Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Hilo ni swali la ngapi Kati ya yale uliyouliza??
Ni swali moja linalojumuisha maswali yote.

Unaelewa kwamba ulimwengu uluoumbwa na Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendobwote hautakiwi kuwa na swali lolote kumhusu Mungu huyo?

Unaekewa kwamba mtu yeyote kuweza kufikiria swali lolote linalohoji uwepo wa Mungu huyo kunaonesha Mungu huyo hayupo?

Unaelewa Mungu huyo hana sababu ya kujificha nyuma ya utata wowote?

Unaelewa kwamba utata wowote kuhusu kuwepo kwa Mungu huyo kwa kufuata mantiki Mungu huyo angeumaliza kabla haujaanza kwa kuwapa viumbe wake wote uelewa wa kumuekewa vizuri?

Unaelewa kwamba kuwepo kwa wanyama wasio na uwezo wa kujua mengi kunaonesha Mungu muweza yote, mwenye upendo wote nabujuzibwote hayupo?

Kwa nini Mungu huyo mnayemsema ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hajajiweka wazi ajulikane na wote kwa namna ambayo haina utata na hairuhusu mjadala wowote?
 
Mungu anamsimulia moh'd ya kwamba Qarnain aliliona jua likizama kwenye tope
 
Rangibya wimbobwa taifa ni rangi ipi?

Nakwambia dhana ya "mwanadam" ni potofu.

Hakujawahi kuwapo Adam huyo wa vitabuni, na hivyo dhana nzima ya "mwanadam" ni potofu.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Mimi nimekujibu maswali yako lakini wewe langu hujanijibu.
Aya nabadilisha kiswahili....mtu wa kwanza dunian alitokea wapi au kiumbe wa kwanza kuwalk the earth alitokea wap
 
Well, interesting questions! Nionavyo ni kwamba, masuala ya imani yanaeleweka vizuuri sana yakielezwa kiiman. Kwanza kabisa mimi ni Christian, so majibu yanaweza kuwa na muelekeo huo ila natumaini tutaelewana.

Katika imani na maandiko matakatifu pia kuna "colorful poetic theological talk"!!! Mfano 'giza' most often is associated to 'evil', na 'nuru' ni yale mema ambayo Uislamu, Ukristo na dini nyingine unayapa kipaumbele.

Kwa namna ya nuru; assume umezamishwa katika maji masafi mchana, ilhali umezama ukifungua macho utaona! hata kama macho yatakosa raha kidogo: maji masafi hapa ni kama 'purity' yaani safi, yenye nuru na pia isiyo na mawaa! Ni kama umezamishwa pahala pasipo na dhambi (katika kanisa au masjid). Hakika utaona tumaini la kukombolewa.

Kwa mfano huo, sasa the opposite: assume umezamishwa katika lindi la maji machafu yenye tope: ukiwa umezama na ukafungua macho hutaona na 'very likely' utakuwa kipofu! Kumbuka humo ni giza na 'full of evil', mfano katika dangur(l)o, au ulevini - dambini - na ikumbukwe kwamba "mshahara wa dhambi ni mauti"! Hakika humo bila rehema (rahma) za Allah utaangamia tu!

Mifano hii inaniaminisha kuwa "jua linachomoza kutoka chemchem ya matope" kiimani kuwa ni kweli: na kisayansi tuweke pembeni kwanza. Matope ni uchafu usiopendeza kwa Mungu wetu na pia kwa sisi viumbe aliotuumba. Ni uchafu unaomaanisha kuishi maisha yasiyompendeza Mungu yaani kuishi katika dhambi. Na uchafu huu tunatakiwa kuushinda.

Ukweli wa kiroho ni kwamba dhambi haina nguvu kama una nguvu za kiutukufu ndani yako na kwamba wewe umeumbwa uishi nuruni na hivyo uwe kama jua kulishinda giza na kuweza kuchomoka katika chemchem ya matope pamoja na vifungo vyake. Remember this isn't science!

Ikumbukwe kwamba dini iliyo bora ni ile inayo hubiri 'upendo', na 'kumpenda Bwana Mungu wako'. Pia tukianza kutafuta sababu na ukweli wa kisayansi katika kila neno kwenye maandiko matakatifu, hakika tutaishia kuwa watenda dhambi na kuachana na upendo na kumpenda Bwana Mungu wetu. Tuchomoke kutoka chemchem yenye MATOPE.
 
Mkuu njoo vizuri!

Unaifahamu vizuri historia ya Alexander the Great (Dhul-Qarnaini)? Nani kakuambia Alexander alikuwa ni Nabii? Na kama alikuwa Nabii, unamaanisha nini hasa? Nabii wa shetani au wa Mungu? Kama ni Nabii wa Mungu,Mungu anaweza kuleta Nabii ambaye yuko anashikilia Juja na Majuja ambayo baadaye yatamtoroka ili yaje yawaangamize waislamu? Ina maana mpaka Juja na Majuja wataweza kumtoroka huyo nabii ina maana atakuwa ameishiwa uwezo wa kinabii? Na kama ndivyo, huyo nabii wa Mungu wa namna gani hata Juja na Majuja wamtoroke?
Kama Alex the great nae ni nabii basii hiyo qur'an Haifa hata kuombea maji ya kunywa maana Alex the great nimtu ambaye aliyefanya uharamia yaliyosabbisha mauaji ya watu wengi mnoo kwaajili ya uroho wake wakutawala"" kabla hajaivamia india na kupewa kichapo kilichopelekea mauti yake "" hahaaaa mtume w a mungu kapigwa ?? mtume wa mungu alikuwa anauwa na kuwafanyia watu utesi "",aiseee kuna haja sasa yakuzitazama hizi dini vyema "
 
Tupe aya nzima ilikuwa inasemaje kwanza
Kwani hicho ni kipande cha aya?? Kila aya ndani ya fuqan ina sababu ya kushuka, imeshuka wapi, na baba kassim kaifundishaje! sawa! Nakuulizia tena alicho ongea muhammad kwamba asali ni haramu kasema kweli au ni uongo? Jee allah alikuwa anamsifu au anamkemea?! nimekuletea hiyo ayat baba ya wewe kudai kwamba baba kassim hajawahi kusema uongo!
 
Hapa haji muislam abadan! Ngoja nimuite ust chilubi Gavana..
Ama weye akili zako chenga kweli, mambo mengine sio sooooote tuje tuchangie. Yaani wewe unapost reply yako, juu yako kuna mtu amejibu vizuri tu. Tena tuhangaishane nini

haa mym amejibu hapa vizuri tu na simple.... sasa ukiwa chenga ndio chenga tena tutakufanya nini 😀 😀

We kwanza anza ku analyze bibilia yako au imekushinda maana iko vururu?
Ona hapa uone kichekesho cha ulimwengu: 1 Chronicles 16:30: “He has fixed the earth firm, immovable.”

Picha ya kwanza na ya tano nikiwa namsimulia mtu jinsI nilivyoliona jua linazama nikamiambia nimeliona jua linazama kwenye maji nitakua namaanisha linazama kwenye maji kweli au ndivyo nilivyoona kwa muono wangu? VipI kuhusu picha ya pili Jua si naliona linazama ardhini? Na picha ya tatu utamuelezeaje mtu kwamba unaliona jua linazama vipi? Nikisema nyuma ya mlima nitakosea? Picha ya nne nikisema jua limezama kwenye mawingu meusi je?

Nadhani hata huyo anaesimuliwa katika Qur an anasema aliliona jua linazama katika matope meusi kwa muono kama huo hapo juu.
images-20-4-jpeg.814741
images-20-3-jpeg.814742
images-20-1-jpeg.814743
images-20-5-jpeg.814744
images-jpeg.814745
 
Kwa iyo unataka kusema viumbe wote dunian tunatokana na nin
Sijui.Hilo ni swali lankuchunguzwa.

Katika uchunguzi wa kupata jibu sahihi kuna njia nyingi. Kuna kitu kinaitwa "elimination method". Unaondoa majibu yasiyo sahihi unatafuta sahihi.

Katika elimination method hapa tunaona Mungu si jibu sahihi. Ana contradictions. Hana logicalnconsistency.

Ni kama umeambiwa tafuta square root ya mbili. Umeambiwa ni ndogo kuliko mbili. Halafu mtu anakwambia jibu sahihi ni 10. Hata kablabhujajua square root ya 2 ni nini, utajua si 10. 10bsi jibu sahihi. Kwa sababu lina contradict kanuni inayosema jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2. Jibu la square root ya 2 ni 10 halina logical consistency na square root ya 2 kuwa ndogo kuliko 2.

Dhana ya kuwapo Mungu nibkama jibu la square root ya 2 kuwa 10. Majibu yote yana contradictions. Majibu yote hayananlogical consiatency. Ukikubali Mungu huyu yupo, nibsawa nabumekubali square root ya 2 ni 10.

Hata kama sinui tumetoka wapi (sijuibsquare root ya 2 ni nini) najua hatutokani na Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote (najua kwamba square root ya 2 haiwezi kuwa 10).

Tungekuwa tumeumbwa na Mungu huyo, dunia isingekuwa na mabaya. Square root ya 2 ingekuwa 10, kwanza 10 ingekuwa ndogo kuliko 2.

Kusingekuwa na magonjwa, vifo, umasikini etc.

10 ingekuwa square root ya 2, 10 X 10 ingekuwa 2. Lakini tunaona 10 X 10 si 2. Ni 100.
 
Nilitaka kuingia kwenye mjadala ila nikakutana na Swali la Joshua kusimamisha jua wakati jua lipo static na bado watu wanaami kuwa kweli alisimamisha nikaona bora niwaachie wafia dini.
hahaaaa " hiyo habari ya kusimmisha jua mbona hata kwenye Quran upo " eti wanasema muhhamamad naye alisimamisha jua
 
Hakuna shaka mkuu.Ngoja tuwasubirie wanazuoni wa Kiislamu.Jibu lazima lipatikane ili watu tuweze kuishi kwa amani.Bila hivyo,itakuwa ni hatari tupu kwa sababu itakuwaje siku hiyo chemchemu linakochwea Jua hilo ikauka au ikaanza ku-flow na matope yake kutufikia huku?
Retarded mind
 
Ni swali moja linalojumuisha maswali yote.

Unaelewa kwamba ulimwengu uluoumbwa na Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendobwote hautakiwi kuwa na swali lolote kumhusu Mungu huyo?

Unaekewa kwamba mtu yeyote kuweza kufikiria swali lolote linalohoji uwepo wa Mungu huyo kunaonesha Mungu huyo hayupo?

Unaelewa Mungu huyo hana sababu ya kujificha nyuma ya utata wowote?

Unaelewa kwamba utata wowote kuhusu kuwepo kwa Mungu huyo kwa kufuata mantiki Mungu huyo angeumaliza kabla haujaanza kwa kuwapa viumbe wake wote uelewa wa kumuekewa vizuri?

Unaelewa kwamba kuwepo kwa wanyama wasio na uwezo wa kujua mengi kunaonesha Mungu muweza yote, mwenye upendo wote nabujuzibwote hayupo?

Kwa nini Mungu huyo mnayemsema ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hajajiweka wazi ajulikane na wote kwa namna ambayo haina utata na hairuhusu mjadala wowote?

Ni namba ngapi Kati ya Yale uliyouliza??
Ndivyo ulivyoambiwa na Mungu wako Wanyonyi??
 
Sijui.Hilo ninswaliblankuchunguzwa.

Katikanuchunguzi wa kupata jibubsahihi **** njia nyingi. Kuna kitu kinaitwa "elimination method". Unaondoa majibu yasiyo sahihi unatafuta sahihi.

Katika elimination method hapa tunaona Mungu si jibu sahihi. Ana contradictions. Hana logicalnconsistency.

Ni kama umeambiwa tafuta square root ya mbili. Umeambiwa ni ndogo kuliko mbili. Halafu mtu anakwambia jibu sahihi ni 10. Hata kablabhujajua square root ya 2 ni nini, utajua si 10. 10bsi jibu sahihi. Kwa sababu lina contradict kanuni inayosema jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2. Jibu la square root ya 2 ni 10 halina logical consistency na square root ya 2 kuwa ndogo kuliko 2.

Dhana ya kuwapo Mungu nibkama jibu la square root ya 2 kuwa 10. Majibu yote yana contradictions. Majibu yote hayananlogical consiatency. Ukikubali Mungu huyu yupo, nibsawa nabumekubali square root ya 2 ni 10.

Hata kama sinui tumetoka wapi (sijuibsquare root ya 2 ni nini) najua hatutokani na Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote (najua kwamba square root ya 2 haiwezi kuwa 10).

Tungekuwa tumeumbwa na Mungu huyo, dunia isingekuwa na mabaya. Square root ya 2 ingekuwa 10, kwanza 10 ingekuwa ndogo kuliko 2.

Kusingekuwa na magonjwa, vifo, umasikini etc.

10 ingekuwa square root ya 2, 10 X 10 ingekuwa 2. Lakini tunaona 10 X 10 si 2. Ni 100.
Apa umejizungusha tu....basi tufanye tuliota tu kama miti
 
We jibu unaloona unaliweza
Unapouliza mtu wa kwanza, tuanze na mtu wa sasa.

Kipi kinakufanya ujue huyu ni mtu na huyu si mtu?

Unamtenganishaje mtu na wasio watu?

Maana hatuwezi kumzungumzia mtubwa kwanza, wakati hatujam define mtu ni nani hata wa sasa.

Naomba nijibu hili swali ili tuendelee na mjadala.
 
Ukiwa na proof huamini.

Unaelewa hilo?
Bado sana kujikomboa kifikra ukikwepa dini lazima uangukie scientific theory ambazo kama hujaziprove mwenyewe basi ni sawa na story za alfu lela ulela. HUWEZI ZIBITISHA YWEPO WA MUNGU KAMA AMBAVYO HUWEZI ZIBITISHA UWEPO WA BLACK. HOLE. AKIYEMUONA MUNGU NDIO ANAWEZA KUZIBITISHA UWEPO WAKE NA ALIYEONA BLACK HOLE NDIYE ANAWEZA KUZIBITISHA UWEPO WAKE SIYO WEWE ULIOISHIA KUSOMA KWENYE VITABU.
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
With all due respect hapa umekosea mbaya we umechukua tafsiri with literally meaning wakati hiyo aya inazungumzia muono wa Dhulkanaini anapolitazama jua na wala si jua linazama kwenye tope
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom