15]
 
Tuliza kichwa uliza maswali vizuri wacha kubwata bwata kama bata, miaka 1400 ndio nini? Nimekwambia Quran imekamilika na hili QURAN inajieleza yenyewe chochote ambacho Quran aijaandika hicho ni batili awe amekula mbuzi au umekula wewe
 
Tuliza kichwa uliza maswali vizuri wacha kubwata bwata kama bata, miaka 1400 ndio nini? Nimekwambia Quran imekamilika na hili QURAN inajieleza yenyewe chochote ambacho Quran aijaandika hicho ni batili awe amekula mbuzi au umekula wewe
Jibu swali. Mnatoa wapi nguvu ya kumpiga mawe mwanamke, na kwenye kitabu chenu haimo??

nikuulize hili ili twende sawa.
Quran iliyokamilika ya Uthmani au ya Hafsi?
 
Wacha kujikimbiza kwenye I'd nyengine unaposhindwa hoja
Soma ID yangu vyema ujue ipo JF toka lini, Siwezi kimbia Donkey followers kama wewe.

Jibu HOJA ID yangu haikusaidii kitu.
Kwaakili zako unawezaje kumfata kiongozi mwehu namna anakuelekeza haya?

Tafsir Al-Jalalayn
Verse 2.191
And slay them wherever you come upon them, and expel them from where they expelled you, that is, from Mecca, and this was done after the Conquest of Mecca; sedition, their idolatry, is more grievous, more serious, than slaying, them in the Sacred Enclosure or while in a state of pilgrimage inviolability, the thing that you greatly feared. But fight them not by the Sacred Mosque, that is, in the Sacred Enclosure, until they should fight you there; then if they fight you, there, slay them, there (a variant reading drops the alif in the three verbs [sc. wa-lā taqtilūhum, hattā yaqtulūkum, fa-in qatalūkum, so that the sense is ‘slaying’ in all three, and not just ‘fighting’]) — such, killing and expulsion, is the requital of disbelievers.

Tafsir Al-Jalalayn
Verse 4.89
They long, they wish, that you should disbelieve as they disbelieve, so then you, and they, would be equal, in unbelief; therefore do not take friends from among them, associating with them, even if they should [outwardly] manifest belief, until they emigrate in the way of God, a proper emigration that would confirm their belief; then, if they turn away, and remain upon their ways, take them, as captives, and slay them wherever you find them; and do not take any of them as a patron, to associate with, or as a helper, to assist you against your enemy.

Tafsir Al-Jalalayn
Verse 5.51
O you who believe, do not take Jews and Christians as patrons, affiliating with them or showing them affection; they are patrons of each other, being united in disbelief. Whoever amongst you affiliates with them, he is one of them, counted with them. God does not guide the folk who do wrong, by affiliating with disbelievers.

Tafsir Al-Jalalayn
Verse 9.23
The following was revealed regarding those who refrained from emigrating because of their families and trade: O you who believe, do not take your fathers and brothers for your friends, if they prefer, if they have chosen, disbelief over belief; whoever of you takes them for friends, such are the evildoers.

Tafsir Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs
Verse 9.23
(O ye who believe! Choose not your fathers nor your brethren) who are in Mecca from among the disbelievers (for friends) in religion (if they take pleasure in disbelief rather than faith) if they choose disbelief instead of faith. (Whoso of you taketh them for friends) in religion, (such are wrong-doers) disbelievers like them; it is also said that this means: O ye who believe! take not your believing fathers and brothers who are in Mecca, who had prevented you from migrating to Medina, for allies, seeking their help and assistance, if they choose to remain in the abode of disbelief, i.e. Mecca, rather than migrate to the abode of Islam, i.e. Medina. Whosoever takes them for allies harms only himself.

What kind of god is this? halafu unakuja hapa na mapovu meengi tumfate?
 

Nimependa hiyo Tafsiri.

"being united in disbelief" . Whoever amongst you affiliates with them, he is one of them, counted with them. God does not guide the folk who do wrong, by affiliating with disbelievers.
 
Ni Muhimu kuchagua marafiki wa kuendana nao. ukiwa na marafiki wabaya utaiga ubaya wao.
Ok, If you will not take them as a friend, then how will you make them believe what you believe f it is true, and you want them not to go astray?
 
Kwa Taarifa yako. Jina "WAKRISTO" lilitumiwa na watu wa kale zamani hizo kama jina la kuwadhihaki wakristo kwa kumuamini Yesu Kristo. Ambapo wao hawakumkubali.
Jina hilo likaja kupata umaarufu. wakristo walipaswa kuitwa "Wana wa Ufalme."
Lakini Wakristo hajalileta Paulo kama mnavyowarubuni watu. Sometimes you have to be fair. Someni historia za kweli.

Kama ambavyo jina Luther limepelekea kua na dhehebu la Lutheran.
 
Mjinga wewe.


Andiko hili hapa Yesu anakaa hadi na Wasamaria ambao Wayahudi huwaita Mbwa. Yesu HAKUWABAGUA WALA KUJITENGA NAO



"Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe MYAHUDI kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (MAANA WAYAHUDI HAWACHANGAMANI NA WASAMARIA .)
Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.
40.Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; NAYE AKAKAA HUKO SIKU MBILI.41. Watu wengi zaidi wakaamini kwa sababu ya neno lake"(John 4:9-10,40-41)



"Mara hiyo wakaja wanafunzi wake, wakastaajabu kwa sababu alikuwa akisema na mwanamke; lakini hakuna aliyesema, Unatafuta nini? Au, Mbona unasema naye?"(John 4:27)



Yesu alikua anakaa hadi na watoza ushuru na wenye dhambi, wakina Zakayo walibadilishwa kwasababu Yesu alikaa nao hakuwabagua. Yesu hakua mbaguzi hata leo. Thats a quality of God.


Hiyo Galatia uliyo paste hapo juu iko wazi kabisa.
Mtume Petro alikua anakaa na gentiles lakini walipokuja wayahudi akaona aibu akajitenga nao.
Ndio sababu Paulo akamlaumu kwa unafiki.
Hicho kitabu ulichokopi kimeandikwa na mtu muongo na asiyejua Lolote kuhusu Bibilia wala maisha ya wanafunzi wa Yesu. Ni mpumbavu huyo ambaye anadhani safari ya injili ilikua ya mteremko.

Kwa taarifa yako. Paulo alikua Myahudi pia. Aliyeusoma uyahudi akauishi. Alikua katika wale waliomuua mtumishi Stefano.


Tafuta sababu zingine kama huna sepa..
 
Ni Muhimu kuchagua marafiki wa kuendana nao. ukiwa na marafiki wabaya utaiga ubaya wao.

What is the WISDOM of Allah in the verse like this?

Tafsir Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs
Verse 5.14
(And with those who say: " Lo! we are Christians " ), i.e. the Christians of Najran (We made a covenant) in the Gospel that they should follow Muhammad (pbuh) and manifest his traits and not worship anyone or anything except Allah or associate anyone with Him, (but they forgot a part) they left part (of that whereof they were admonished) with which they were commanded. (Therefore We have stirred up) We have cast (enmity) killing and destruction (and hatred) in the hearts (among them) between the Jews and Christians; and it is said between the Nestorians of Najran, the sects known as the Jacobites, the Marqusiyya and the Melkites (till the Day of Resurrection, when Allah will inform them of their handiwork) of their opposition, treachery, concealment, enmity and hatred.
 

Hakikupaswa kuwepo kwa mujibu wa Nani?
Kwa andiko la nani? Ilishushwa ya kazi gani?.
Allah anashushaje aya, halafu uiletee dharau kiasi hicho, eti haikupaswa kuwepo?

Wewe ni nani unayethubutu kusema hivyo? Hata ungekua wewe ungefurahi mwanafunzi wako ajibu hivyo?.

Allah kapoteza muda wake kakesha usiku kucha akikuandikia kurasa za kadhaa za kusoma ili kujazia booklets mkasome wewe unasema haikupaswa kuwepo..?! Really?. Muda huo si angejilalia zake.

Aroo. Unaleta madharau kwa allah sio?. Ndivyo mnavyojidanganya na kukufuru.
Na mtagawanyika zaidi ya hizo sects 73. Kwasababu mnamchukulia allah poa sana.

Allah is very angry with your disrespectfull answer. Allah gave you breath and put 'rooh' inside you, and enough time for you to think before reply.

You should find a good answer instead. Allah will make you suffer with pain for you tongue na wrong pen.

KWELI itakuhukumu Siku ya Mwisho.
Naff said.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…