Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejiumba wenyewe bhana au shetani???
 
yani hapa umeongopa na tafsiri uliweka haiendani kabisa na maelezo yako, nachukia sana mtu kama wewe mwelevu unapofanya uongo wa wazi kabisa hebu chukua aya za Dhulkanaini zote na uone jua limetajwa mara ngapi na kwani sifa zake zinabadikika badilika
 
ukianza kunielezea teknolojia na sayansi alafu ukaweka makande ya dini kutumia mistari na haya hapo naona unanichanganya kama kunia ambia lugola ni sawa na IGP sirro
 
Kama Black Hoke ni uongo. Hilo si tatizo kubwa.

Kwa sababu.

1. Sayansi haijawahi kusema kwamba haikosei na kila inachosema ni sawa.

2. Sayansi inasisitiza kukosolewa. Ukiweza kuthibitisha habari za Black Holes ni uongo, sayansi itakupa nishani ya Nobel kwa kuonesha uongo ulipo.

3. Hakuna contradiction wanasayansi kukosea. Wao ni watu tu wanatafuta majibu. Hawana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote. Hawa kukosea si ajabu.

Habari za Mungu zikionekana na makosa, hilo lina maajabu.

Kwa sababu.

1.Mnasema Mungu hakosei na kila anachosema ni sawa.

2. Mnasema Mungu hakosolewi na kukosolewa ni kufuru.

3. Kuna contradiction kubwa kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwa kakosea.

Ukionesha Black Hokes ni uongo, nitasema hao ni Wanasayansi tu, wamekosea, hawajawahi kusema hawakosei.

Nikikuonesha dhana ya Mungu kuwepo ni uongo utasemaje?
 
hahaaaa sasa mbona hilo. kila mtu huw analiona " lakini haimaanishi " kuwa jua huw linazama kweli kwenye matope" hivi kweli jambo dogo kama hilo pia muhhamad alikuwa anasubiri mungu amwambie" wakati iko wazi kwamba kila mtu aliyeishi duniani huwa anaona hivyo ", sio huyo dhur qarnain tu ambaye alikuwa anaona hivyo ",hata mababu' na mabibi zake "walikuwa "wakiona hivyo pia",...so palikuwa na mantiki ipi " ya haya iyo ' kuzungumzia " kitu " rahisi kama hicho" nakukifanya kuwa "kama kitu special vile"" Mimi nilidhani" kwamba", muhhamad itakuwa aliambiwa " na mungu" kuwa "sabbu inayofanya "watu waone vile " nikutokana na mwisho" wa upeo wa macho yetu" lakini kiuhalisia " nikwamba" Jua halizami", ndio maana wakati ambao " baadhi ya binaadamu "ambao huwa wanahisi limezama " basii " kwenye nchi nyingine huwa wanalipata " Kama tulivyokuwa tunalipata sisi" ....MPAKA MUDA HUU SIJAONA MANTIK YA HIYO AYA " KUWA DHURQARNAIN ALIONA JUA LINAZAMA KWENYE TOPE JEUSI "",wakati ni ishara ambayo kila mtu " huwa anaiona " pindi anapokuwa anekaa "ziwani/baharini
 
NAPINGANA NA WEWE KUKUBALI VITU AMBAVYO WAMEANDIKA WATU WENGINE
HUO UONGO AU UKWELI WEWE NDIO UNATAKIWA UUTAFUTE USISUBIRI WANASAYANSI NDIO WAKUTAFUTIE. YOUR MASTER OF YOUR MIND
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejiumba wenyewe bhana au shetani???
Kama kila kilicho complex kimeumbwa, hilo linathibitisha Mungu hayupo.

Halithibitishi Mungu yupo.

Kwa sababu hata ukisema tumeumbwa na Mungu, na yeye atakuwa complex.

Na kwa sababu ushasema kila kilicho comolex kimeumbwa, unazalisha swali.

Mungu naye kaumbwa na nani?
 
hahaaaa ..umeona hiyo contradiction ", eti kuna baadhi ya aya zilikuwa zinashuk kutokana na uwepo WA matukio ya wakati huo " mungu muweza WA yote mjuzi wa yote ", mwenye upendo kwa wote" Alikuwa anashindwa nini kukishusha hicho kitabu kwa wakati mmoja"",ilhali anasifa ya uweza wa yote na ujuzi wa yote"", sasa mbona hapo tunaona kuwa " alishindw kushusha Quran moja moja kw moja mpka asubiri tukio litokee ina maana mungu muweza wa yote", mjuzi wayote " alikuwa hajui matukio ya jayo"", ..siangeishsha tu " nakutoa muongozo ",mpAka wa matukio yajayo " nadhani. ingekuwa nirahisi mnoo kuaminika"", maana watu wangeona " ubashiri uliopo humo kuhusu matukio yaliyojiri" na muongozo uliotolewa awali " KWANINI ASUBIRI MATUKIO YATOKEE NDIO SURA NYINGINE ZISHUSHWE ---?
 
NAPINGANA NA WEWE KUKUBALI VITU AMBAVYO WAMEANDIKA WATU WENGINE
HUO UONGO AU UKWELI WEWE NDIO UNATAKIWA UUTAFUTE USISUBIRI WANASAYANSI NDIO WAKUTAFUTIE. YOUR MASTER OF YOUR MIND
Vitu kuandikwa au kutoandikwa na wengine si hoja.

Hija ni mantiki, logical consistency, verification etc.

Hata wewe umeandika kwa alphabet iliyoandikwa na wengine.

Kama hutaki vilivyoandikea na wengine tunga alphabet yako, tengenrza intwrnet yako, tengenrza conputers na simu zako etc.

Tuone mtu asiyekubali vilivyoandikwa na wengine anaishije
 
yani hapa umeongopa na tafsiri uliweka haiendani kabisa na maelezo yako, nachukia sana mtu kama wewe mwelevu unapofanya uongo wa wazi kabisa hebu chukua aya za Dhulkanaini zote na uone jua limetajwa mara ngapi na kwani sifa zake zinabadikika badilika
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna tatizo la tafsiri mbaya kwa makusudi au bahati mbaya.

Kuwepo tatizo hilo ni ushahidi Mungu hayupo.
 
hahaaaa
 
Hahaha simply unaelewa kwamba Mungu anajua yaliyopita,yaliyopo na yajayo Muhammad alikua anakutana na wakati mgumu sana na vichwa vigumu sana mpaka muda mwingine akidhani yeye ndo wa kwanza kukutana navyo sababu ni mwanadam kama mm na ww hajui yaliyopita wala hajui yajayo isipokua tu ni wahyi ndio humuongoza

Ndipo ziliposhuka aya za Qur'an zikimweleza visa vya manabii nao pia walikutana na makubwa kuliko yake mfano mzuri Nuhu na watu wake Kisa cha Yunus na watu wake

Ndio maana tunasema Qur'an ilishuka kwa wakati husika
 
Hili swali kwa kuwa limekwisha ndio maana humu ndani watu wanarukaruka tu huyu anacopy link analeta humu eti nae anaita hoja? nafikir kama kuna hoja nyingine iletwe ulamaa nimeshajibu swali la dhul qarnaini aya mengine sijui Mungu ayupo mara mapangoni yote yanamajibu lakn uzi wa mtu lazima ulindwe usitoke nje ya mada husika narudia usitoke nje ya mada usiku na ukitoka nje huo sio mjadala ni fujo
 
hahaaaa"" kuna watu"" bongo zao zimechacha""
 
Ni rahisi sana hoja yako,mfano hai kama wewe hapo,umepewa kila kitu na aliekuumba akakuacha huru umkubali au umkatae alie kuumba,lakini wewe umemkataa kwa makusudi alie kuumba kisha wewe unamlaumu yeye alie kuumba kwa kumkataa,inaingia akilini?
hahaaa you can't be serious ' kwahiyo hili ndio jibu " la watu waliofanywa wawe na mioyo migumu na mungu " .. ""? halafu licha ya kuwafanya wawe na mioyo hiyo " atakwenda kuwaadhibu"",... hivi wewe unaweza kumuadhubu " mwanao "ambAye haukumpeleka shule kusoma"" ukimtuhumu kwa kosa lakutokujua kusoma wala kuandika ""?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…