Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani

Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu (kama tulivyoona katika makala iliyopita katika gazeti hili), maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine.

Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni!

Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania.

Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (tazama Yohana 8:40)

na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, itakumbukwa katika makala iliyopita katika gazeti hili tuliona jinsi Mungu (Yehova au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme).

Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu ni sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme).

Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali!

Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.) kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme.
Umeandika Mambo mengi sana. Hata kuariri hauwezi. Anyway..
Labda niseme hivi. Unachokipinga na unachokubaliana nacho non of them you believe.
Hivyo Hata ukifahamu kua Yesu Kristo ni Mtume. Bado haujafuata Amri zake.

Kinachokuumiza zaidi hapa sio swala la Miungu watatu au Mmoja. Kwakua Wakristo wanaamini katika Mungu Mmoja. Hili halina ubishi.

Kinachokuumiza hapa ni kuona Wakristo hawamuamini Mohammad wala allah wake wa kutengeneza.

Na hii imethibitishwa hata Kuran yako na Bibilia kwamba Ukoo wa Makuhani unapitia kuanzia line ya Abrahamu, Isaack, na Israel tu.

Ukweli Mchungu ni kwamba hata Paulo naye ni Mwisraeli.

Wakati Mohammad ni mwarabu Mpagani wa Mecca yeye na Babu yake wakihudumu Kaaba miaka nenda miaka rudi. Na Mtoto pekee Aliyesuswa na Mama yake mzazi.

Koran ni ya waarabu wa Mecca peke yake.
Waarabu wametumia dini yao kama kasha la kuenesa utamaduni wao. Hata wakajichukulia mapande ya ardhi kutoka Afrika huko Libya,Algeria, Morocco, Sudan ni ardhi ya watu weusi.
Wakataka kumpora na Mwisraeli wakijidai Yerusalemu ni Mji wao Mtakatifu. Kumbe Mwisraeli ni mtoto Mrithi akawagundua Hila zao. Akawachapa vibaya.
Ha ha ha ha.
 
point yangu ni hii hapa

Kwani nani alikuambia kuwa kuna conflict ??
Kama hamna conflict, ukichotaka kusema ni kipi?

You are jumbled.

Sijui hata kama unaelewa confkict ni nini.

You juxtapose two statements as if they create a collision.

And then when asked. You say there is no conflict.

So what are you trying to say?

That you are a fucking moron?
 
Umeandika Mambo mengi sana. Hata kuariri hauwezi. Anyway..
Labda niseme hivi. Unachokipinga na unachokubaliana nacho non of them you believe.
Hivyo Hata ukifahamu kua Yesu Kristo ni Mtume. Bado haujafuata Amri zake.

Kinachokuumiza zaidi hapa sio swala la Miungu watatu au Mmoja. Kwakua Wakristo wanaamini katika Mungu Mmoja. Hili halina ubishi.

Kinachokuumiza hapa ni kuona Wakristo hawamuamini Mohammad wala allah wake wa kutengeneza.

Na hii imethibitishwa hata Kuran yako na Bibilia kwamba Ukoo wa Makuhani unapitia kuanzia line ya Abrahamu, Isaack, na Israel tu.

Mohammad ni mwarabu Mpagani wa Mecca yeye na Babu yake. Na Mtoto pekee Aliyesuswa na Mama yake mzazi.

Koran ni ya waarabu wa Hapi mecca peke yake.
Waarabu wametumia dini yao kama kasha la kuenesa utamaduni wao. Hata wakajichukulia mapande ya ardhi kutoka Afrika huko Libya,Algeria, Morocco, Sudan ni ardhi ya watu weusi.
Wakataka kumpora na Mwisraeli wakijidai Yerusalemu ni Mji wao Mtakatifu. Kumbe Mwisraeli ni mtoto Mrithi akawagundua Hila zao. Akawachapa vibaya.
Ha ha ha ha.

Sifa kuu za mungu-mtu wa Ukristo kama zilivyohubiriwa na Paulo

Wakati tukiendelea kupata uchambuzi huu maridhawa juu ya mungu-mtu wa dini ya Kikristo, jambo lingine muhimu ambalo ningependa kuligusia ni kwamba, kulingana na maelezo ya Biblia tukufu, Bwana Paulo ninayemzungumzia hapa ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza katika agano jipya kuandika nyaraka zake kabla ya waandishi wengine wa agano jipya kuandika Injili zao na nyaraka zao.

