Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Yesu alikwisha Tufundisha pale msemapo Manabii woooote tunawaami hiyo ni domoni tu [emoji117] View attachment 877105 hivyo Andiko LIMETIMIA na KUIMARISHA IMANI YANGU [emoji117] HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PROF PAULO NI RASUL WA YESU [emoji123] [emoji106] Habari ndio hiyo anae kataa anywe sumu ya panya au ajidunge ndoba asepe [emoji53]


Was there an earthquake when Jesus died or not, and did many of the dead resurrect or not?


Matthew 27:51-53

51 At that moment the curtain of the temple was torn in two from top to bottom. The earth shook and the rocks split.
52 The tombs broke open and the bodies of many holy people who had died were raised to life.
53 They came out of the tombs, and after Jesus' resurrection they went into the holy city and appeared to many people.


You would expect that such monumental event be recorded not only all over the New Testament, but also in 100s of books throughout history, since it would've been witnessed by thousands and told by thousands. Yet, not only the gospels of Mark, Luke and John are virtually silent about (no earthquakes and no resurrections of dead bodies), but so are the history books! No testimonies and no recordings of anything of this sort. Obviously, the writer of the gospel of Matthew got too carried away with his hoax.


Why is this relevant? Because this serves to prove that the gospels were indeed:


  1. Written by unknown people.
  2. Written by an unknown number of people.
  3. Written in unknown places.
  4. Written in unknown dates.
  5. Full of "fables", "fairy tales", and "fictions" as the Bible's own theologians admit.
What does this mean?

It means that the person or persons who wrote the false gospel of Matthew, wrote it during a time and place when the other gospels weren't around at least to the local community of where the false gospel was written. The place was also most likely very far away from Palestine, where the people would not have had the ability to double check this monumental claim. That is why such a lie was easily fabricated and recorded.


It is also worth mentioning that the people in rural and underdeveloped areas usually tend to gossip and exaggerate too much. And this is true in any country's and society's rural areas. Gossipers tend to blow things way out of proportion. They exaggerate too much and they lie too much, even if their intention is not to lie. That's just their human nature, because:


1- They are not educated.


2- They don't have a wide perspective of life. They're very isolated in their limited life (farming, milking, etc...).


3- They have too much time on their hands, and they interact with each others too much, which results in a culture of gossipers and "white liars".


But here is the big big problem!! We're not talking about the gossipers! We're talking about the Holy and Divine Words of GOD Almighty! So if the mentioned monumental events never took place, then they should not have gossiped their way through the Gospels, because this will then turn the Gospels themselves into Gossips, which in reality they are without a doubt, and this will further prove that the Bible contains many many man-made lies, which it does. That is why the gospels of Mark, Luke and John and the history books are virtually silent about these monumental events. Because it's a lie!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji38]


Here is an email that I received from a Christian regarding Mark 16:17-18:

From: R. Mercer
To: Gavana
Subject: I Totally Agree
13:41:57 -0700

"What credibility does Christianity have when it scriptures are littered
with such dangerous and obvious forgeries?"


That is my question entirely. Just what are we to believe? If forgeries have been proven to
exist in the Bible, then how many more must there be? What about the
chapters and verses we all guide our whole life/styles by?
Are they
forgeries, too?

This verse in Mark 16:17-18, has always bothered me. I have, and
still do believe the rest of that passage (laying on of hands, healing
the sick,...), so how can that part of the passage be true when the
serpent part is forged?

I know the part on drinking any poison says "IF", but the part on
taking up serpents says "SHALL", which has always been a problem for me
to believe. Imagine us all being forced to take up serpents in order to
serve God.


On the other hand, if this was forged, then that creates an even
bigger concern for me. Not knowing what text in our Bible is authentic
and what is not.

Thanks for letting me take up so much of your time. Like I said
before, this passage always bothered me, probably more so than any other.

Thanks, once again. Good Day.
 
Here is an email that I received from a Christian regarding Mark 16:17-18:

From: R. Mercer
To: Gavana
Subject: I Totally Agree
13:41:57 -0700

"What credibility does Christianity have when it scriptures are littered
with such dangerous and obvious forgeries?"


That is my question entirely. Just what are we to believe? If forgeries have been proven to
exist in the Bible, then how many more must there be? What about the
chapters and verses we all guide our whole life/styles by?
Are they
forgeries, too?

This verse in Mark 16:17-18, has always bothered me. I have, and
still do believe the rest of that passage (laying on of hands, healing
the sick,...), so how can that part of the passage be true when the
serpent part is forged?

I know the part on drinking any poison says "IF", but the part on
taking up serpents says "SHALL", which has always been a problem for me
to believe. Imagine us all being forced to take up serpents in order to
serve God.


On the other hand, if this was forged, then that creates an even
bigger concern for me. Not knowing what text in our Bible is authentic
and what is not.

Thanks for letting me take up so much of your time. Like I said
before, this passage always bothered me, probably more so than any other.

Thanks, once again. Good Day.

Aliye ku-email ni huyu [emoji117] ?
IMG_20180925_151125_252.jpg
IMG_20180925_151219_859.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Was there an earthquake when Jesus died or not, and did many of the dead resurrect or not?


Matthew 27:51-53

51 At that moment the curtain of the temple was torn in two from top to bottom. The earth shook and the rocks split.
52 The tombs broke open and the bodies of many holy people who had died were raised to life.
53 They came out of the tombs, and after Jesus' resurrection they went into the holy city and appeared to many people.


You would expect that such monumental event be recorded not only all over the New Testament, but also in 100s of books throughout history, since it would've been witnessed by thousands and told by thousands. Yet, not only the gospels of Mark, Luke and John are virtually silent about (no earthquakes and no resurrections of dead bodies), but so are the history books! No testimonies and no recordings of anything of this sort. Obviously, the writer of the gospel of Matthew got too carried away with his hoax.


Why is this relevant? Because this serves to prove that the gospels were indeed:


  1. Written by unknown people.
  2. Written by an unknown number of people.
  3. Written in unknown places.
  4. Written in unknown dates.
  5. Full of "fables", "fairy tales", and "fictions" as the Bible's own theologians admit.
What does this mean?

It means that the person or persons who wrote the false gospel of Matthew, wrote it during a time and place when the other gospels weren't around at least to the local community of where the false gospel was written. The place was also most likely very far away from Palestine, where the people would not have had the ability to double check this monumental claim. That is why such a lie was easily fabricated and recorded.


It is also worth mentioning that the people in rural and underdeveloped areas usually tend to gossip and exaggerate too much. And this is true in any country's and society's rural areas. Gossipers tend to blow things way out of proportion. They exaggerate too much and they lie too much, even if their intention is not to lie. That's just their human nature, because:


1- They are not educated.


2- They don't have a wide perspective of life. They're very isolated in their limited life (farming, milking, etc...).


3- They have too much time on their hands, and they interact with each others too much, which results in a culture of gossipers and "white liars".


But here is the big big problem!! We're not talking about the gossipers! We're talking about the Holy and Divine Words of GOD Almighty! So if the mentioned monumental events never took place, then they should not have gossiped their way through the Gospels, because this will then turn the Gospels themselves into Gossips, which in reality they are without a doubt, and this will further prove that the Bible contains many many man-made lies, which it does. That is why the gospels of Mark, Luke and John and the history books are virtually silent about these monumental events. Because it's a lie!



What did the inscription on Jesus' cross say?


John 19:19

19 Pilate had a notice prepared and fastened to the cross. It reads: JESUS OF NAZARETH, THE KING OF THE JEWS.


Matthew 27:37

37 Above his head they placed the written charge against him: THIS IS JESUS, THE KING OF THE JEWS.


Luke 23:38

38 There was a written notice above him, which reads: THIS IS THE KING OF THE JEWS.


Mark 15:26

26 The written notice of the charge against him read: THE KING OF THE JEWS.


You know, there was only one cross, and not ten, for Jesus! Yet, the gospels can't even get the inscription quoted correctly. Can you honestly tell me what the exact quote was? Because all four are way off from each others, especially the one in John 19:19.


Why is this relevant?

Because it serves to prove that the gospels were written by men who were not inspired by GOD Almighty. The historical errors and contradictions prove that the work is not that of GOD Almighty.



Luke 24:27 says that Moses spoke about Jesus.

Where are those verses in Moses' books?

This verse is an obvious forgery!

wee baba yako hajakutia Adabu eeh
IMG_20180925_153730_881.jpg
umeghafilika [emoji12]
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
mkuu naomba nikuongezee knowledge kidogo tunaishi kwenye planet earth, planet earth ni moja ya planet zinazolizunguka jua. jua ni nyota mbayo inapatikana kwenye ukanda wa milkway galaxy, kwenye milk way galaxy kuna mamilion ya nyota yanayozidi jua letu kwa ukubwa mara dufu, kuna galaxy zaidi ya bilioni zinazoizidi ukubwa hiyo milkway galaxy yetu. hizo galaxy zote zaidi ya bilion zinapatikana kwenye visible spaces, kuna billions of space available in the universe that form hyperspace, kuna billions of hyperspace that are found in the universe. and the universe is endless. so you nerver know huo mstari wa mtume muhammad ulikuwa deep kiasi gani inawezekana uko deep kiasi kwamba hatuwez kuutafsiri kwa knowldge tuliyonayo
wallah aalamu malaa taalamuuna
 
mkuu naomba nikuongezee knowledge kidogo tunaishi kwenye planet earth, planet earth ni moja ya planet zinazolizunguka jua. jua ni nyota mbayo inapatikana kwenye ukanda wa milkway galaxy, kwenye milk way galaxy kuna mamilion ya nyota yanayozidi jua letu kwa ukubwa mara dufu, kuna galaxy zaidi ya bilioni zinazoizidi ukubwa hiyo milkway galaxy yetu. hizo galaxy zote zaidi ya bilion zinapatikana kwenye visible spaces, kuna billions of space available in the universe that form hyperspace, kuna billions of hyperspace that are found in the universe. and the universe is endless. so you nerver know huo mstari wa mtume
muhammad ulikuwa deep kiasi gani inawezekana uko deep kiasi kwamba hatuwez kuutafsiri kwa knowldge tuliyonayo
wallah aalamu malaa taalamuuna
Facts za kisayansi unazozieleza,Mimi sina shaka Nazo kabisa. Hoja ni kwamba hilo dimbwi lenye matope kunakozama Jua liko wapi?
 
Facts za kisayansi unazozieleza,Mimi sina shaka Nazo kabisa. Hoja ni kwamba hilo dimbwi lenye matope kunakozama Jua liko wapi?
Nimekujibu zaidi ya mara2 na link nikakuwekea au nikujibu tena au Nia yako ni kuendeleza ubishi usiokwisha ??
 
Nimekujibu zaidi ya mara2 na link nikakuwekea au nikujibu tena au Nia yako ni kuendeleza ubishi usiokwisha ??

Majibu nje ya Kurani yanakubalika vipi? Kwani nani alipokea Wahyi kule pangoni au ulikuwepo pamoja na Muhammad?
 
Alikuambia ni yeye ?? Mbona naona ni wewe umejibandika hilo jina??
Mhadithia mvua imemnyeshea [emoji38] [emoji38] unachamba mwisho utoke na urojo wa ngisîí [emoji12] [emoji4]
 
Mhadithia mvua imemnyeshea [emoji38] [emoji38] unachamba mwisho utoke na urojo wa ngisîí [emoji12] [emoji4]



MVUA MPYA HII INAKUNYEA


UTATU

Mpaka sasa tumechunguza mambo yaliyolazimisha kuzua imani isiyo ya kweli ya kumfanya Yesu kuwa mungu na kazi yake
inavyosemekana katika Utatu akiwa Mwana wa Mungu.

Lakini nafsi ya tatu katika itikadi ya Kikristo ya Utatu, yaani Roho Mtakatifu, ni vigumu kufahamika. Kwa nini 'Mbili katika Moja'
isitoshe, na iko haja gani ya kuongeza nafsi hiyo ya tatu katika itikadi ya kimsingi?

Kiakili nafsi ya tatu kupewa nafasi katika imani ya Kikristo ya kuwa mungu haiko sawa.

Harnack, aliyefafanua suala hilo, anafikiri kwamba mwanzoni Ukristo ulifahamika kuwa Umoja wa nafsi mbili za Mungu na Yesu.

Baadaye kanisa likaongezwa humo likiitwa 'Roho' ili kulitilia maana ya uungu ambao pasipo huo nyongeza hiyo ya tatu
ingeonekana tupu isiyovutia.

Hiyo pia ikatenda kazi ya zana dhidi ya dini ya kiyahudi. ( Harnack, 'Constitution and Law of the church', E.T.uk 264)

Kuhusu habari hiyo, Rev K.E. Kirk anasema katika makala yake juu ya The Evolution of the Doctrine of Trinity kama ifuatavyo :

Kwa kawaida twawageukia waandishi wa zama hizo ili kujua wanayo misingi ipi ya itikadi yao. Twashangaa ya kwamba tunalazimika kukiri kuwa hawana msingi wowote. Suala walilolikabili halikuwa ni kwa nini ziwepo nafsi tatu, bali lilikuwa kwa nini zisiwepo?

Yeye anaendelea kuainisha theolojia ya Kikristo kushindwa kabisa kuleta hoja ya kiakili kuthibitisha itikadi ya Utatu, na kwamba utatu wa Kikristo unaweza kuelezwa kuwa hasa itikadi katika uwili ambamo kiliongezwa kitu cha tatu kilicho tofauti kabisa ili kuchora picha kamilifu zaidi. Essays on the Trinity and the Incarnation', mkusanyaji A.E. J. Rawlinson, Longmans, London ( 1928

Sisi tunaamini ya kwamba nafsi hiyo (Roho Mtakatifu) ilipata kukua hatua kwa hatua kwa kuathirika na falsafa na hadithi za
kipagani zisizo na msingi ambazo zilijaa tele tele katika ufalme wa Kirumi.

Kubadilishana mawazo na hao watu bila shaka kuliwahimiza kumwamulia Roho Mtakatifu kiwango chake. Kwa kuwa upo ushuhuda wa kutosha sana kwamba zipo imani na madhehebu zilizomfahamu Mungu kuwa ameungwa na dhati tatu, kwahiyo ni vugumu kutafuta chanzo hasa cha itikadi ya Kikristo katika Utatu.

Kwani kama kwa vyovyote mbili zaweza kuwa moja, na moja kuwa mbili kwa nini tatu zisiweze kuwa moja pia? Ni juu ya wataalamu wa uchunguzi kugundua barabara kwamba lini na namna gani nafsi ya tatu ya mungu wa Kikristo ilipata
kuimarika katika mitholojia ya Kikristo.

Lakini habari hiyo hivi sasa haihusikani na mazungumzo yetu. Hapa twanuia kuchunguza upuuzi wa madai kama hayo ambayo yanakataliwa na fahamu ya binadamu moja kwa moja.

Tabia ya asili ya mtu inakataa katakata fikara zinazojipinga na zenye hitilafu.
 
Alikuambia ni yeye ?? Mbona naona ni wewe umejibandika hilo jina??
MVUA MPYA HII INAKUNYEA


UTATU

Mpaka sasa tumechunguza mambo yaliyolazimisha kuzua imani isiyo ya kweli ya kumfanya Yesu kuwa mungu na kazi yake
inavyosemekana katika Utatu akiwa Mwana wa Mungu.

Lakini nafsi ya tatu katika itikadi ya Kikristo ya Utatu, yaani Roho Mtakatifu, ni vigumu kufahamika. Kwa nini 'Mbili katika Moja'
isitoshe, na iko haja gani ya kuongeza nafsi hiyo ya tatu katika itikadi ya kimsingi?

Kiakili nafsi ya tatu kupewa nafasi katika imani ya Kikristo ya kuwa mungu haiko sawa.

Harnack, aliyefafanua suala hilo, anafikiri kwamba mwanzoni Ukristo ulifahamika kuwa Umoja wa nafsi mbili za Mungu na Yesu.

Baadaye kanisa likaongezwa humo likiitwa 'Roho' ili kulitilia maana ya uungu ambao pasipo huo nyongeza hiyo ya tatu
ingeonekana tupu isiyovutia.

Hiyo pia ikatenda kazi ya zana dhidi ya dini ya kiyahudi. ( Harnack, 'Constitution and Law of the church', E.T.uk 264)

Kuhusu habari hiyo, Rev K.E. Kirk anasema katika makala yake juu ya The Evolution of the Doctrine of Trinity kama ifuatavyo :

Kwa kawaida twawageukia waandishi wa zama hizo ili kujua wanayo misingi ipi ya itikadi yao. Twashangaa ya kwamba tunalazimika kukiri kuwa hawana msingi wowote. Suala walilolikabili halikuwa ni kwa nini ziwepo nafsi tatu, bali lilikuwa kwa nini zisiwepo?

Yeye anaendelea kuainisha theolojia ya Kikristo kushindwa kabisa kuleta hoja ya kiakili kuthibitisha itikadi ya Utatu, na kwamba utatu wa Kikristo unaweza kuelezwa kuwa hasa itikadi katika uwili ambamo kiliongezwa kitu cha tatu kilicho tofauti kabisa ili kuchora picha kamilifu zaidi. Essays on the Trinity and the Incarnation', mkusanyaji A.E. J. Rawlinson, Longmans, London ( 1928

Sisi tunaamini ya kwamba nafsi hiyo (Roho Mtakatifu) ilipata kukua hatua kwa hatua kwa kuathirika na falsafa na hadithi za
kipagani zisizo na msingi ambazo zilijaa tele tele katika ufalme wa Kirumi.

Kubadilishana mawazo na hao watu bila shaka kuliwahimiza kumwamulia Roho Mtakatifu kiwango chake. Kwa kuwa upo ushuhuda wa kutosha sana kwamba zipo imani na madhehebu zilizomfahamu Mungu kuwa ameungwa na dhati tatu, kwahiyo ni vugumu kutafuta chanzo hasa cha itikadi ya Kikristo katika Utatu.

Kwani kama kwa vyovyote mbili zaweza kuwa moja, na moja kuwa mbili kwa nini tatu zisiweze kuwa moja pia? Ni juu ya wataalamu wa uchunguzi kugundua barabara kwamba lini na namna gani nafsi ya tatu ya mungu wa Kikristo ilipata
kuimarika katika mitholojia ya Kikristo.

Lakini habari hiyo hivi sasa haihusikani na mazungumzo yetu. Hapa twanuia kuchunguza upuuzi wa madai kama hayo ambayo yanakataliwa na fahamu ya binadamu moja kwa moja.

Tabia ya asili ya mtu inakataa katakata fikara zinazojipinga na zenye hitilafu.
wee baba yako hajakutia Adabu eeh View attachment 877471 umeghafilika [emoji12]
UMEGHAFILIKA...[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Ni sehem ndogo mno ambayo umeshindwa kuitafakari na kupata jibu... Hapo Quran inamuelezea Dhulqarnain ambaye ni mwanadam km mm na ww,na Quran imeelezea jinsi vile Dhulqarnain alivyoona yani ni km imeelezea kile kilichomo ndani ya kichwa cha Dhulqarnain, ni kwamba,yy kwa macho ya kawaida ameona jua Likizam ktk mawingu meusi mazito mfano wa tope,na yy hakuwa mwanasayansi wala hakuelewa kuwa dunia ndio inayozunguka.. Hivyo Quran imeeleza mawazo ya Dhulqarnain Na si kwamba jambo la kuzama kwa kujua ktk matope limeongelewa ktk Qur'an kana kwamba hivyo ndivyo ilivyo, yan kwamba Qur'an inaamini kwamba jua linazama ktk tope laa hasha.kwa kuthibitisha hilo Quran imeelezea mizunguko ya dunia na mwez mpk kupatwa kwa jua na mwez ktk mizunguko hiyo, Quran imeeleza jinsi mtoto anavyokuwa ndan ya tumbo la mama hatua kwa hatua, Quran imeeleza jinsi bahari mbili zinapokutana lkn hazichanganyiki na kuharibiana tabia na hayo yalisemwa ndan ya Quran kabla ya ugunduz wa teknolojia na mtume hakuwa mvuvi wa samak tuseme labda aliijua bahar,bali alikuwa ni mtu wa jangwani. So ni vizur kujua wkt gani Quran inaeleza mawazo yake yenyewe Na wkt gan inaelezea mawazo ya mtu kwa kutupa historia ya jambo fulan lilivyokuwa.
Biblia ndo kitab ambacho kimeenda hovyo kabsa kuhus sayans,kuna mahala Kinasem Mungu aliumba mimea alaf akaumba mwanga, sasa hiyo mimea ilIkuwaje bila ya mwanga??? Na kuna madudu mengi tu kias kwamba binafs cjui kati ya biblia ya vitab 72 na ile ya vitab 66 ipi iko sahihi mana yesu alikuja na injili moja tu. Baadh ya wasomi wanasema hii ya vitab 66 ina uafadhali kdgo lkn kuna wasomi wa juu wa ukristo maarufu km 32 scholars of the highest eminance wanasema ht hiyo ya vitab 66 ina mapungufu makubwa mnooo.
 
Ni sehem ndogo mno ambayo umeshindwa kuitafakari na kupata jibu... Hapo Quran inamuelezea Dhulqarnain ambaye ni mwanadam km mm na ww,na Quran imeelezea jinsi vile Dhulqarnain alivyoona yani ni km imeelezea kile kilichomo ndani ya kichwa cha Dhulqarnain, ni kwamba,yy kwa macho ya kawaida ameona jua Likizam ktk mawingu meusi mazito mfano wa tope,na yy hakuwa mwanasayansi wala hakuelewa kuwa dunia ndio inayozunguka.. Hivyo Quran imeeleza mawazo ya Dhulqarnain Na si kwamba jambo la kuzama kwa kujua ktk matope limeongelewa ktk Qur'an kana kwamba hivyo ndivyo ilivyo, yan kwamba Qur'an inaamini kwamba jua linazama ktk tope laa hasha.kwa kuthibitisha hilo Quran imeelezea mizunguko ya dunia na mwez mpk kupatwa kwa jua na mwez ktk mizunguko hiyo, Quran imeeleza jinsi mtoto anavyokuwa ndan ya tumbo la mama hatua kwa hatua, Quran imeeleza jinsi bahari mbili zinapokutana lkn hazichanganyiki na kuharibiana tabia na hayo yalisemwa ndan ya Quran kabla ya ugunduz wa teknolojia na mtume hakuwa mvuvi wa samak tuseme labda aliijua bahar,bali alikuwa ni mtu wa jangwani. So ni vizur kujua wkt gani Quran inaeleza mawazo yake yenyewe Na wkt gan inaelezea mawazo ya mtu kwa kutupa historia ya jambo fulan lilivyokuwa.
Biblia ndo kitab ambacho kimeenda hovyo kabsa kuhus sayans,kuna mahala Kinasem Mungu aliumba mimea alaf akaumba mwanga, sasa hiyo mimea ilIkuwaje bila ya mwanga??? Na kuna madudu mengi tu kias kwamba binafs cjui kati ya biblia ya vitab 72 na ile ya vitab 66 ipi iko sahihi mana yesu alikuja na injili moja tu. Baadh ya wasomi wanasema hii ya vitab 66 ina uafadhali kdgo lkn kuna wasomi wa juu wa ukristo maarufu km 32 scholars of the highest eminance wanasema ht hiyo ya vitab 66 ina mapungufu makubwa mnooo.

Kwa nini una mdhalilisha mtume Muhammad saw [emoji15] [emoji47] [emoji12] yeye Amewaagiza waumini [emoji117]
IMG_20180924_105836_994.jpg
IMG_20180924_105937_739.jpg
Amewaagiza Muamini madudu kama ulivyo Andika??? Kama wewe ni mjuzi zaidi ya allah na Muhammad Tangaza tu [emoji4] Tutakuamini wewe uliye mjuzi zaidi yao...[emoji53] umeeleza KUWA mtoa uzi hajatafakari [emoji15] [emoji4] Quran imeshushwa mazima ni kukariri tu [emoji53] haina kutafakari wala ku-edit! zaidi ujue imeshuka wapi, sababu ya kushuka, na mtume kaifundishaje [emoji53]
 
Ni sehem ndogo mno ambayo umeshindwa kuitafakari na kupata jibu... Hapo Quran inamuelezea Dhulqarnain ambaye ni mwanadam km mm na ww,na Quran imeelezea jinsi vile Dhulqarnain alivyoona yani ni km imeelezea kile kilichomo ndani ya kichwa cha Dhulqarnain, ni kwamba,yy kwa macho ya kawaida ameona jua Likizam ktk mawingu meusi mazito mfano wa tope,na yy hakuwa mwanasayansi wala hakuelewa kuwa dunia ndio inayozunguka.. Hivyo Quran imeeleza mawazo ya Dhulqarnain Na si kwamba jambo la kuzama kwa kujua ktk matope limeongelewa ktk Qur'an kana kwamba hivyo ndivyo ilivyo, yan kwamba Qur'an inaamini kwamba jua linazama ktk tope laa hasha.kwa kuthibitisha hilo Quran imeelezea mizunguko ya dunia na mwez mpk kupatwa kwa jua na mwez ktk mizunguko hiyo, Quran imeeleza jinsi mtoto anavyokuwa ndan ya tumbo la mama hatua kwa hatua, Quran imeeleza jinsi bahari mbili zinapokutana lkn hazichanganyiki na kuharibiana tabia na hayo yalisemwa ndan ya Quran kabla ya ugunduz wa teknolojia na mtume hakuwa mvuvi wa samak tuseme labda aliijua bahar,bali alikuwa ni mtu wa jangwani. So ni vizur kujua wkt gani Quran inaeleza mawazo yake yenyewe Na wkt gan inaelezea mawazo ya mtu kwa kutupa historia ya jambo fulan lilivyokuwa.
Biblia ndo kitab ambacho kimeenda hovyo kabsa kuhus sayans,kuna mahala Kinasem Mungu aliumba mimea alaf akaumba mwanga, sasa hiyo mimea ilIkuwaje bila ya mwanga??? Na kuna madudu mengi tu kias kwamba binafs cjui kati ya biblia ya vitab 72 na ile ya vitab 66 ipi iko sahihi mana yesu alikuja na injili moja tu. Baadh ya wasomi wanasema hii ya vitab 66 ina uafadhali kdgo lkn kuna wasomi wa juu wa ukristo maarufu km 32 scholars of the highest eminance wanasema ht hiyo ya vitab 66 ina mapungufu makubwa mnooo.

1. Ni lini umepokea Wahyi maana Muhammad aliyepewa Wahyi na Allaha hajawahi kusema Biblia ni madudu?

2. Unasema Kurani katika suala la kuzama kwa Jua katika matope inaeleza kile Dhulqurnaini alichokuwa anakiona tu. Je,ni nani aliyemuona Dhulqurnain akiliona Jua kana kwamba linazama katika matope? Je, ni Allah na ndio kisha kumueleza Muhammad?

3, Suala la Kurani kueleza jinsi mtoto anavyopitia hatua mbalimbali hakuwezi kuifanya iwe document ya pekee! Kwani kabla ya Kurani kuandikwa hakuna watu waliokuwa wanafahamu jinsi watoto tumboni wanavyokua?

4. Sawia na suala la bahari mbili kukutana. Ina maana kabla ya Kurani hakukuwa na watu waliokuwa wanafahamu jinsi bahari hizo zinavyokutana? Unasema Muhammad alikuwa anaishi Jangwani,je wale walioshi kwenye maeneo ya bahari hizo nao hawakuwahi kufahamu kama bahari zinakutana hadi Muhammad alipowa Wahyi juu ya jambo hilo?
 
Kwa nini una mdhalilisha mtume Muhammad saw [emoji15] [emoji47] [emoji12] yeye Amewaagiza waumini [emoji117] View attachment 878136View attachment 878137 Amewaagiza Muamini madudu kama ulivyo Andika??? Kama wewe ni mjuzi zaidi ya allah na Muhammad Tangaza tu [emoji4] Tutakuamini wewe uliye mjuzi zaidi yao...[emoji53] umeeleza KUWA mtoa uzi hajatafakari [emoji15] [emoji4] Quran imeshushwa mazima ni kukariri tu [emoji53] haina kutafakari wala ku-edit! zaidi ujue imeshuka wapi, sababu ya kushuka, na mtume kaifundishaje [emoji53]


UHUSIANO WA NAFSI TATU ZENYEWE KWA ZENYEWE:

Mtu anapotaka kutambua namna zinavyohusiana nafsi hizo tatu zenyewe kwa zenyewe ndizo hizi zifuatazo:

a. Hizo ndizo jiha mbalimbali za dhati moja.

b. Hizo ni dhati tatu mbalimbali zinazoshirikiana kwa usawa daima milele.

c. Hizo ni dhati tatu ambazo kila moja katika hizo ina baadhi ya sifa za pekee ambamo nyingine hazishirikiani nazo kikamilifu.

d. Hizo ni dhati tatu katika moja, na kila moja inazo sifa zilezile na nguvu zilezile, na zote hizo zimeunganika pamoja, na kazi zao pia ni zilezile pasipo tofauti yoyote ile iwayo.

______________________
 
Makosa ya kiuchapaji hayaondoi mantiki ya swali langu. Nimerekebisha makosa. Sasa naomba ujibu swali la msingi.


HALI AU JIHA MBALI MBALI ZA NAFSI MOJA:


Kuhusu jambo la kwanza linalowezekana miongoni mwa hayo manne hapo juu hakuna haja ya kulijadili zaidi, kwani hamna siku hizi Mkristo yeyote ambaye angemwamini Yesu kuwa hali ama jiha moja ya Mungu kuliko kuwa nafsi moja maalum.

Wanaouamini utatu wanasisitiza kuwepo kwa nafsi tatu tofauti zilizounganika na zikawa moja.

Pindi mtu anapokubali habari hiyo ya nafsi moja yenye hali mbali mbali zikidhihirika wakati mmoja, papo hapo itikadi ya Utatu, yaani miungu watatu katika mmoja, inatokomea, pasipo kubakia utatu wowote kabisa.

Basi atakayebakia ni Mungu Baba ambaye kwa kuona huruma atakufa kwa ajili ya madhambi ya watu.

Na hiyo itakuwa ni hali ya kupita ya nafsi hiyohiyo. Hali mbalimbali siyo nafsi, wala jiha mbalimbali hazimaanishi dhati tofauti. Mtu
yeyote anaweza kupitia hali mbalimbali bila ya kugawanyika katika wawili, watatu ama watu wengi.

Hivyo, kama Mungu akiamua kufa kwa ajili ya watu wenye dhambi, basi ni Mungu mwenyewe atakayekufa siyo hali zake fulani tu zitakazokufa.

Basi kuhusu habari tunayozungumzia, ile hali ya Mungu ambayo ilifanya kazi kubwa sana ya kutoa dhabihu yake kwa ajili ya watu
wenye dhambi inaweza kufahamika kuwa kazi ya sifa moja tu yake. Hivyo, kama huruma ya Mungu peke yake ikihesabiwa kuwa 'nafsi' na nafsi hiyo ikapewa jina Yesu Kristo, hapo kile kilichokufa ni 'huruma' ya Mungu.

Upingamizi mkubwa ulioje huu ya kwamba huruma ya Mungu ikiwahurumia watu wenye dhambi inajiua. Hiyo inamaanisha ya kwamba Mungu hakubakiwa na huruma kwa siku tatu mchana na usiku.


Kumbukeni kwamba hapo Yesu hakuhesabiwa nafsi tofauti ya kujitegemea, bali ni sifa ama hali ya huruma ya Mungu ambayo
huruma hiyo ikadhihirika kwa sura ya mtu. Na mtu huyo kwa vyovyote ndiye Mungu mmoja asiyeweza kugawanyika. Basi
kama chochote kilikufa katika kisa hicho, hicho ni Mungu Mwenyewe ama ni sifa yake ya Huruma iliyofanya kazi kubwa
sana katika tukio hilo.

Basi hatuna hiari yoyote isipokuwa kuamini kwamba Huruma ya Mungu ilikufa ama Mungu Mwenye Huruma Mwenyewe Alikufa.

Matatizo mengi yatazuka kutokana na madai ya kwamba hali au sifa fulani inaweza kufutika kwa muda ama kwa kudumu. Habari
hiyo inaweza kueleweka vizuri ikilinganishwa na majaribu ya binadamu. Mtu anaweza kupoteza nguvu yake ya kuona au kusikia
kwa muda au daima, lakini mtu huyo bado atabaki kuwa yule yule mtu aliye hai.

Kifo cha nguvu moja ya mtu kwa hakika ni nusu kifo cha mtu huyo.

Hatimaye mwenye kupata hasara ama kusumbuka anakuwa mtu yuleyule.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom