Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Hata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
Kwa hiyo, ina maana hata ile nakala ya Mungu kule Mbinguni, nayo bado ina hilo fundisho kwamba Jua linachwea kwenye matope meusi licha ya kwamba Sayansi imeshathibitisha kwamba sio kweli hicho Kurani inachokiongelea? Ikiwa bado nakala ya Mungu inayo hiyo aya hiyo, Mungu anajisikiaje, kwa sababu sasa ni kama ameumbuka na wanadamu wataanza ku-doubt?
Unasema JUA likisogelea dunia ni kwamba dunia inawza kuyayuka kwa mujibu wa sayansi sasa alie enda huko ku proof wrong qur ani alifikaje bila kuyayuka
 
Is Jesus "God's Son" or "God's Servant (SLAVE)?" [1]


King James Version

Acts 3:25 - Ye are the children of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying unto Abraham, And in thy seed shall all the kindreds of the earth be blessed.​

Acts 3:26 - Unto you first God, having raised up his Son Jesus, sent him to bless you, in turning away every one of you from his iniquities.

New King James Version

Acts 3:25 - You are the sons of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying to Abraham, 'And in your seed all the families of the earth shall be blessed.​

Acts 3:26 - To you first, God, having raised up His Servant Jesus, sent Him to bless you, in turning every one of you away from his iniquities.

Unahubiri INJILI nyingine hivyo laana umeivaa [emoji117]
IMG_20180820_083038_030.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is Jesus "God's Son" or "God's Servant (SLAVE)?" [1]


King James Version

Acts 3:25 - Ye are the children of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying unto Abraham, And in thy seed shall all the kindreds of the earth be blessed.​

Acts 3:26 - Unto you first God, having raised up his Son Jesus, sent him to bless you, in turning away every one of you from his iniquities.

New King James Version

Acts 3:25 - You are the sons of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying to Abraham, 'And in your seed all the families of the earth shall be blessed.​

Acts 3:26 - To you first, God, having raised up His Servant Jesus, sent Him to bless you, in turning every one of you away from his iniquities.
King James is not the best Bible to answer the most critical questions about The God Jesus Christ. Look for The Holy Bible, that has no ones Name. Thats is were all dogmas lie.

Hali Ni Mbaya zaidi kwa Noble Quran. The only version that holds true Meaning is Arabic Quran. The massage is violence, it was forged by Othman himself. Unlike Hizi English, Swahili Versions etc of Quran are all deceptive. Translations were made to deceive the Non Muslims.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyoka aliyejeruhiwa
Kiongozi wa Cult alipombaka mtoto ayesha?
Alipomchinja Baba,Kaka, wajomba wa msichana wa kiyahudi Safiya na ndugu zake kisha akamfanya Mkewe. Huku ndugu zake akiwafanya watumwa?.
Vipi alipombaka msichana wa kiyahudi Rayhanna15?.

More accusations.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si unajua kila binadadamu ana mapungufu yake.
Muhammadi alikua ni binadamu tu na alikuwa anamakosa kama binadamu wengine.
Ndio maana aliambiwa,

" tubu kwa dhambi zako na dhambi za uma wako "

Au "

ubaya uliokufika umetoka nafsini mwako "

Muhammadi alifanya dhambi nyingi tu hapa duniani, mijawapo huenda ikawa ni hiyo.

Mwana wa Adamu aliyeshuka toka mbinguni na Akapaa kwenda Mbinguni, Simba wa kabila la Yuda, ambaye Yuko hai muda wote, (NIKO AMBAE NIKO) Alfa na Omega, Emmanueli, Mwana Mungu, NENO, MUWEZA wa yote, Yesu Kristo wa Nazaleti, Muumba wa Mbingu na Nchi, Mungu Mwenye Nguvu ( Isaya 9:6) ndiye pakee Mtakatifu na mkamilifu.
Alisisitiza sana mara kwa mara kwa kusema,
" heri yao wale wasio na mashaka nami "
"ninyi mmebahatika kujua siri ya ufalme wa Mbingu "
Ila kuna watu, wanamasikio lakini hawasikii, wanamacho lakini hawaoni.
Ibilisi amewafunga Nafsi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si unajua kila binadadamu ana mapungufu yake.
Muhammadi alikua ni binadamu tu na alikuwa anamakosa kama binadamu wengine.
Ndio maana aliambiwa,

" tubu kwa dhambi zako na dhambi za uma wako "

Au "

ubaya uliokufika umetoka nafsini mwako "

Muhammadi alifanya dhambi nyingi tu hapa duniani, mijawapo huenda ikawa ni hiyo.

Mwana wa Adamu aliyeshuka toka mbinguni na Akapaa kwenda Mbinguni, Simba wa kabila la Yuda, ambaye Yuko hai muda wote, (NIKO AMBAE NIKO) Alfa na Omega, Emmanueli, Mwana Mungu, NENO, MUWEZA wa yote, Yesu Kristo wa Nazaleti, Muumba wa Mbingu na Nchi, Mungu Mwenye Nguvu ( Isaya 9:6) ndiye pakee Mtakatifu na mkamilifu.
Alisisitiza sana mara kwa mara kwa kusema,
" heri yao wale wasio na mashaka nami "
"ninyi mmebahatika kujua siri ya ufalme wa Mbingu "
Ila kuna watu, wanamasikio lakini hawasikii, wanamacho lakini hawaoni.
Ibilisi amewafunga Nafsi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
King James is not the best Bible to answer the most critical questions about The God Jesus Christ. Look for The Holy Bible, that has no ones Name. Thats is were all dogmas lie.

Hali Ni Mbaya zaidi kwa Noble Quran. The only version that holds true Meaning is Arabic Quran. The massage is violence, it was forged by Othman himself. Unlike Hizi English, Swahili Versions etc of Quran are all deceptive. Translations were made to deceive the Non Muslims.



Sent using Jamii Forums mobile app
King James is not the best ndivyo ulivyoambiwa na Padri wako au Kardinali wako Pengo??
 
Kumbe Kwenye biblia ya king James kumeandikwa injili nyengine?? Au injili ya popo Francis Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi ndiyo injili ya kweli??

KUMBE MTUME MUHAMMAD alikuwa na tabia ya kuwapiga wake zake, hususan Aisha na Hafsa.

Nabii wa Alah Muhammad alipiga Aisha kifuani na kumsababishia maumivu makali. Sahih Muslim #2127:
SOMA KISA HIKI HAPA CHINI.

Sahih Muslim #2127:
Ilipokuwa zamu yangu kwa Nabii wa Allah kuwa nami usiku, aliingia na kugeuka, akavua joho lake na viatu vyake, na kuviweka karibu na miguu yake, na akajilaza kwenye kitanda mpaka alipo fikiria kuwa na mimi nimelala.

Basi akachukua joho lake taratiibu na kuvaa viatu vyake, na akafungua mlango na kutoka nje na kuufunga taratibu. Aisha akasema, na mimi nikajifunika kichwa changu, na kuvaa hijabu yangu na kujifunga nguo kiunoni mwangu, na baadae nikatoka nje na kumfuta Nabii wa Allah mpaka alipo fika Baqi.
Alisimama pale kwa muda mrefu. Na baadae akanyanyu mikono yake mara tatu, na baadae kurudi, na mimi vile vile nikarudi nyumbani. Alikuwa anatembea kwa haraka haraka, na mimi vile vile nilitembea kwa haraka haraka. Alikimbia, na mimi nikakimbia vile vile. Akaja nyumbani na mimi vile vile nilikwenda nyumbani, ingawa mimi nilkwenda kwa haraka kabla yake. Nilipo ingia tu na kujilaza kitandani, na Nabii wa Allah akaingia nyumbani, akasema: Hii ni nini, O' Aisha, mbona unahema sana? Nikamwambia, hakuna kitu.

Akasema, Niambie au una mambo ya siri hautaki kuniambia.
Nikamwabia, Nabii wa Allah, baba na mama yangu wawe fidia kwako, halafu nikamwambia kila kitu bila kumficha kitu. Muhammad akasema, kumbe nilicho kuwa nakiona kwenye giza mbele yangu ilikuwa ni wewe? Nikamjibu, NDIO. Basi Nabii wa Allah, AKANIPIGA KWA NGUVU SANA KWENYE KIFUA CHANGU, na nilipatwa na maumivu makali sana. HALAFU AKASEMA, unafikiri Allah na Nabii wake wamekuonea?

Bukhari volume 8, #828
Amesema Aisha: Abu Bakr alikuja kwangu na akanipiga ngumi kwa nguvu sana na kusema, umewaweka watu kizuizini kwasababu ya mkufu wako. Lakini nilikuwa nimekaa kimya kama vile nimekufa, .......

Jamani, eti huyu ndie Nabii wa Allah. Hana jema zaidi ya kupiga wake zake, kisa, mke mtu kamfuata Baqi. Je, kama Muhmmad alicho kuwa anafanya ni jambo jema, kwanini aliondoka nyumbani kwake kimya kimya?

Kama kweli Muhammad hakwenda kufanya NDUMBA, kwanini alichukia pale alipo ambiwa kuwa Aisha na yeye alikuwa Baqi?

Hivi, kwanini MUHAMMAD ALIKUWA ANAPIGA WAKE ZAKE?

Hakika huyu hakuwa Nabii wa Mungu bali Allah mpinga Mungu.

Leo tumejifunza tena kuwa, kumbe katika Uislam,

wanaruhusikwa kuwapiga wake zao. Huu ni MSIBA MKUBWA KWA WANAWAKE WENZANGU[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

View attachment 842044 [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Kwenye biblia ya king James kumeandikwa injili nyengine?? Au injili ya popo Francis Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi ndiyo injili ya kweli??
Angalia ujumbe ulio kusudia kuuleta [emoji12] wewe ndie ninae kwambia Unahubiri INJILI nyingine [emoji12] kama hauhubiri INJILI nyingine sema YESU NI MWANA WA MUNGU [emoji4] sema [emoji15] [emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia ujumbe ulio kusudia kuuleta [emoji12] wewe ndie ninae kwambia Unahubiri INJILI nyingine [emoji12] kama hauhubiri INJILI nyingine sema YESU NI MWANA WA MUNGU [emoji4] sema [emoji15] [emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app


Gavana hajaandika biblia au unafikiri mimi nimeandika King James version ???


Is Jesus "God's Son" or "God's Servant (SLAVE)?" [1]

King James Version
Acts 3:25 - Ye are the children of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying unto Abraham, And in thy seed shall all the kindreds of the earth be blessed.​

Acts 3:26 - Unto you first God, having raised up his Son Jesus, sent him to bless you, in turning away every one of you from his iniquities.

New King James Version
Acts 3:25 - You are the sons of the prophets, and of the covenant which God made with our fathers, saying to Abraham, 'And in your seed all the families of the earth shall be blessed.​

Acts 3:26 - To you first, God, having raised up His Servant Jesus, sent Him to bless you, in turning every one of you away from his iniquities.

"Servant" here is slave. Jesus was called ABD (SLAVE) in the OT [2], the
same word used for the Jews' slaves, and all slaves in general, throughout
the Bible [2]. Jesus, the abd of GOD, is also the slave of GOD in the NT.​
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom