Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Umeukalia sasa unarudia upupu, toa jisumari hilo utujibu.
Muhammad alishindwa mtambua shaitwani alipomjia na kumfix na masura ya kisheitwan, ila anakiri PUNDA, Jogoo wanauwezo kumtambua.
Swali mnaamini vipi anachokisema kama hakitoki kwa sheitwani/JINNS/Iblis?
halafu on hapa hii kitu ni kwa namna gani Muhammad alivyokuwa mjini jini wa ujinini.

Narrated Ash-Sha'bi:
that 'Alqamah said: "I said to Ibn Mas'ud, may Allah be pleased with him: 'Did any of you accompany the Prophet (ﷺ) on the Night of the Jinn?' He said: 'None of us accompanied him. One night, while he was in Makkah, we could not find him. We said: "He has been murdered [or] snatched, what has happened to him?" So we spent the worst night a people could spend until the morning' or 'it was about dawn when we saw him coming from the direction of Hira.' He said: 'They told him about what they had went through.'" "So he (ﷺ) said: 'Someone from the Jinn came to invite me, so I went to them to recite for them.' He said: "So we went and saw their tracks and the traces of their camp fire.'" Ash-Sha'bi said: "They asked him about their provisions - and they were Jinns of Mesopotamia - so he said: 'Every bone upon which Allah's name has not been mentioned, that falls into your hands, and every dropping of dung is fodder for your beasts.'" So the Messenger of Allah (ﷺ) said: "Do not perform Istinja with them for indeed they are provisions for your brothers among the Jinns."

حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ حُجْرٍ، أَخْبَرَنَا إِسْمَاعِيلُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، عَنْ دَاوُدَ، عَنِ الشَّعْبِيِّ، عَنْ عَلْقَمَةَ، قَالَ قُلْتُ لاِبْنِ مَسْعُودٍ رضى الله عنه هَلْ صَحِبَ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم لَيْلَةَ الْجِنِّ مِنْكُمْ أَحَدٌ قَالَ مَا صَحِبَهُ مِنَّا أَحَدٌ وَلَكِنْ قَدِ افْتَقَدْنَاهُ ذَاتَ لَيْلَةٍ وَهُوَ بِمَكَّةَ فَقُلْنَا اغْتِيلَ أَوِ اسْتُطِيرَ مَا فُعِلَ بِهِ فَبِتْنَا بِشَرِّ لَيْلَةٍ بَاتَ بِهَا قَوْمٌ حَتَّى إِذَا أَصْبَحْنَا أَوْ كَانَ فِي وَجْهِ الصُّبْحِ إِذَا نَحْنُ بِهِ يَجِيءُ مِنْ قِبَلِ حِرَاءَ قَالَ فَذَكَرُوا لَهُ الَّذِي كَانُوا فِيهِ فَقَالَ ‏"‏ أَتَانِي دَاعِيَ الْجِنِّ فَأَتَيْتُهُمْ فَقَرَأْتُ عَلَيْهِمْ ‏"‏ ‏.‏ فَانْطَلَقَ فَأَرَانَا آثَارَهُمْ وَآثَارَ نِيرَانِهِمْ ‏.‏ قَالَ الشَّعْبِيُّ وَسَأَلُوهُ الزَّادَ وَكَانُوا مِنْ جِنِّ الْجَزِيرَةِ فَقَالَ ‏"‏ كُلُّ عَظْمٍ لَمْ يُذْكَرِ اسْمُ اللَّهِ عَلَيْهِ يَقَعُ فِي أَيْدِيكُمْ أَوْفَرَ مَا كَانَ لَحْمًا وَكُلُّ بَعْرَةٍ أَوْ رَوْثَةٍ عَلَفٌ لِدَوَابِّكُمْ ‏"‏ ‏.‏ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ فَلاَ تَسْتَنْجُوا بِهِمَا فَإِنَّهُمَا زَادُ إِخْوَانِكُمْ مِنَ الْجِنِّ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏
Grade: Sahih (Darussalam)
English reference : Vol. 5, Book 44, Hadith 3258Arabic reference : Book 47, Hadith 3567

Mtu kama huyu mipovu inakutoka kumtetea.
Are serious Abduls?
Hoja yako hapo iko wapi ?
Mtume anayofundisha yanatoka kwa Mungu wala sio kwa iblisi
QURAN 69:43
" Ni uteremsho utokao kwa mola mlezi wa walimwengu wote";
Kama hiyo aikutoshi pokea na hii
QURAN 2:2
" Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ;ni uwongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu ";

kama hiyo haitoshi pokea hii
QURAN 53:3-5
3";wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake)
4"Hayakuwa haya ila ni wahyi(ufunuo) uliofunuliwa (kwake)
5"Amemfundisha malaika mwenye nguvu sana"

Kuhusu kutomtambua shetani hii nayo unaleta humu kama hoja ebu ijenge hoja uilete tena , kumtambua unaona jambo kubwa mbona hao ndugu zako wengine hawakumtambua shetani mpaka madhabahuni kaingia ,mbona uji kutangaza na hili
AYUBU 2:1
"Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana , shetani naye alienda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana"

ahahhahahhhahahajajjjajaj mbona hapo kajichanganya safi na hamna aliemjua , sasa hoja nyepesi hizi unaleta humu na kelele nyingi
 
Usisahau John 4:16.
wanaipenda hiyo kuwa nitawaletea msaidizi. eti msaidizi ni Mudy muzung!
Swali, Kwanini Yesu aseme nitamleta msaidizi halafu huyo msaidizi anakuja kuwa na cheo kikubwa kuliko aliyemleta?( Kisilamu silamu - Yesu ni Nabii wa kawaida tu)
line hiyo tu ndiyo sahihi kwao, na ndiyo haijawa corrupted kwenye Bible. Ukisoma 4:1-15 na 17- 18 na kuendelea hawataki. maana huko hiyo mistari inawakamua ngama live.
Kwa uelewa wa kawaida Nabii anaweza mtuma /mchagua mtume? watakwambia hapana. Then Who is Jesus? just a normal guy.
Yesu ni mtu tu ata hili sijasema mimi wala awajasema waislamu , mbona amesema mwenyewe kwa kina kipana kabisaa
YOHANA 8:40
";lakini sasa munatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu, Ibrahim hakufanya hivyo",

ahahahaahhhahahhahahaah ndivyo alivyofundisha Yesu wewe unawatolea macho waislamu tena , wakati mwalimu wako ndio kafundisha hivyo
 
Hunifurahisha tu kwa ubishi wake dhidi ya mambo mbalimbali.Hata hivyo namkubali hisimamia hoja zake kwa nguvu na uhakika.ni mwenyewe nondo za kushiba anaposhusha hoja.
Hebu nitajie nondo yake moja.
 
Ahahhhahhaahaahhahhaa kukaa ndani maana yake nini , mafunzo yake uyashike na uyatii , kama unafanya maovu wala hautende mema utakaaje kwa Yesu? bado unarudi pale pale kila mtu atalipwa kwa ATENDALO
YEREMIA 17:10
" mimi ,Bwana , nauchunguza moyo, navijaribu viuno , hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake ,KIASI CHA MATUNDA YA MATENDO YAKE";

ahahahahhahaahahahha matunda yanategemea MATENDO , halafu matendo ndio yatatoa tafsiri wewe ni mtu wa aina gani hili mbona liko wazi

Upo sahihi. Lakini sijui kama umeelewa kile weqe mwenyewe ulichokielezea hapa.

John 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Matthew 11:27
Akasema, Nimekabidhiwa vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
 
Aisee salimia familia yako.
Halafu huyo jamaa wako yeye ana ugomvi na Mungu na uchawi tu ila mambo mengine humkuti akipinga na kudai uthibitisho,mfano kuna watu wanasema kuna viumbe vinaitwa Aliens na wengine wanasema hao viumbe ndio wametuumba sie binaadamu,ila sioni Kiranga kutia neno na kutaka athibitishiwe.
 
Katika maelezo yako hakuna kauli ya Yesu hata moja hapa , hao ni watu ambao wanamsemea Yesu mambo ambayo katu ajawahi kuyasema haya msikilize Yesu alikuwa na mdomo na alifundisha kweupe
MATAYO 10:24
" Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake"

sasa mwalimu kafundisha kitu gani wewe na wenzako mnafundisha nini? haya msikilize mwalimu Yesu kiswahili laini katumia
YOHANA 20:17
"Yesu akawaambia , usinishike ; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba, lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie,Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu"

Tena Mungu gani hata siku ya mwisho haijui Ahahahahahahaa hatar sana
MARKO 13:32
"Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye,hata malaika walio mbinguni, wala MWANA, ila Baba"

kazi ya watu wa muhammad ni kupiga kelele na ugomvi tu [emoji117]
IMG_20181013_115723_613.jpg
wee abudu kinyago chako ya kwetu hayakuhusu, kwanza nafasi imejaa [emoji53][emoji12] baba kasimu alipiga mikele na ugomvi hadi kafa analia lia [emoji117]
IMG_20181013_120643_289.jpg
IMG_20181013_120740_500.jpg
IMG_20181013_115723_613.jpg
mnatia hadi huruma [emoji53]
 
Huitaji kutoa ushahidi kijana unatakiwa UTII tu ahahhahaahaahhhahhhhahahajjaajjaja
Mambo ya walawi 11:8
"Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu";

ahahhahahhhahahajajjjajaj hapo hakuna longo longo tekeleza amri wacha uroho

Nimesha Maliza [emoji4] kama wee umeamua kufuga ndevu badala ya kufuga nguruwe kwa manufaa ya Afya yako na Uchumi fuga mindefu dogo [emoji12] mtu gani huna hata shukrani kwa muumba wako kwa neema aliyo kukupa riziki hizi zote[emoji344] hata allah anakufahamisha [emoji117]
IMG_20181013_123848_572.jpg
ujasiri huo hata ibilisi hana [emoji53]
 

Attachments

  • IMG_20181013_123848_572.jpg
    IMG_20181013_123848_572.jpg
    19 KB · Views: 16
Yesu kazaliwa Israeli nchi ambayo hapo mwanzo Mungu wako aliwaua wenyeji wa maeneo hayo ili adhulumu nchi yao ahahahaahahhhahaaahahahahahahahaha hapo vip au Yule Mungu wa Musa haumtaki
kwa akili za kisukule kisla kisla umepatia chukua [emoji736] [emoji38] [emoji38]
 
Halafu huyo jamaa wako yeye ana ugomvi na Mungu na uchawi tu ila mambo mengine humkuti akipinga na kudai uthibitisho,mfano kuna watu wanasema kuna viumbe vinaitwa Aliens na wengine wanasema hao viumbe ndio wametuumba sie binaadamu,ila sioni Kiranga kutia neno na kutaka athibitishiwe.
Labda nae ni alien anaogopa kutoa siri.joke
 
Hoja yako hapo iko wapi ?
Mtume anayofundisha yanatoka kwa Mungu wala sio kwa iblisi
QURAN 69:43
" Ni uteremsho utokao kwa mola mlezi wa walimwengu wote";
Kama hiyo aikutoshi pokea na hii
QURAN 2:2
" Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ;ni uwongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu ";

kama hiyo haitoshi pokea hii
QURAN 53:3-5
3";wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake)
4"Hayakuwa haya ila ni wahyi(ufunuo) uliofunuliwa (kwake)
5"Amemfundisha malaika mwenye nguvu sana"

Kuhusu kutomtambua shetani hii nayo unaleta humu kama hoja ebu ijenge hoja uilete tena , kumtambua unaona jambo kubwa mbona hao ndugu zako wengine hawakumtambua shetani mpaka madhabahuni kaingia ,mbona uji kutangaza na hili
AYUBU 2:1
"Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana , shetani naye alienda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana"

ahahhahahhhahahajajjjajaj mbona hapo kajichanganya safi na hamna aliemjua , sasa hoja nyepesi hizi unaleta humu na kelele nyingi



Job is not the author, but the principal character. Sometmes i wonder if Job ever exists. Some say it is Moses who wrote this tale.

Essentially theme of story entails the human inability to comprehend a deity who functions outside the realm of world. As the book teaches that God’s purposes and ways are mysterious and unfathomable, hidden from his creatures. .

However, Jesus has already made a statement by saying..

"Henceforth I call you NOT SERVANTS ; for the servant KNOWETH NOT what his LORD doeth: but I have called you friends; for all things that I have heard of my Father I have made KNOWN unto you (John 15:15)".

The past is gone, we have Eyes to see. We follow the light, and it shine bright.


Concerning Satan summomed God in heaven together with the sons of God. This is also a thing of past. Jesus sayth;
"18. And he said unto them, I beheld Satan as lightning FALL FROM HEAVEN
19.Behold, I give unto you POWER to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you. ( Luke 10:18-19)."

This alone makes us have dominance over Devil.
 
Halafu huyo jamaa wako yeye ana ugomvi na Mungu na uchawi tu ila mambo mengine humkuti akipinga na kudai uthibitisho,mfano kuna watu wanasema kuna viumbe vinaitwa Aliens na wengine wanasema hao viumbe ndio wametuumba sie binaadamu,ila sioni Kiranga kutia neno na kutaka athibitishiwe.
Unasoma kila thread ya Kiranga?

Kuna mtu alileta hizo habari kama factual, nikamwambia athibitishe.

Kuna mtu kaleta habari za Anunaki, nimemwambia athibitishe.

Kuna mtu kaleta habari za mtoto wa Mwakasege amefufuka (up to now I am wondering whether that was a rather cruel satire), nikamwambia athibitishe.

Kuna mtu jana kasema anajua mtu aliyesema hajui kama wanataka kunywa kahawa au hawataki, alikuwa anataka, nikamwambia athibitishe.

Kama wewe kipofu, hujui kusoma, hujaona nilipoandika, hilo si tatizo langu, ni lako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom