Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Hiii hadith tumeshaitolea malezo kuwa ni dhaifu na kukuletea hadith sahihi zinazoelezea juu ya hili jambo uwe mfatiliaji kila saa turudie rudie tu
Dhaifu dhaifu [emoji12] kwa hiyo hata koloani ni dhaifu?!
 
Battle za kiiman/dini zilishaanza kupotea ila siku zikianza yan mpk unajiuliza wamefunguliwa toka wapi kwa mbali naona zkrud, hamna atakayetaka kua nyuma kila yule ataleta Mungu Wa imani yake nakumuelezea
Usishangae. Tatizo ni kwamba kuna watu wana maarifa na elimu kubwa lakini siyo applicable kwa mazingira yetu ya kibongo.
 
Can you tell me why kulikuwa na mtikisiko baada ya total eclipse?
 
Anaitwa Terah
Na huyu terah hatumsemi sana kwasababu Mwenyezi Mungu Alimtenga kua wakfu ibrahimu dhidi ya Asili ya ancenstors wake
Una ushahidi gani ?au alikuambia?
 
wee fanya mazoezi ya kujamba wakt una ugonjwa Wa kuhara [emoji15] [emoji12] unaona sasa ulivyo jinyea [emoji4] [emoji15] [emoji33] [emoji33] [emoji33]

Ndiyo mafundisho ya Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi popo Francis hayo??
 
Ndiyo mafundisho ya Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi popo Francis hayo??
Bila lugha ya ki-baba kassim ki-baba kassim hamzibuki hau [emoji4] ona ulivyo mpole na rainii kama kitambaa cha hariri [emoji38] [emoji38]
 
View attachment 825638 [emoji38] [emoji38] [emoji38]
chukua msumali huu kufa nao
MARKO 15:17;"Wakamvika vazi la rangi ya ZaMBARAU,wakasokota taji la miiba,wakamtia kichwani".
MATHAYO 27:28;"wakamvua nguo,wakamvika vazi JEKUNDU .;

ahahhahahahhahaha yupi ni Yesu feki katika ya alivikwa nguo ya ZAMBARAU au JEKUNDU kwa lugha laini kati ya MARKO na MATHAYO nani amedanganya ?
 
Aliyeandika quran ni mwanasayansi. Sasa sijui unazungumzia mwanasayansi yupi?
 

Pana shida gani hapo??? Mwanzo wakamvalisha VAZI LA DHAMBARAU KISHA WAKAMVUA WAKAMVALISHA JEKUNDU pana shida gani hapo?? Naona unajitekenya na kucheka mnyewe! Nini au ndio sio rizki[emoji15] [emoji4]

Kumbe acha nikujibu kisilamu silamu [emoji23] [emoji23]
 

Ahahahaha mkuu tatizo vitabu vimeshuka toka juu labda virushwe juu uko vifanyiwe malekebisho alafu virudi
 
hoja yako nin kijana nimefika daktari bingwa

Habari ya KUPULIZWA makalio mshahara [emoji4] [emoji15] Yaani ile allah mkubwa chini tii kichwa chini makalio juu, kanda imenasa deki shetani ANAPULIZA [emoji4] sikupi pole dogo jambo la kujitakia [emoji12]
 
Ahahahhhahahahahahaha umeamua kudanganya watu izi injili mbili tofauti unalazimisha iwe moja ahahahhaha JEKUNDU au ZAMBARAU jibu swali
 
Habari ya KUPULIZWA makalio mshahara [emoji4] [emoji15] Yaani ile allah mkubwa chini tii kichwa chini makalio juu, kanda imenasa deki shetani ANAPULIZA View attachment 825994 [emoji4] sikupi pole dogo jambo la kujitakia [emoji12]
Ahahahhahahahaah maelekezo hayana mushkeli yamenyooka swali liko kwako alivishwa JEKUNDU au ZAMBARAU? ahahhahahaahahahaha
 
Ahahahhhahahahahahaha umeamua kudanganya watu izi injili mbili tofauti unalazimisha iwe moja ahahahhaha JEKUNDU au ZAMBARAU jibu swali
eti hizi ni INJILI tofauti [emoji12] INJILI ni Moja tu, na ni ya Yesu! Tofauti Injili nyingine ni ya nani??
 
Labda tufahamu tu kwamba mjadala kati ya sayansi na imani haijawahi kupatikana nani mshindi. Kwa sayansi ni mambo unayoweza kuthibitisha. Lakini kwenye imani ni vitu ambavyo mtu analazimika kuamini kama alivyopokea na hakuna uwezekano wa kuthibitisha. Kwahyo imani ndio hatari zaidi. Saizi uwezo wa Dunia ulipofikia ni wa kuthibitisha mambo. Huko kwenye Imani utaambiwa Yesu aliwalisha watu zaidi ya 5000 kwa vipande 12 vya samaki. Kwakuwa hili haliwezi kuthibitishwa kwahyo inawalaazimu wafia Dini kuamini.

Nirudi kwenye hoja. Katika hali ya kawaida jua haliwezi kuzama kwenye matope. Ni jambo la aibu kulitamka hadharani. Hiyo chemchem ya tope kwa miaka yote hiyo haijawahi kukauka. Kiangazi tu kinapasua ardhi pamoja na kwamba ardhi ina maji. Hayo ya jua kuzama kwenye matope sijawahi hata kuyasikia huku kwetu kanisani au kwenye misaafu ya kikiristo. Hayo yanaaminiwa na wenzetu waisilam. Sasa sijui labda kwa sabb ya uvivu wa kufikiria.

Hata sisi tulipokuwa wadogo hasa sisi tuliokulia vijijini kuna wakati tulikuwa tunarudisha ng'ombe kutoka malishoni baada ya kuona jua linazama kwenye milima na tuliamini kabisa jua huzama kwenye milima mirefu. Hata wazee walikuwa wanasema hivyo. Kwahyo hali hiyo ndiyo iliyomkuta huyo anayeitwa Mtume Mohamend kama mdau mmoja alivyotupia picha za jua kuzama maeneo tofauti tofauti. Lakini mwisho wa siku hakuna kitu kama hicho isipokuwa Dunia ndio inayozunguka hadi kulifanya jua kuonekana ktk mazingira tatanishi. Sisi tulikuwa tunaamini kuwa jua lilikuwa linazama kwenye mlima mmoja huko kwetu ulioitwa "Kewighegha" kwahyo haya ni mapokeo tu ambayo yanatakiwa kusahihishwa tu.

An Orator of all the Orators.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…