Aidha, Biblia inaeleza pia kuwa Bwana Paulo alipokuwa akiandika nyaraka zake hizo alikuwa akiandikia dini yake ya Ukristo (ya mungu-mtu huyo na ibada zake).

Waandishi hao wa agano jipya ambao imeripotiwa kuwa nao pia waliuandikia Ukristo ambapo walianza rasmi kuandika Injili zao na nyaraka zao kuanzia miaka ya 36 hadi 45 baada ya Paulo kuandika na kusambaza nyaraka zake hizo (rejea Biblia ya Wakatoliki Imprimatur, Mihayo, 1967 Tabora, kwenye maelezo juu ya nyaraka za Paulo na kwenye maelezo ya Injili mbalimbali).

Kwa shuhuda hiyo, ni wazi kuwa waandishi hao nao pia walikuwa wakiiandikia dini ya Kikristo ya Paulo.

Kwa hali hiyo, imedhihirika kuwa baada ya Bwana Paulo kuzichukua imani na ibada za watu wa mataifa (au wapagani) na kuziandika kwenye nyaraka zake na kudai kuwa zinamhusu Yesu (a.s.) kazi ya pekee iliyofanywa na waandishi hao ni kusherehesha maneno hayo ya Paulo kama yalivyo kwenye nyaraka zake.

Kwa maantiki hiyo, kama tulivyoona katika toleo lililopita kwamba sifa kuu mojawapo ya miungu-Zeu na Herme ya wapagani kwamba ni kufa, Bwana Paulo naye alifundisha kuwa mungu wake huyo (mungu-mtu) aliyemhubiri kuwa na desturi moja na miungu hiyo (ya wapagani) na kumwita "Yesu" kwamba naye vile vile anayo sifa hiyo (ya kufa), kwa kusema:

"Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali kwenye dhambi". (Warumi 5:8)

Hapa Bwana Paulo anafundisha wazi kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" (Kristo) alikufa! Sambamba na mafundisho yake hayo, ili kuthibitisha kwamba waandishi wa Injili na nyaraka wa agano jipya kwamba mara nyingi walikuwa wakisherehesha nyaraka za Paulo, sifa hiyo (ya kufa) aliyonayo mungu huyo wa Paulo baadae nao waliishabikia ajabu, kwa kuandika kwa mapana na marefu; ambapo kila mwandishi aliandika kwa staili ya aina yake katika juhudi za kumpambia mungu wao huyo sifa yake hiyo (ya kufa), hali iliyoibua mgongano mkubwa kimasimulizi na kuwaacha wasomaji wasijue nani mkweli. (Tazama Injili ya Mathayo, Marko, Luka,Yohana na nyaraka za Petro, Yohana, Yakobo, Yuda na Ufunuo wa Yohana n.k.)

Na ndivyo hivyo hivyo waandishi hao walivyosheresha kwa unazi sifa ya kufufuka (ya miungu- Zeu na Herme) miaka michache baada ya 'mwalimu wao', Bwana Paulo kuandika katika nyaraka zake kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" naye vile vile anayo sifa hiyo (ya kufufuka), kwa kusema:

"Mkumbukeni Yesu Kristo aliyefufuka katika wafu, wa uzao wa Daudi kama inenavyo Injili yangu". (2 Timotheo 2:8)

Kwa ufupi, haya ndio mafundisho ya Bwana Paulo yaliyo katika Injili yake yakiithibitisha sifa kuu nyingine ya kufufuka aliyonayo mungu wake huyo aliyemwita "Yesu", ambapo baadae waandishi wa agano jipya waliisherehesha kwa mapana na marefu. (Rejea Injili na nyaraka zao).

Sifa Kuu nyingine za Mungu huyo wa Paulo na Ukristo mwenye asili na desturi za miungu-watu ya wapagani, kwa uchache waandishi hao walizisherehesha katika Injili zao kama ifuatavyo:

Kuzaliwa na mwanamke (Tazama Luka 2:4-7)
Kuvikwa nguo ( Luka 2:6)
Kuona kiu (Yohana 19:28)
Kula na kunywa (Mathayo 11:19 na Yohana 4:7)
Kuvuliwa nguo (Mathayo 27:27-28)
Kupigwa (Mathayo 27:27-30)
Kulia machozi (Yohana 11:35)
Kuchoka (Yohana 4:6)
Kulala usingizi (Mathayo 8:23-24)
Kutokujua mambo yote (Mathayo 24:36)
Kuwa na ukoo (Mathayo 1:1)

Kwa uchache, hizi ndizo sifa kuu za mungu wa Paulo aliyemwita "Yesu" mwenye desturi ya kujigeuza kuwa mwanadamu sawa na miungu-Zeu na Herme inayoaminiwa na wapagani. Na kama tulivyoona katika sifa za kwanza za mada hii katika gazeti hili, Mungu-Yehova ameepukana mbali kabisa na sifa zote hizi.

Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa mungu aliyemhubiri Paulo ambaye ndiye mungu wa Wakristo, siyo Mungu-Yehova ambaye ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Nabii Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani (a.s).
 
Kama hamna conflict, ukichotaka kusema ni kipi?

You are jumbled.

Sijui hata kama unaelewa confkict ni nini.

You juxtapose two statements as if they create a collision.

And then when asked. You say there is no conflict.

So what are you trying to say?

That you are a fucking moron?


Take it easy

Kwani nani alikuambia kuwa kuna conflict ??
 
Take it easy

Kwani nani alikuambia kuwa kuna conflict ??
Umeshakubali hakuna conflict.

Point yako katika kulinganisha sehemu mbili nikizoandika ni nini?

Kama hata wewe mwenyewe unaelewa unachoandika at all.
 
Umeshakubali hakuna conflict.

Point yako katika kulinganisha sehemu mbili nikizoandika ni nini?

Kama hata wewe mwenyewe unaelewa unachoandika at all.


Mbona hujibu

Hivi nani alikuambia kuna conflict ???
 
Sifa kuu za mungu-mtu wa Ukristo kama zilivyohubiriwa na Paulo

Wakati tukiendelea kupata uchambuzi huu maridhawa juu ya mungu-mtu wa dini ya Kikristo, jambo lingine muhimu ambalo ningependa kuligusia ni kwamba, kulingana na maelezo ya Biblia tukufu, Bwana Paulo ninayemzungumzia hapa ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza katika agano jipya kuandika nyaraka zake kabla ya waandishi wengine wa agano jipya kuandika Injili zao na nyaraka zao.

Aidha, Biblia inaeleza pia kuwa Bwana Paulo alipokuwa akiandika nyaraka zake hizo alikuwa akiandikia dini yake ya Ukristo (ya mungu-mtu huyo na ibada zake).

Waandishi hao wa agano jipya ambao imeripotiwa kuwa nao pia waliuandikia Ukristo ambapo walianza rasmi kuandika Injili zao na nyaraka zao kuanzia miaka ya 36 hadi 45 baada ya Paulo kuandika na kusambaza nyaraka zake hizo (rejea Biblia ya Wakatoliki Imprimatur, Mihayo, 1967 Tabora, kwenye maelezo juu ya nyaraka za Paulo na kwenye maelezo ya Injili mbalimbali).

Kwa shuhuda hiyo, ni wazi kuwa waandishi hao nao pia walikuwa wakiiandikia dini ya Kikristo ya Paulo.

Kwa hali hiyo, imedhihirika kuwa baada ya Bwana Paulo kuzichukua imani na ibada za watu wa mataifa (au wapagani) na kuziandika kwenye nyaraka zake na kudai kuwa zinamhusu Yesu (a.s.) kazi ya pekee iliyofanywa na waandishi hao ni kusherehesha maneno hayo ya Paulo kama yalivyo kwenye nyaraka zake.

Kwa maantiki hiyo, kama tulivyoona katika toleo lililopita kwamba sifa kuu mojawapo ya miungu-Zeu na Herme ya wapagani kwamba ni kufa, Bwana Paulo naye alifundisha kuwa mungu wake huyo (mungu-mtu) aliyemhubiri kuwa na desturi moja na miungu hiyo (ya wapagani) na kumwita "Yesu" kwamba naye vile vile anayo sifa hiyo (ya kufa), kwa kusema:

"Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali kwenye dhambi". (Warumi 5:8)

Hapa Bwana Paulo anafundisha wazi kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" (Kristo) alikufa! Sambamba na mafundisho yake hayo, ili kuthibitisha kwamba waandishi wa Injili na nyaraka wa agano jipya kwamba mara nyingi walikuwa wakisherehesha nyaraka za Paulo, sifa hiyo (ya kufa) aliyonayo mungu huyo wa Paulo baadae nao waliishabikia ajabu, kwa kuandika kwa mapana na marefu; ambapo kila mwandishi aliandika kwa staili ya aina yake katika juhudi za kumpambia mungu wao huyo sifa yake hiyo (ya kufa), hali iliyoibua mgongano mkubwa kimasimulizi na kuwaacha wasomaji wasijue nani mkweli. (Tazama Injili ya Mathayo, Marko, Luka,Yohana na nyaraka za Petro, Yohana, Yakobo, Yuda na Ufunuo wa Yohana n.k.)

