masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Majemedari ni wachache yoshua ndio kawaingiza waisrael nchi ya ahadi ww unafikir damu kiasi gani imemwagika amri nzito apewi mtu asiye ziweza sasa kama watu wanakutemea mate huu ni unyonge wa kiwango cha kimataifaaliye umba magaidi Wa kuwasumbua Mitume ni allah [emoji117] View attachment 844996 wameshindwa Yesu yuko Hai wanajifanya eti alibabaishiwa mtu mwingine [emoji15] [emoji4] nani? Hawamjui hata jina [emoji38] [emoji38] Hao unaosema majemedari wengine wamekufa wamepakatwa na mkewe huku analia lia [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app