Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Sijui.Hilo ninswaliblankuchunguzwa.

Katikanuchunguzi wa kupata jibubsahihi **** njia nyingi. Kuna kitu kinaitwa "elimination method". Unaondoa majibu yasiyo sahihi unatafuta sahihi.

Katika elimination method hapa tunaona Mungu si jibu sahihi. Ana contradictions. Hana logicalnconsistency.

Ni kama umeambiwa tafuta square root ya mbili. Umeambiwa ni ndogo kuliko mbili. Halafu mtu anakwambia jibu sahihi ni 10. Hata kablabhujajua square root ya 2 ni nini, utajua si 10. 10bsi jibu sahihi. Kwa sababu lina contradict kanuni inayosema jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2. Jibu la square root ya 2 ni 10 halina logical consistency na square root ya 2 kuwa ndogo kuliko 2.

Dhana ya kuwapo Mungu nibkama jibu la square root ya 2 kuwa 10. Majibu yote yana contradictions. Majibu yote hayananlogical consiatency. Ukikubali Mungu huyu yupo, nibsawa nabumekubali square root ya 2 ni 10.

Hata kama sinui tumetoka wapi (sijuibsquare root ya 2 ni nini) najua hatutokani na Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote (najua kwamba square root ya 2 haiwezi kuwa 10).

Tungekuwa tumeumbwa na Mungu huyo, dunia isingekuwa na mabaya. Square root ya 2 ingekuwa 10, kwanza 10 ingekuwa ndogo kuliko 2.

Kusingekuwa na magonjwa, vifo, umasikini etc.

10 ingekuwa square root ya 2, 10 X 10 ingekuwa 2. Lakini tunaona 10 X 10 si 2. Ni 100.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejiumba wenyewe bhana au shetani???
 
yani hapa umeongopa na tafsiri uliweka haiendani kabisa na maelezo yako, nachukia sana mtu kama wewe mwelevu unapofanya uongo wa wazi kabisa hebu chukua aya za Dhulkanaini zote na uone jua limetajwa mara ngapi na kwani sifa zake zinabadikika badilika
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
ukianza kunielezea teknolojia na sayansi alafu ukaweka makande ya dini kutumia mistari na haya hapo naona unanichanganya kama kunia ambia lugola ni sawa na IGP sirro
 
Bado sana kujikomboa kifikra ukikwepa dini lazima uangukie scientific theory ambazo kama hujaziprove mwenyewe basi ni sawa na story za alfu lela ulela. HUWEZI ZIBITISHA YWEPO WA MUNGU KAMA AMBAVYO HUWEZI ZIBITISHA UWEPO WA BLACK. HOLE. AKIYEMUONA MUNGU NDIO ANAWEZA KUZIBITISHA UWEPO WAKE NA ALIYEONA BLACK HOLE NDIYE ANAWEZA KUZIBITISHA UWEPO WAKE SIYO WEWE ULIOISHIA KUSOMA KWENYE VITABU.
Kama Black Hoke ni uongo. Hilo si tatizo kubwa.

Kwa sababu.

1. Sayansi haijawahi kusema kwamba haikosei na kila inachosema ni sawa.

2. Sayansi inasisitiza kukosolewa. Ukiweza kuthibitisha habari za Black Holes ni uongo, sayansi itakupa nishani ya Nobel kwa kuonesha uongo ulipo.

3. Hakuna contradiction wanasayansi kukosea. Wao ni watu tu wanatafuta majibu. Hawana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. Hawa kukosea si ajabu.

Habari za Mungu zikionekana na makosa, hilo lina maajabu.

Kwa sababu.

1.Mnasema Mungu hakosei na kila anachosema ni sawa.

2. Mnasema Mungu hakosolewi na kukosolewa ni kufuru.

3. Kuna contradiction kubwa kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwa kakosea.

Ukionesha Black Hokes ni uongo, nitasema hao ni Wanasayansi tu, wamekosea, hawajawahi kusema hawakosei.

Nikikuonesha dhana ya Mungu kuwepo ni uongo utasemaje?
 
Hivi hujakwenda bahari wakati jua linachomoza au linazama?huwa linaonekana kama linazama vile kwenye maji kumbe sio na hata asubuhi wakati jua linachomoza ukiwa bahari ambapo huoni mwisho wake pia jua hapa huwa linaonekana kama linachomoza kwenye maji vile ndio maana halisi ya hiyo aya hapa huyo jamaa alikua anaona hivyo hata leo hii ukikaa bahari unaona hivyo kwa upeo wa macho wa kawaida

na muda mwingine kukiwa na kukiwa na mlima mrefu au mawingu mazito utaona kama jua linachomoza au linazama kwenye mlima kumbe sio
hahaaaa sasa mbona hilo. kila mtu huw analiona " lakini haimaanishi " kuwa jua huw linazama kweli kwenye matope" hivi kweli jambo dogo kama hilo pia muhhamad alikuwa anasubiri mungu amwambie" wakati iko wazi kwamba kila mtu aliyeishi duniani huwa anaona hivyo ", sio huyo dhur qarnain tu ambaye alikuwa anaona hivyo ",hata mababu' na mabibi zake "walikuwa "wakiona hivyo pia",...so palikuwa na mantiki ipi " ya haya iyo ' kuzungumzia " kitu " rahisi kama hicho" nakukifanya kuwa "kama kitu special vile"" Mimi nilidhani" kwamba", muhhamad itakuwa aliambiwa " na mungu" kuwa "sabbu inayofanya "watu waone vile " nikutokana na mwisho" wa upeo wa macho yetu" lakini kiuhalisia " nikwamba" Jua halizami", ndio maana wakati ambao " baadhi ya binaadamu "ambao huwa wanahisi limezama " basii " kwenye nchi nyingine huwa wanalipata " Kama tulivyokuwa tunalipata sisi" ....MPAKA MUDA HUU SIJAONA MANTIK YA HIYO AYA " KUWA DHURQARNAIN ALIONA JUA LINAZAMA KWENYE TOPE JEUSI "",wakati ni ishara ambayo kila mtu " huwa anaiona " pindi anapokuwa anekaa "ziwani/baharini
 
Kama Black Hoke ni uongo. Hilo si tatizo kubwa.

Kwa sababu.

1. Sayansi haijawahi kusema kwamba haikosei na kila inachosema ni sawa.

2. Sayansi inasisitiza kukosolewa. Ukiweza kuthibitisha habari za Black Holes ni uongo, sayansi itakupa nishani ya Nobel kwa kuonesha uongo ulipo.

3. Hakuna contradiction wanasayansi kukosea. Wao ni watu tu wanatafuta majibu. Hawana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. Hawa kukosea si ajabu.

Habari za Mungu zikionekana na makosa, hilo lina maajabu.

Kwa sababu.

1.Mnasema Mungu hakosei na kila anachosema ni sawa.

2. Mnasema Mungu hakosolewi na kukosolewa ni kufuru.

3. Kuna contradiction kubwa kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwa kakosea.

Ukionesha Black Hokes ni uongo, nitasema hao ni Wanasayansi tu, wamekosea, hawajawahi kusema hawakosei.

Nikikuonesha dhana ya Mungu kuwepo ni uongo utasemaje?
NAPINGANA NA WEWE KUKUBALI VITU AMBAVYO WAMEANDIKA WATU WENGINE
HUO UONGO AU UKWELI WEWE NDIO UNATAKIWA UUTAFUTE USISUBIRI WANASAYANSI NDIO WAKUTAFUTIE. YOUR MASTER OF YOUR MIND
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejiumba wenyewe bhana au shetani???
Kama kila kilicho complex kimeumbwa, hilo linathibitisha Mungu hayupo.

Halithibitishi Mungu yupo.

Kwa sababu hata ukisema tumeumbwa na Mungu, na yeye atakuwa complex.

Na kwa sababu ushasema kila kilicho comolex kimeumbwa, unazalisha swali.

Mungu naye kaumbwa na nani?
 
Tuambie aliokuwa nao basi ni akina nani? Kazi ya Mungu ambayo alikuwa anamshushia Muhammad inawezekanaje ichukue miaka hivyo kukamilika? Huyo aliyekuwa anashusha Kurani, alikuwa ni Mungu mwenye uwezo wote au Mungu mdoli tu hadi kazi yake ichukue muda mrefu hivyo?
hahaaaa ..umeona hiyo contradiction ", eti kuna baadhi ya aya zilikuwa zinashuk kutokana na uwepo WA matukio ya wakati huo " mungu muweza WA yote mjuzi wa yote ", mwenye upendo kwa wote" Alikuwa anashindwa nini kukishusha hicho kitabu kwa wakati mmoja"",ilhali anasifa ya uweza wa yote na ujuzi wa yote"", sasa mbona hapo tunaona kuwa " alishindw kushusha Quran moja moja kw moja mpka asubiri tukio litokee ina maana mungu muweza wa yote", mjuzi wayote " alikuwa hajui matukio ya jayo"", ..siangeishsha tu " nakutoa muongozo ",mpAka wa matukio yajayo " nadhani. ingekuwa nirahisi mnoo kuaminika"", maana watu wangeona " ubashiri uliopo humo kuhusu matukio yaliyojiri" na muongozo uliotolewa awali " KWANINI ASUBIRI MATUKIO YATOKEE NDIO SURA NYINGINE ZISHUSHWE ---?
 
NAPINGANA NA WEWE KUKUBALI VITU AMBAVYO WAMEANDIKA WATU WENGINE
HUO UONGO AU UKWELI WEWE NDIO UNATAKIWA UUTAFUTE USISUBIRI WANASAYANSI NDIO WAKUTAFUTIE. YOUR MASTER OF YOUR MIND
Vitu kuandikwa au kutoandikwa na wengine si hoja.

Hija ni mantiki, logical consistency, verification etc.

Hata wewe umeandika kwa alphabet iliyoandikwa na wengine.

Kama hutaki vilivyoandikea na wengine tunga alphabet yako, tengenrza intwrnet yako, tengenrza conputers na simu zako etc.

Tuone mtu asiyekubali vilivyoandikwa na wengine anaishije
 
yani hapa umeongopa na tafsiri uliweka haiendani kabisa na maelezo yako, nachukia sana mtu kama wewe mwelevu unapofanya uongo wa wazi kabisa hebu chukua aya za Dhulkanaini zote na uone jua limetajwa mara ngapi na kwani sifa zake zinabadikika badilika
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna tatizo la tafsiri mbaya kwa makusudi au bahati mbaya.

Kuwepo tatizo hilo ni ushahidi Mungu hayupo.
 
Quran inasema Mungu kawafunga watu fulani macho na masikio na kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue.

Hata msisumbuke nao hao.

Halafu atawahukumu kwa kuwa hawajamjua.

Sasa huyu Allah Mungu gani anazuia watu kumjua, halafu anawahukumu kwa sababu hawajamjua?

Hili jambo linaingiaje akilini?
hahaaaa
 
hahaaaa ..umeona hiyo contradiction ", eti kuna baadhi ya aya zilikuwa zinashuk kutokana na uwepo WA matukio ya wakati huo " mungu muweza WA yote mjuzi wa yote ", mwenye upendo kwa wote" Alikuwa anashindwa nini kukishusha hicho kitabu kwa wakati mmoja"",ilhali anasifa ya uweza wa yote na ujuzi wa yote"", sasa mbona hapo tunaona kuwa " alishindw kushusha Quran moja moja kw moja mpka asubiri tukio litokee ina maana mungu muweza wa yote", mjuzi wayote " alikuwa hajui matukio ya jayo"", ..siangeishsha tu " nakutoa muongozo ",mpAka wa matukio yajayo " nadhani. ingekuwa nirahisi mnoo kuaminika"", maana watu wangeona " ubashiri uliopo humo kuhusu matukio yaliyojiri" na muongozo uliotolewa awali " KWANINI ASUBIRI MATUKIO YATOKEE NDIO SURA NYINGINE ZISHUSHWE ---?
Hahaha simply unaelewa kwamba Mungu anajua yaliyopita,yaliyopo na yajayo Muhammad alikua anakutana na wakati mgumu sana na vichwa vigumu sana mpaka muda mwingine akidhani yeye ndo wa kwanza kukutana navyo sababu ni mwanadam kama mm na ww hajui yaliyopita wala hajui yajayo isipokua tu ni wahyi ndio humuongoza

Ndipo ziliposhuka aya za Qur'an zikimweleza visa vya manabii nao pia walikutana na makubwa kuliko yake mfano mzuri Nuhu na watu wake Kisa cha Yunus na watu wake

Ndio maana tunasema Qur'an ilishuka kwa wakati husika
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
Hili swali kwa kuwa limekwisha ndio maana humu ndani watu wanarukaruka tu huyu anacopy link analeta humu eti nae anaita hoja? nafikir kama kuna hoja nyingine iletwe ulamaa nimeshajibu swali la dhul qarnaini aya mengine sijui Mungu ayupo mara mapangoni yote yanamajibu lakn uzi wa mtu lazima ulindwe usitoke nje ya mada husika narudia usitoke nje ya mada usiku na ukitoka nje huo sio mjadala ni fujo
 
Sasa kama mtu anaweza kufikiri.

Halafu anasoma kwenye Quran.

Imeandikwa Allah atawafunga watu fulani macho, masikio na kufanya mioyo yao iwe mizito.

Ili wasimjue Allah. Waislamu hata wasijisumbue na watu hawa.

Halafu watu hawa hawa ambao Allah kawazuia kumjua, Allah atawahukumu, kwa sababu hawajamjua.

Halafu watu wanamuamini huyo Allah yupo na ni Mungu wa haki.

Inawezekanaje watu wakabugia ujinga kama huu na kuamini huyu Allah ni Mungu wa haki na yupo?

Wakati inaonekana kabisa ni hadithi ya kijingajinga tu iliyoandikwa bila hata kuwa na logical consistency?
hahaaaa"" kuna watu"" bongo zao zimechacha""
 
Ni rahisi sana hoja yako,mfano hai kama wewe hapo,umepewa kila kitu na aliekuumba akakuacha huru umkubali au umkatae alie kuumba,lakini wewe umemkataa kwa makusudi alie kuumba kisha wewe unamlaumu yeye alie kuumba kwa kumkataa,inaingia akilini?
hahaaa you can't be serious ' kwahiyo hili ndio jibu " la watu waliofanywa wawe na mioyo migumu na mungu " .. ""? halafu licha ya kuwafanya wawe na mioyo hiyo " atakwenda kuwaadhibu"",... hivi wewe unaweza kumuadhubu " mwanao "ambAye haukumpeleka shule kusoma"" ukimtuhumu kwa kosa lakutokujua kusoma wala kuandika ""?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom