Kuna wakati,Kabla ya kusema na kuandika,Ilitupasa tusome kwanza
Quraan imeshuka kwa Lugha ya Kiarabu,Ilikuwa bora sana kwetu sisi,kuijua hii Lugha kwa undani wake,ili itusaidie katika kuichambua hii Quraan,kwasababu Quraan ya asili ipo mikononi mwetu na wala haijachafuliwa na wachafuzi,Hatuna sisi Quraan ya zamani(Agano la kale) na Quraan mpya(Agano jipya)
Neno
عين حمئة
Ni neno la Kiarabu,lenye maana kuu mbili
1)Uzamo wa jua upande wa Bahari
وقوله : ( وجدها تغرب في عين حمئة ) أي : رأى الشمس في منظره تغرب في البحر المحيط ، وهذا شأن كل من انتهى إلى ساحله ، يراها كأنها تغرب فيه ، وهي لا تفارق الفلك الرابع الذي هي مثبتة فيه لا تفارقه .
2)Tope jeusi
Na haya maneno,yamenukuliwa kutoka katika Torati
كان ابن عباس يقول ( في عين حمئة ) ثم فسرها : ذات حمأة . قال نافع : وسئل عنها كعب الأحبار فقال : أنتم أعلم بالقرآن مني ، ولكني أجدها في الكتاب تغيب في طينة سوداء .
Sasa ndg,Kabla kuwa na mdomo mpana wa kumtukana Mtume wa Allah Sala na salamu ziwe juu yake
Unatakiwa ujifunze mambo makuu mawili
1)Adabu kwanza
2)Elimu sahihi
Ndg
Wana JF,tuacheni chuki
tuwe na nia ya kujifunza na kuutafuta ukweli popote ulipo,kwa nia njema
Kubezana
kutukanana
Mabishano yasiyo na maana
hayana tija wala faida