Na ndivyo hivyo hivyo waandishi hao walivyosheresha kwa unazi sifa ya kufufuka (ya miungu- Zeu na Herme) miaka michache baada ya 'mwalimu wao', Bwana Paulo kuandika katika nyaraka zake kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" naye vile vile anayo sifa hiyo (ya kufufuka), kwa kusema:

"Mkumbukeni Yesu Kristo aliyefufuka katika wafu, wa uzao wa Daudi kama inenavyo Injili yangu". (2 Timotheo 2:8)

Kwa ufupi, haya ndio mafundisho ya Bwana Paulo yaliyo katika Injili yake yakiithibitisha sifa kuu nyingine ya kufufuka aliyonayo mungu wake huyo aliyemwita "Yesu", ambapo baadae waandishi wa agano jipya waliisherehesha kwa mapana na marefu. (Rejea Injili na nyaraka zao).

Sifa Kuu nyingine za Mungu huyo wa Paulo na Ukristo mwenye asili na desturi za miungu-watu ya wapagani, kwa uchache waandishi hao walizisherehesha katika Injili zao kama ifuatavyo:

Kuzaliwa na mwanamke (Tazama Luka 2:4-7)
Kuvikwa nguo ( Luka 2:6)
Kuona kiu (Yohana 19:28)
Kula na kunywa (Mathayo 11:19 na Yohana 4:7)
Kuvuliwa nguo (Mathayo 27:27-28)
Kupigwa (Mathayo 27:27-30)
Kulia machozi (Yohana 11:35)
Kuchoka (Yohana 4:6)
Kulala usingizi (Mathayo 8:23-24)
Kutokujua mambo yote (Mathayo 24:36)
Kuwa na ukoo (Mathayo 1:1)

Kwa uchache, hizi ndizo sifa kuu za mungu wa Paulo aliyemwita "Yesu" mwenye desturi ya kujigeuza kuwa mwanadamu sawa na miungu-Zeu na Herme inayoaminiwa na wapagani. Na kama tulivyoona katika sifa za kwanza za mada hii katika gazeti hili, Mungu-Yehova ameepukana mbali kabisa na sifa zote hizi.

Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa mungu aliyemhubiri Paulo ambaye ndiye mungu wa Wakristo, siyo Mungu-Yehova ambaye ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Nabii Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani (a.s).

Kule India kuna miungu watu (Gurus) hadi ya Ng'ombe.
Na wako peace sana wahindu. Kua na Mungu Mtu, Sio jambo Baya kama unavyofikiri. Tena unampata Mungu anayeweza kuendana na hali zetu sisi wanadamu. Jambo baya ni kua na mungu ambaye ni "ghost" ( i.e. fiction character). Na ambaye anaongoza waumini wake waue kila mtu asiyeamuamini. Kuongozwa na mtu ambaye hana Elimu hata ya chekechea kuua wanadamu wasio na Hatia, aliyedai kuwaumba.kukataza kuichunguza dini, kwakua ukichunguzA itapelekea uiache Imani. Kueneza imani kwa uongo. kuua yeyote anayehasi dini. Haya na mengine yote yanaiweka imani yako kwenye maswali yaliokosa majibu. Ive touched the nerves.Najua kinachofuata hapa ni Povu
 
Umeshakubali hakuna conflict.

Point yako katika kulinganisha sehemu mbili nikizoandika ni nini?

Kama hata wewe mwenyewe unaelewa unachoandika at all.
Usimuamini huyu Gavana
Ugomvi upo palepale. Its all about kill, Pay Jizya or convert to Islam.
 
MBONA ZILIPENDWA KILA SIKUUUUUUU HUNA JIPYA ???

Pata chai ya usiku hii

Paulo kutomtambua Mungu-Yehova

Katika shuhuda za Biblia tukufu zilizotangulia hapo juu, tumeona jinsi Paulo alivyosimama imara na kuihubiri miungu ya kipagani (kama akina Zeu na Herme) kwa jina la "Yesu".

Aidha, akitilia mkazo msimamo wake huo (wa kufundisha miungu hiyo ya kipagani peke yake), Bwana Paulo alionyesha wazi kuwa hamtambui kabisa Mungu-Yehova.

Uthibitisho wa hilo tunaupata katika kauli zake (Paulo) zifuatayo:

"Maana imani ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na mwokozi wetu, ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafisha watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema". (Tito 2:11-14)

"Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili, ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake, ambao mababu ni wao, katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu mwenye kuhimidiwa milele. Amina." (Warumi 9:3-5).

Katika kuonyesha kwamba hamtambui kabisa Mungu-Yehova na kwamba amedhamiria kumhubiri peke yake mungu-Zeu na Herme kwa jina la "Yesu", Bwana Paulo hapa anadai kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" ni mungu mkuu na ndiye mungu aliye juu ya mambo yote! Kwa maana kwamba kama kuna Mungu mwingine yoyote basi Mungu wake huyo ndiye zaidi (mkuu)!

Hata hivyo, la kusikitisha, wakati Bwana Paulo anawafundisha wanadamu kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" kuwa ndiye mkuu, tayari Bwana Yesu mwenyewe alikwishafundisha kwamba Mungu-Yehova ndiye Mkuu kuliko yeye (Yesu a.s.) (tazama Yohana 14:28).

Hii yote ni kudhihirisha kuwa Mungu aliyemhubiri Paulo ni mungu yule yule mwenye asili ya miungu ya wapagani (kama akina Zeu na Herme) na kamwe siyo Mungu-Yehova ambaye ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wengine wote (a.s.) aliowatuma duniani.

Kama ndivyo unapo mswalia mtume elekezeza makalio kibla ili wende na wakati [emoji12] inakugusa pabaya eeh [emoji15] kunywa glasi ya kohozi
IMG_20180910_205007_541.jpg
[emoji53]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Yule uliyemfanya mungu aliyejibandika nyama alikuelekezea wewe makalio aliposujudu??
According to Islam and the Qur’an, Allah is the name given to the one deity that was already known to the pagan Arabs as the supreme being.

The Arab Christians’ never used the term “Allah” when referring to God.
Hence, “Allah” refers only to the supreme deity of Islam.
 
Adam, Noah, Abraham, Moses and Jesus.
[emoji115] [emoji115]
A full study of all these supposedly “similar characters” But 
What is gained from this comparison is that, through a process of denials, omissions, replacements and additions, the Qur’an has created different versions of the Biblical characters, with similar sounding names, but with stark differences in the nature of their missions, storyline details, outcomes—in short a completely new and different narrative.


The central question is:
“Who is this Allah?”,

[emoji115] [emoji115]
which leads to the following further questions:
What did he create?
How did Muslim scholars through the centuries develop the “Tawheed” characterisation?
If Allah is basically the same as the Lord God of the Bible, then why is he limited, yet absolutely powerful?
Why isn’t belief in Allah alone sufficient?
Why is it FORBIDDEN TO ASK ANY QUESTIONS about the nature of Allah?
 
According to Islam and the Qur’an, Allah is the name given to the one deity that was already known to the pagan Arabs as the supreme being.
It is beyond the scope of this book to address the issue of Arab Christians’ usage of the term “Allah” when referring to God.
Hence, “Allah” in this book refers only to the supreme deity of Islam.
Tumekusikia sasa jibu swali , Yule unayemuabudu aliyejibandika nyama alikuelekezea wewe makalio aliposujudu??
 
Tumekusikia sasa jibu swali , Yule unayemuabudu aliyejibandika nyama alikuelekezea wewe makalio aliposujudu??

Em tuambie, Abrahamu wa kwenye Koroani aliambiwa na akina nani achome masanamu ya wapagani. Ikiwa allah hakumshushia wahyi ? Na mnasema allah sio Mtu na pia hazungumzi moja kwa moja na manabii wake. Abrahamu Alijuaje?

Ukishindwa hili swali choma hicho kitabu uje kumpokea Yesu.
 
Usimuamini huyu Gavana
Ugomvi upo palepale. Its all about kill, Pay Jizya or convert to Islam.
Huyu haelewi hata aliposimamia wapi, mradi anabisha kubisha tu.

Hata anachobisha hakijui, hajui anabishaje, kwa sababu gani, kivipi, wapi, kwa mantiki gani.

Anabisha tu.

Hajui hata anapokubali na anapokataa, anakubali, halafu baada ya kukubali, anabisha tena alichokubali.

Anabisha mpaka anabisha hata kwamba anabisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom