Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ahahahahaahahaahaha kumbe alibabaishiwa mtu mwengine , kwa sababu ni upumbavu mtupu ndio maana akabambikiwa mtu mwengine ahahahhahaahaaa
Hii singo ulio post haikunusuru na unafikii+ukafiri [emoji12] [emoji15] unajipa wepesi zaidi ktk safari yako ya ....jehennam halidina fiha abadan [emoji106] tutubwi hutoki humo [emoji53]
 
Hii singo ulio post haikunusuru na unafikii+ukafiri [emoji12] [emoji15] unajipa wepesi zaidi ktk safari yako ya ....jehennam halidina fiha abadan [emoji106] tutubwi hutoki humo [emoji53]
Ahahahahaahahaahaha endelea kumfanya Mungu kikaragosi ahahahhahaahaaa kweli kabisa Mungu ni wakupigwa makofi na wapuuzi wa kiyahudi , hii inaitaji uvute bange ahahaahahhahah
 
Hivi wewe uwa ukijibu maswali unashirikisha ubongo kweli? au unajibu jibu tu
-kulikuwa kuna miungu mingi sisi inatusaidia kitu gani?
-Mungu wa wafilisti sisi wa nini?
-Miungu ya wakaldayo sisi ya nini?
-Goliath hakuwa muisrael ajabu iko wapi akitukana Mungu wa Israeli?

Mimi nazungumzia Mungu wa Musa wewe unaleta hadithi za pauka pakawa , Musa anamjua Mungu wa Ibrahim wewe nani wa kumbishia Musa ?
KUTOKA 3:6
"; Tena akasema , mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahim,Mungu wa Isaka,na Mungu wa Yakobo. Musa akaficha uso wake; kwa maana aliogopa kumuangalia Mungu";

unaleta porojo kwenye maandiko , Musa akisema Mungu hujue ni Mungu , wewe unapaswa kuelewa hivyo, porojo fanyeni kwenye makanisa huko mkuu sio huku, huku maandiko yanatosha

MUNGU AKASEMA TENA NA MUSA
KUTOKA 12:12
";Maana nitapita kati ya nchi ya Misri, usiku huo, mimi NITAWAPIGA wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa wanadamu na wanyama; mimi nitafanya hukumu juu ya MIUNGU YOTE YA MISRI; mimi ndimi Bwana;

hiyo miungu yako unayoisema haina nafasi , Bwana ataua uzao wa kwanza na hiyo miungu inayokutoka povu itashughulikiwa hivi ndivyo Bwana alivyosema sasa hapo uelewi nini kama sio bange ?

HUYO HAPA MUNGU ANAFANYA ALICHOAHIDI HADHARANI
KUTOKA 12:29
";Hata ikawa usiku wa manane Bwana AKAWAPIGA wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya misri, tangu mzaliwa wa kwanza wa FARAO aliyeketi katika kiti chake cha enzi; hata mzaliwa wa kwanza wa mtu ALIYEFUNGWA katika Nyumba ya wafungwa; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama";

Bwana ameua ambaye ndio Mungu wa Ibrahim na isaka bahati mbaya umekosa mashiko ya utetezi ,zaidi ya kuleta hadaa

Kadoro ninavyoongea ninajitahidi sana nisirudie rudie..

Shetani naye alimwambia Yesu Imeandikwa.
Cheki huu mfano hapa..
"akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe " (Mathayo 4:6).

Kwahiyo swala sio ilivyoandikwa.

Pamoja na Quran kudai kua Mungu kashusha Injeel, Taurat na zabur kwa wakristo. Lakini bado Bibilia sio Quran.
Mungu hajawadhulumu, Mungu aliwapa ardhi ile wana wa Israeli. Nilishakueleza Yesu ndiye anayemjua Mungu zaidi. Taurat iliandikwa lakini Yesu ndio Utimulifu wa hiyo unayoiita Taurati.
Yesu ameshaweka mstari unaotenganisha kati ya Mungu na Shetani. Kazi yako wewe kuangalia matunda yake kadiri Mungu alivyokujalia na dhamiri ikikushuhudia.maana ndiyo itakayokuhukumu.
Imani yenye Shetani anamswalia Mungu kamwe haitokani na Mungu. Hiyo ni occult worshiping.
 
Kadoro ninavyoongea ninajitahidi sana nisirudie rudie..

Shetani naye alimwambia Yesu Imeandikwa.
Cheki huu mfano hapa..
"akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe " (Mathayo 4:6).

Kwahiyo swala sio ilivyoandikwa.

Pamoja na Quran kudai kua Mungu kashusha Injeel, Taurat na zabur kwa wakristo. Lakini bado Bibilia sio Quran.
Mungu hajawadhulumu, Mungu aliwapa ardhi ile wana wa Israeli. Nilishakueleza Yesu ndiye anayemjua Mungu zaidi. Taurat iliandikwa lakini Yesu ndio Utimulifu wa hiyo unayoiita Taurati.
Yesu ameshaweka mstari unaotenganisha kati ya Mungu na Shetani. Kazi yako wewe kuangalia matunda yake kadiri Mungu alivyokujalia na dhamiri ikikushuhudia.maana ndiyo itakayokuhukumu.
Imani yenye Shetani anamswalia Mungu kamwe haitokani na Mungu. Hiyo ni occult worshiping.
Mzee kwani wewe dhuluma unaelewaje ? Huo mfano wa shetani hautengui hilo andiko kisichotakiwa ni kutomjaribu Bwana Mungu wako.

Ibrahim katoka alikozaliwa kaja nchi ya watu , kakuta watu wanamaisha yao , na bahati nzuri mpaka ibrahim anakufa na isaka anakufa hadi yakobo anakufa
HAKUNA aliewai kutamka kwa mtu yeyote. asiye ndugu yao kuwa Ile Nchi ni yao waachiwe, kwa sababu wanajua madhala ya KUDHULUMU , kitu kaanzisha mwenzako unasemaje ? Ahahahahhaah ndio maana Mungu akawaambia maneno haya kwa sababu anajua kwa njia ya amani hakuna ambaye anakubali kumpa STRANGER nchi yake
KUTOKA 23:23
";Kwa kuwa malaika wangu atatangulia , mbele yako,na kukufikisha kwenye Mwamori, na Mhiti, na Mperizi, na Mkaanani, na mhivi, na Myebusi, nami NITAWAKATILIA mbali";

Ahahahahaahahaahaha hata majina ya nchi hii yanakusuta bila aibu , kuwa ndio wenye nchi ahahahaah njia hapo ni kuwakatilia mbali huu tunaita UBABE wa kupora mali za watu Ahahahahaahahaahaha
 
Ahahahahaahahaahaha huyu kweli bwege unakataa nini unakubali nini? Ibrahim Sara ni dada yake , baba mmoja sasa wewe utaki nini? hicho kisa tuna kifahamu wala hakikatai kuwa Ibrahim na Sara sio ndugu , zaidi kinakubali kuwa ni ndugu

Ukifika hapo kwenye 12 inasema wazi

12" Besides, she really is my sister, the daughter of my Father, though not of my mother, and she became my wife";

Ahahahahaahahaahaha hichi kiingereza kinaugumu gani kueleweka ahhahhhahjajjajajajajaj bureee kabisa huyu ahahahahahaahha
Unajua kuwa mjinga ni afadhali kuwa mpumbavu!!
unaulizwa swali toa majibu siyo kuja na mbwembwe za kibwege bwege hapa. Hujui kitu kaa kimya wacha wajuzi waseme.
Kisa ungekijua usinge kopi hivyo vi mistari vyako viwili. Stupid idiot!
 
Unajua kuwa mjinga ni afadhali kuwa mpumbavu!!
unaulizwa swali toa majibu siyo kuja na mbwembwe za kibwege bwege hapa. Hujui kitu kaa kimya wacha wajuzi waseme.
Kisa ungekijua usinge kopi hivyo vi mistari vyako viwili. Stupid idiot!

Ndiyo mafundisho ya unayemwabudu hayo Shoga Cesare Borgia?? Nondo zimekuchoma ndipo , tulia uchomwe zaidi Kisoda wahed
 
Mzee kwani wewe dhuluma unaelewaje ? Huo mfano wa shetani hautengui hilo andiko kisichotakiwa ni kutomjaribu Bwana Mungu wako.

Ibrahim katoka alikozaliwa kaja nchi ya watu , kakuta watu wanamaisha yao , na bahati nzuri mpaka ibrahim anakufa na isaka anakufa hadi yakobo anakufa
HAKUNA aliewai kutamka kwa mtu yeyote. asiye ndugu yao kuwa Ile Nchi ni yao waachiwe, kwa sababu wanajua madhala ya KUDHULUMU , kitu kaanzisha mwenzako unasemaje ? Ahahahahhaah ndio maana Mungu akawaambia maneno haya kwa sababu anajua kwa njia ya amani hakuna ambaye anakubali kumpa STRANGER nchi yake
KUTOKA 23:23
";Kwa kuwa malaika wangu atatangulia , mbele yako,na kukufikisha kwenye Mwamori, na Mhiti, na Mperizi, na Mkaanani, na mhivi, na Myebusi, nami NITAWAKATILIA mbali";

Ahahahahaahahaahaha hata majina ya nchi hii yanakusuta bila aibu , kuwa ndio wenye nchi ahahahaah njia hapo ni kuwakatilia mbali huu tunaita UBABE wa kupora mali za watu Ahahahahaahahaahaha
Umewahi kujiuliza kwanini Yesu alipokuja pamoja na wanafunzi wake kumchombeza hakuanzisha harakati za kuikomboa Israeli chini ya greece na Roman empire?.
 
Ndiyo mafundisho ya unayemwabudu hayo Shoga Cesare Borgia?? Nondo zimekuchoma ndipo , tulia uchomwe zaidi Kisoda wahed
Mimi simuabudu Cesare. Namuabudu Mungu aliye hai, Jesus Christ! Kiboko yenu Abduls wote including your Allah!!
Ndugu zenu wa KIJINN wakilisikia jina tu chali.
Luka 4:31-40(Unaweza soma kuanzia 4:16 kuendelea)

31 Kisha akaenda Kapernaumu, mji ulioko wilaya ya Galilaya, na siku ya sabato akawafundisha watu katika sinagogi. 32 Walis taajabishwa na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.33 Alikuwepo mtu mmoja katika sinagogi aliyekuwa ame pagawa na pepo mchafu, naye alianza kupiga kelele kwa nguvu akisema, 34 “Unataka kutufanya nini, Wewe Yesu wa Nazareti? Ume kuja kutuangamiza? Nakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu.” 35 Yesu akamwamuru yule pepo: “Nyamaza! Mtoke!” Yule pepo akamwangusha chini yule mtu mbele yao, akamtoka pasipo kumd huru. 36 Watu wote wakashangaa wakaambiana, “Mafundisho ya mtu huyu ni ya ajabu. Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!37 Habari zake zikaenea pote katika mkoa ule.

Yesu Awaponya Wengi
38 Alipotoka katika sinagogi Yesu alikwenda nyumbani kwa Simoni na alipofika huko alimkuta mama mkwe wa Simoni ana homa kali. Wakamwomba sana amponye. 39 Basi Yesu akasimama kando ya kitanda chake akaiamuru ile homa imtoke. Homa ikamtoka yule mama. Akaamka mara moja akaanza kuwahudumia. 40 Jua lilipokuwa likichwa, wote waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi mbalimbali waliwaleta kwa Yesu. Akamgusa kila mgonjwa, akawaponya wote.

sasa ulitaka nimuabudu huyu kibudu mwenzako mpenda ngono na mwenye kupagawa na pepo?
Alishindwa mtibu kipofu na mwisho alimfukuza kama takataka.
 
Unajua kuwa mjinga ni afadhali kuwa mpumbavu!!
unaulizwa swali toa majibu siyo kuja na mbwembwe za kibwege bwege hapa. Hujui kitu kaa kimya wacha wajuzi waseme.
Kisa ungekijua usinge kopi hivyo vi mistari vyako viwili. Stupid idiot!
Ahahahahaahahaahaha wewe bwege ahahahhahaahaaa Ibrahim anasema SARA ni dada yake binti wa baba yake wewe unakataa? Ahahahahhaah umekuwa kilaza mpaka unakera Ahahahhahahahaahjhhahaja
 
Umewahi kujiuliza kwanini Yesu alipokuja pamoja na wanafunzi wake kumchombeza hakuanzisha harakati za kuikomboa Israeli chini ya greece na Roman empire?.
Kwa sababu BOSS wake aliyemtuma hakutaka hivyo , mbona hili liko wazi hata Yesu alisema analolisema sio lake ila ni lake Baba aliyempeleka , Ahahahaahaha ndugu Dhuluma ya kuwafyeka Waamori na wakaanani hii itabaki daima na biblia imeandika hili kwa uwazi kabisa , kwa kweli hata hao unaowaambia sijui unawadanganyaje jambo la wazi hili ahahhahaha
 
Kutokana na kuanzishwa kwa mada iliyokuwepo hapa ambayo mara nyingi nimekua nikiacha kuifungua kwa kuamini ilikua imekaa kishabiki lakini leo nimeifungua na kukuta kumbe mleta mada alikua na lengo zuri lisiloegemea upande wowote isipokua tu kutaka kujua uhalali wa maandiko yaliyokuwepo kwenye Quran sura ya 18:83-86.

KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUNGANISHE UZI HUU NA ULE KWASABABU KWENYE UZI ULE SEHEMU YA COMMENTS IMESHAPOTEZA LENGO LA UZI NA KUHAMIA KWENYE UBISHI WA KIDINI USIOHUSIANA NA MADA WALA USIOKUA NA MSINGI WOWOTE ULE WA KUJENGA!

Pia nawaomba wote mtakaojibu humu tujikite zaidi kwenye mada na sio vitu visivyohusiana na mada hata kama vinahusiana na dini visiletwe hapa ila tu viwe na uhusiano na Quran 18:83-86.

TURUDI KWENYE MADA

Mleta mada ile alizungumzia aya hizo kisayansi akijikita zaidi kwenye mfumo wa jua na jinsi unavyofanya kazi labda kwasababu aliweka mategemeo yake huko au la hakuelewa sura ile ilikua inahusiana na kitu gani haswa!

TUPITIE SURA HIO KUANZIA AYA YA 83-98

18:83
And they ask you, [O Muhammad], about Dhul-Qarnayn. Say, "I will recite to you about him a report."

18:84

SAHIH INTERNATIONAL
Indeed We established him upon the earth, and We gave him to everything a way.

18:85
SAHIH INTERNATIONAL
So he followed a way

18:86
SAHIH INTERNATIONAL
Until, when he reached the setting of the sun, he found it [as if] setting in a spring of dark mud, and he found near it a people. Allah said, "O Dhul-Qarnayn, either you punish [them] or else adopt among them [a way of] goodness."

18:87 SAHIH INTERNATIONAL
He said, "As for one who wrongs, we will punish him. Then he will be returned to his Lord, and He will punish him with a terrible punishment.

18:88
SAHIH INTERNATIONAL
But as for one who believes and does righteousness, he will have a reward of Paradise, and we will speak to him from our command with ease."

18:89
SAHIH INTERNATIONAL
Then he followed a way

18:90
SAHIH INTERNATIONAL
Until, when he came to the rising of the sun, he found it rising on a people for whom We had not made against it any shield.

18:91
SAHIH INTERNATIONAL
Thus. And We had encompassed [all] that he had in knowledge.

18:92
SAHIH INTERNATIONAL
Then he followed a way

18:93
SAHIH INTERNATIONAL
Until, when he reached [a pass] between two mountains, he found beside them a people who could hardly understand [his] speech.

18:94
SAHIH INTERNATIONAL
They said, "O Dhul-Qarnayn, indeed Gog and Magog are [great] corrupters in the land. So may we assign for you an expenditure that you might make between us and them a barrier?"

18:95
SAHIH INTERNATIONAL
He said, "That in which my Lord has established me is better [than what you offer], but assist me with strength; I will make between you and them a dam.

18:96
SAHIH INTERNATIONAL
Bring me sheets of iron" - until, when he had leveled [them] between the two mountain walls, he said, "Blow [with bellows]," until when he had made it [like] fire, he said, "Bring me, that I may pour over it molten copper."

18:97
SAHIH INTERNATIONAL
So Gog and Magog were unable to pass over it, nor were they able [to effect] in it any penetration.

18:98
SAHIH INTERNATIONAL
[Dhul-Qarnayn] said, "This is a mercy from my Lord; but when the promise of my Lord comes, He will make it level, and ever is the promise of my Lord true."

Tukiziangalia aya hizo zinaonesha kua ilikua ni simulizi ya mtu ambae Mwenyezi Mungu alimjaalia kwa mambo mengi..hapo mbele tutajadili nadharia za sasa za mtu alieongelewa hapo lakini leo tujikite katika kuziangalia aya hizo.

Kwanza kabisa inaonesha ni watu wa Muhammad ndio waliokua wakiuliza habari za mtu huyo ndipo majibu yakaja katka Quran kuhusu mtu huyo.

Aya ya 82 inaelekeza kua habari zake zinasimuliwa sasa

Katika aya inayofuatia inaelekeza kua Allah alimjaalia kwa neema zake na alimuelekeza njia ambayo njia hio aliifuata..katika nadharia za sasa wanazuoni wanaelezea kua inawezekana mtu huyo alikua ni kati ya wafalme au watu mashuhuri waliokua na uwezo mkubwa wa kuizunguka dunia na kujitwalia maeneo mengi katika enzi zao nankuyaingiza katika himaya zao.Hivyo hii ilikua ni moja kati ya matukio aliyoyapitia mtu huyo katika enzi za maisha yake.

Basi siku moja alifuata njia moja wapo(ikiwa ni katika matukio yake mengi yaliyowagi kutokea)

Aya ya 86 inaelezea kua basi akafikia sehemu ambayo jua lilikua linazama..haimaanishi kua alilikuta jua linazama sehemu bali aya hii ina lengo la kuelezea kua alifika sehemu ambayo giza lilikua linaingia na mazingira ya marneo hayo yakiwa ni mazingira yenye unyevu,au maji au ni maeneo ya ziwa ..hio pia utajiridhisha kwa kuangalia kua aya hio inazingumzia mji ambao kwa wakati ule wa safari yake ilikua imefikia muda wa kuzama kwa jua na yeye aliona (as if) jua linazama kwenye matope..as if inamaanisha not really jua linazama kwenye matope bali ni tukio lenye dhamira ya kuelezea mji huo kua jua lilipokua likizama palio ekana ni mazingira yenye maji...na ndio maana hata aya haikuishia hapo bali iliendelea zaidi na kuelezea kua maeneo hayo palikia pia pakiishi watu(ikimaanisha ni mji wa watu)

Basi Quran ikaendelea kuelezea kua basi ikawa ni juu yake kuwapa adhabu au kuwafanya wawe chini ya himaya yake(inaonekana watu hawa walikua against kufika kwake pale)

Kisha mtu huyo aliwaambia watu wale kua kwa atakayefanya makosa ataadhibiwa na si vinginevyo.

Aya ya 89 inaendelea kwa kusema kua akaemdelea na kufuata njia yake

Kisha aya ya 90 ilaendelea

SAHIH INTERNATIONAL
Until, when he came to the rising of the sun, he found it rising on a people for whom We had not made against it any shield.

Baada ya kuendelea na njia yake ikafikia wakati wa jua kuchomoza na marneo hayo watu wa pale hawakua against na yeye..aya hii pia inaelezea tukio hili kwa lengo la kufahamiaha juu ya watu wa marneo hayo na haimaanishi alifika sehemu ambayo akalikuta jua linainuka kutoka sehemu..namaanisha lengo ni kua alifika sehemu ambapo palikucha na katika eneo hilo lilikua na watu na watu wa maeneo hayo hawakua na upinzani kwake.

Kisha baada ya hapo aliendelea na safari yake hadi alipofika eneo ambalo ni katikati ya milima miwili

Hapa pia alikuta watu ambao walielewa lugha yake kwa shida sana(haimaanishi hawakuelewana)

Watu hawa wao walimuelekeza kua kuna jamii nyingine ambayo ilikua ni kama ikiwafanyia uonevu hivyo wakaomba kutenganisha nao kisha akawatenganisha kwa kazi waliyoifanya pamoja.

Watu hawa walimuahidi malipo lakini alikataa na kusema malipo yake Mungu atamlipa na inamtosha.

KWA LEO TUISHIE HAPA KISHA TUTAENELEA NA KUANGALIA JE MTU HUYO NI NANI KATIKA HISTORIA YA MASHARIKI YA KATI KWASABABU MAJINA MENGI YANAYOELEZEWA KWA KIARABU WAKATI MWINGINE HUA YANA TOFAUTI NA MAJINA KATIKA LUGHA NYINGINE NA HIO TUMEONA KWA WAFALME NA MANABII WENGI.

Hivyo nadhani tumeona kua aya hizo zinaelezea tu matukio yaliyopo hapa duniani na kuhusu kuzama na kuchomoza kwa jua palimaanisha kuelezea kimazingira muonekano wa maeneo hayo katika muda ambapo alifika na watu aliowakuta.

Hivyo tuzitazame aya hizi kwa mtazamo wa kisanaa zaidi ya mtazamo wa kisayansi kwakua zimemaanisha kuelezea maeneyo katika safari aliyopitia mtu aliekua akiongelewa na wala si sayansi ya mfumo wa jua.

Hata hivyo Quran katika sehemu nyingi e nyingi imezungumzia matukio mengi ya kisayansi ambayo yameonekana kua na ukweli japokua katika wakati ule hayakufahamikana yalionekana kama mambo magumu ikiwa mtaridhia basi tutayapitia yote lakini aya hizi zisihusishwe na hizo nyingine kwakua tu Quran imeingelea mambo mengine ya kisayansi.

Karibuni na tutumie busara.
Maelezo na Uchambuzi wako hauna tofauti na mleta UZI.
Swali hapa ni je Kweli JUA lina zama kwenye matope? Kama sivyo nani amekosea kwenye taarifa hiyo?
Kwanini hazifutwi hizi taarifa kwenye vitabu vya KISLAM takribani miaka 1400 imepita na bado taarifa hizi zipo?

Kwa ushahidi wa Hadith hizi ndipo tunazidi kuchangnyikiwa ni wapi hasa Jua lina zama.
na anayesimulia hapa ni mtu mkubwa sana ujue(kwa waislam siyo kwangu)

Sunan Abi Dawud » Dialects and Readings of the Qur'an (Kitab Al-Huruf Wa Al-Qira'at)

Narrated Abu Dharr:
I was sitting behind the Messenger of Allah (saws) who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets ? I replied: Allah and hisApostle know best. He said: It sets in a spring of warm water (Hamiyah).

حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، وَعُبَيْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ بْنِ مَيْسَرَةَ، - الْمَعْنَى - قَالاَ حَدَّثَنَا يَزِيدُ بْنُ هَارُونَ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ حُسَيْنٍ، عَنِ الْحَكَمِ بْنِ عُتَيْبَةَ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ كُنْتُ رَدِيفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَهُوَ عَلَى حِمَارٍ وَالشَّمْسُ عِنْدَ غُرُوبِهَا فَقَالَ ‏"‏ هَلْ تَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنِ حَامِيَةٍ ‏"‏ ‏.‏

Sahih al-Bukhari » ONENESS, UNIQUENESS OF ALLAH (TAWHEED)

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet regarding the Verse:--'And the sun runs on its fixed course for a term decreed for it.' (36.28) He said, "Its fixed course is underneath Allah's Throne."

حَدَّثَنَا عَيَّاشُ بْنُ الْوَلِيدِ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏



Jami` at-Tirmidhi » Chapters On Al-Fitan

Abu Dharr said:
"I entered the Masjid at sunset, and the Prophet(s.a.w) was sitting. He said: 'O Abu Dharr! Do you know where this(sun) goes?' I said:'Allah and His Messenger knowbetter.' He said: 'Indeed it goes to seek permission to prostrate, so it is permitted. And it is as if it has been said to it: "Rise from whence you came." So it shall rise from its setting place.' Then he recited: 'That is its fixed course."' He said: "That is the recitation of 'Abdulla bim Mas'ud."

حَدَّثَنَا هَنَّادٌ، حَدَّثَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ دَخَلْتُ الْمَسْجِدَ حِينَ غَابَتِ الشَّمْسُ وَالنَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم جَالِسٌ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَذْهَبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ تَسْتَأْذِنُ فِي السُّجُودِ فَيُؤْذَنُ لَهَا وَكَأَنَّهَا قَدْ قِيلَ لَهَا اطْلُعِي مِنْ حَيْثُ جِئْتِ فَتَطْلُعُ مِنْ مَغْرِبِهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ ثُمَّ قَرَأَ ‏"‏ وَذَلِكَ مُسْتَقَرٌ لَهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ وَذَلِكَ قِرَاءَةُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى وَفِي الْبَابِ عَنْ صَفْوَانَ بْنِ عَسَّالٍ وَحُذَيْفَةَ بْنِ أَسِيدٍ وَأَنَسٍ وَأَبِي مُوسَى ‏.‏ وَهَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏


Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
Once I was with the Prophet in the mosque at the time of sunset. The Prophet said, "O Abu Dharr! Do you know where the sun sets?" I replied, "Allah and His Apostle know best." He said, "It goes and prostrates underneath (Allah's) Throne; and that is Allah's Statement:-- 'And the sun runs on its fixed course for a term (decreed). And that is the decree of All-Mighty, the All-Knowing....' (36.38)

حَدَّثَنَا أَبُو نُعَيْمٍ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ ـ رضى الله عنه ـ قَالَ كُنْتُ مَعَ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فِي الْمَسْجِدِ عِنْدَ غُرُوبِ الشَّمْسِ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ الشَّمْسُ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ حَتَّى تَسْجُدَ تَحْتَ الْعَرْشِ، فَذَلِكَ قَوْلُهُ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا ذَلِكَ تَقْدِيرُ الْعَزِيزِ الْعَلِيمِ‏}‏‏"‏



Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet about the Statement of Allah:-- 'And the sun runs on fixed course for a term (decreed), ' (36.38) He said, "Its course is underneath "Allah's Throne." (Prostration of Sun trees, stars. mentioned in Qur'an and Hadith does not mean like our prostration but it means that these objects are obedient to their Creator (Allah) and they obey for what they have been created for).

حَدَّثَنَا الْحُمَيْدِيُّ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏

So which is which according to the above compared to world science explanation about SUN SET?
 
Maelezo na Uchambuzi wako hauna tofauti na mleta UZI.
Swali hapa ni je Kweli JUA lina zama kwenye matope? Kama sivyo nani amekosea kwenye taarifa hiyo?
Kwanini hazifutwi hizi taarifa kwenye vitabu vya KISLAM takribani miaka 1400 imepita na bado taarifa hizi zipo?

Kwa ushahidi wa Hadith hizi ndipo tunazidi kuchangnyikiwa ni wapi hasa Jua lina zama.
na anayesimulia hapa ni mtu mkubwa sana ujue(kwa waislam siyo kwangu)

Sunan Abi Dawud » Dialects and Readings of the Qur'an (Kitab Al-Huruf Wa Al-Qira'at)

Narrated Abu Dharr:
I was sitting behind the Messenger of Allah (saws) who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets ? I replied: Allah and hisApostle know best. He said: It sets in a spring of warm water (Hamiyah).

حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، وَعُبَيْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ بْنِ مَيْسَرَةَ، - الْمَعْنَى - قَالاَ حَدَّثَنَا يَزِيدُ بْنُ هَارُونَ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ حُسَيْنٍ، عَنِ الْحَكَمِ بْنِ عُتَيْبَةَ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ كُنْتُ رَدِيفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَهُوَ عَلَى حِمَارٍ وَالشَّمْسُ عِنْدَ غُرُوبِهَا فَقَالَ ‏"‏ هَلْ تَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنِ حَامِيَةٍ ‏"‏ ‏.‏

Sahih al-Bukhari » ONENESS, UNIQUENESS OF ALLAH (TAWHEED)

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet regarding the Verse:--'And the sun runs on its fixed course for a term decreed for it.' (36.28) He said, "Its fixed course is underneath Allah's Throne."

حَدَّثَنَا عَيَّاشُ بْنُ الْوَلِيدِ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏



Jami` at-Tirmidhi » Chapters On Al-Fitan

Abu Dharr said:
"I entered the Masjid at sunset, and the Prophet(s.a.w) was sitting. He said: 'O Abu Dharr! Do you know where this(sun) goes?' I said:'Allah and His Messenger knowbetter.' He said: 'Indeed it goes to seek permission to prostrate, so it is permitted. And it is as if it has been said to it: "Rise from whence you came." So it shall rise from its setting place.' Then he recited: 'That is its fixed course."' He said: "That is the recitation of 'Abdulla bim Mas'ud."

حَدَّثَنَا هَنَّادٌ، حَدَّثَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ دَخَلْتُ الْمَسْجِدَ حِينَ غَابَتِ الشَّمْسُ وَالنَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم جَالِسٌ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَذْهَبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ تَسْتَأْذِنُ فِي السُّجُودِ فَيُؤْذَنُ لَهَا وَكَأَنَّهَا قَدْ قِيلَ لَهَا اطْلُعِي مِنْ حَيْثُ جِئْتِ فَتَطْلُعُ مِنْ مَغْرِبِهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ ثُمَّ قَرَأَ ‏"‏ وَذَلِكَ مُسْتَقَرٌ لَهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ وَذَلِكَ قِرَاءَةُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى وَفِي الْبَابِ عَنْ صَفْوَانَ بْنِ عَسَّالٍ وَحُذَيْفَةَ بْنِ أَسِيدٍ وَأَنَسٍ وَأَبِي مُوسَى ‏.‏ وَهَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏


Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
Once I was with the Prophet in the mosque at the time of sunset. The Prophet said, "O Abu Dharr! Do you know where the sun sets?" I replied, "Allah and His Apostle know best." He said, "It goes and prostrates underneath (Allah's) Throne; and that is Allah's Statement:-- 'And the sun runs on its fixed course for a term (decreed). And that is the decree of All-Mighty, the All-Knowing....' (36.38)

حَدَّثَنَا أَبُو نُعَيْمٍ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ ـ رضى الله عنه ـ قَالَ كُنْتُ مَعَ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فِي الْمَسْجِدِ عِنْدَ غُرُوبِ الشَّمْسِ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ الشَّمْسُ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ حَتَّى تَسْجُدَ تَحْتَ الْعَرْشِ، فَذَلِكَ قَوْلُهُ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا ذَلِكَ تَقْدِيرُ الْعَزِيزِ الْعَلِيمِ‏}‏‏"‏



Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet about the Statement of Allah:-- 'And the sun runs on fixed course for a term (decreed), ' (36.38) He said, "Its course is underneath "Allah's Throne." (Prostration of Sun trees, stars. mentioned in Qur'an and Hadith does not mean like our prostration but it means that these objects are obedient to their Creator (Allah) and they obey for what they have been created for).

حَدَّثَنَا الْحُمَيْدِيُّ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏

So which is which according to the above compared to world science explanation about SUN SET?
Nadhani hujaelewa nilichoelezea mimi.
Naomba usome tena au kwa kukuelezea maana ya post yangu ni kua pale yule anaeongelewa alipogika(yani alifika wakati wa jua kuzama) ilikua ni mji ambao unamazingira ya matope/ziwa/chemchem na sio kkwamba jua liliingia ndani ya matope la!

Kinachomaanishwa ni kua mahali alipofika palikua na mazingira hayo na jua ndio lilkua linazama kwa wakati huo..

Na kisha baada ya kufanya aliyoyafanya sehemu ile akaendelea na safari yake mpaka wakati jua linachomoza alikua ameshafika katika mji mwingine ambao nao mazingira yake yameelezea.

Kisha hata hapo pia hakukaa sana akaendelea na safari yake hadi akafika katika mji mwingine ambao huo ulielezewa kwa kuzungukwa na milima(ulikua katikati ya milima miwili)

Kwa hio hapo hajaongelea sayansi au elimu ya jua bali kaelezea tu kua wakati anafika hapo ndio ulikua muda wa jua kuzama na mazingira ya eneo lile(view of the sunset and its sorroundings) ndio ilikua na hali ya matope/unyevu unyevu/mazingira ya ziwa.

Nadhani kwa hapa umenielewa.
 
Ahahahahaahahaahaha endelea kumfanya Mungu kikaragosi ahahahhahaahaaa kweli kabisa Mungu ni wakupigwa makofi na wapuuzi wa kiyahudi , hii inaitaji uvute bange ahahaahahhahah
Nakubaliana na wewe kwamba YESU ktk Hali yake ya UUNGU KAMILI Thubutu huwezi hata kumkaribia hata kumgusa [emoji106]
 
Nakubaliana na wewe kwamba YESU ktk Hali yake ya UUNGU KAMILI Thubutu huwezi hata kumkaribia hata kumgusa [emoji106]
Ahahahahaahahaahaha huyu kweli hamnazo kwahiyo unakubali kuwa Mungu wako alipigwa makofi? Ahahahahhaah ahahaahahhahah imani hizi mtihani kweli kweli
 
Maelezo na Uchambuzi wako hauna tofauti na mleta UZI.
Swali hapa ni je Kweli JUA lina zama kwenye matope? Kama sivyo nani amekosea kwenye taarifa hiyo?
Kwanini hazifutwi hizi taarifa kwenye vitabu vya KISLAM takribani miaka 1400 imepita na bado taarifa hizi zipo?

Kwa ushahidi wa Hadith hizi ndipo tunazidi kuchangnyikiwa ni wapi hasa Jua lina zama.
na anayesimulia hapa ni mtu mkubwa sana ujue(kwa waislam siyo kwangu)

Sunan Abi Dawud » Dialects and Readings of the Qur'an (Kitab Al-Huruf Wa Al-Qira'at)

Narrated Abu Dharr:
I was sitting behind the Messenger of Allah (saws) who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets ? I replied: Allah and hisApostle know best. He said: It sets in a spring of warm water (Hamiyah).

حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، وَعُبَيْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ بْنِ مَيْسَرَةَ، - الْمَعْنَى - قَالاَ حَدَّثَنَا يَزِيدُ بْنُ هَارُونَ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ حُسَيْنٍ، عَنِ الْحَكَمِ بْنِ عُتَيْبَةَ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ كُنْتُ رَدِيفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَهُوَ عَلَى حِمَارٍ وَالشَّمْسُ عِنْدَ غُرُوبِهَا فَقَالَ ‏"‏ هَلْ تَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَغْرُبُ فِي عَيْنِ حَامِيَةٍ ‏"‏ ‏.‏

Sahih al-Bukhari » ONENESS, UNIQUENESS OF ALLAH (TAWHEED)

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet regarding the Verse:--'And the sun runs on its fixed course for a term decreed for it.' (36.28) He said, "Its fixed course is underneath Allah's Throne."

حَدَّثَنَا عَيَّاشُ بْنُ الْوَلِيدِ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏



Jami` at-Tirmidhi » Chapters On Al-Fitan

Abu Dharr said:
"I entered the Masjid at sunset, and the Prophet(s.a.w) was sitting. He said: 'O Abu Dharr! Do you know where this(sun) goes?' I said:'Allah and His Messenger knowbetter.' He said: 'Indeed it goes to seek permission to prostrate, so it is permitted. And it is as if it has been said to it: "Rise from whence you came." So it shall rise from its setting place.' Then he recited: 'That is its fixed course."' He said: "That is the recitation of 'Abdulla bim Mas'ud."

حَدَّثَنَا هَنَّادٌ، حَدَّثَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ دَخَلْتُ الْمَسْجِدَ حِينَ غَابَتِ الشَّمْسُ وَالنَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم جَالِسٌ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَذْهَبُ هَذِهِ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ تَسْتَأْذِنُ فِي السُّجُودِ فَيُؤْذَنُ لَهَا وَكَأَنَّهَا قَدْ قِيلَ لَهَا اطْلُعِي مِنْ حَيْثُ جِئْتِ فَتَطْلُعُ مِنْ مَغْرِبِهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ ثُمَّ قَرَأَ ‏"‏ وَذَلِكَ مُسْتَقَرٌ لَهَا ‏"‏ ‏.‏ قَالَ وَذَلِكَ قِرَاءَةُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى وَفِي الْبَابِ عَنْ صَفْوَانَ بْنِ عَسَّالٍ وَحُذَيْفَةَ بْنِ أَسِيدٍ وَأَنَسٍ وَأَبِي مُوسَى ‏.‏ وَهَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ ‏.‏


Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
Once I was with the Prophet in the mosque at the time of sunset. The Prophet said, "O Abu Dharr! Do you know where the sun sets?" I replied, "Allah and His Apostle know best." He said, "It goes and prostrates underneath (Allah's) Throne; and that is Allah's Statement:-- 'And the sun runs on its fixed course for a term (decreed). And that is the decree of All-Mighty, the All-Knowing....' (36.38)

حَدَّثَنَا أَبُو نُعَيْمٍ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ ـ رضى الله عنه ـ قَالَ كُنْتُ مَعَ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فِي الْمَسْجِدِ عِنْدَ غُرُوبِ الشَّمْسِ فَقَالَ ‏"‏ يَا أَبَا ذَرٍّ أَتَدْرِي أَيْنَ تَغْرُبُ الشَّمْسُ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَعْلَمُ‏.‏ قَالَ ‏"‏ فَإِنَّهَا تَذْهَبُ حَتَّى تَسْجُدَ تَحْتَ الْعَرْشِ، فَذَلِكَ قَوْلُهُ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا ذَلِكَ تَقْدِيرُ الْعَزِيزِ الْعَلِيمِ‏}‏‏"‏



Sahih al-Bukhari » Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh))

Narrated Abu Dharr:
I asked the Prophet about the Statement of Allah:-- 'And the sun runs on fixed course for a term (decreed), ' (36.38) He said, "Its course is underneath "Allah's Throne." (Prostration of Sun trees, stars. mentioned in Qur'an and Hadith does not mean like our prostration but it means that these objects are obedient to their Creator (Allah) and they obey for what they have been created for).

حَدَّثَنَا الْحُمَيْدِيُّ، حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، حَدَّثَنَا الأَعْمَشُ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ التَّيْمِيِّ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي ذَرٍّ، قَالَ سَأَلْتُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم عَنْ قَوْلِهِ تَعَالَى ‏{‏وَالشَّمْسُ تَجْرِي لِمُسْتَقَرٍّ لَهَا‏}‏ قَالَ ‏"‏ مُسْتَقَرُّهَا تَحْتَ الْعَرْشِ ‏"‏‏.‏

So which is which according to the above compared to world science explanation about SUN SET?
Kwanini zifutwe ? wakati elimu ya kujua hadithi ni sahihi au dhaifu ipo, tunachoangalia kwanza ni QURAN ndio maneno ya Mungu moja kwa moja, hadithi yeyote ambaye itapingana na Quran hiyo itakuwa ni DHAIFU hili nilishakwambia sana , nyie kama mmeifuta injili ya barnaba hayo ni matatizo yenu aahhhahhahhhhhha
 
Mimi simuabudu Cesare. Namuabudu Mungu aliye hai, Jesus Christ! Kiboko yenu Abduls wote including your Allah!!
Ndugu zenu wa KIJINN wakilisikia jina tu chali.
Luka 4:31-40(Unaweza soma kuanzia 4:16 kuendelea)

31 Kisha akaenda Kapernaumu, mji ulioko wilaya ya Galilaya, na siku ya sabato akawafundisha watu katika sinagogi. 32 Walis taajabishwa na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.33 Alikuwepo mtu mmoja katika sinagogi aliyekuwa ame pagawa na pepo mchafu, naye alianza kupiga kelele kwa nguvu akisema, 34 “Unataka kutufanya nini, Wewe Yesu wa Nazareti? Ume kuja kutuangamiza? Nakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu.” 35 Yesu akamwamuru yule pepo: “Nyamaza! Mtoke!” Yule pepo akamwangusha chini yule mtu mbele yao, akamtoka pasipo kumd huru. 36 Watu wote wakashangaa wakaambiana, “Mafundisho ya mtu huyu ni ya ajabu. Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!37 Habari zake zikaenea pote katika mkoa ule.

Yesu Awaponya Wengi
38 Alipotoka katika sinagogi Yesu alikwenda nyumbani kwa Simoni na alipofika huko alimkuta mama mkwe wa Simoni ana homa kali. Wakamwomba sana amponye. 39 Basi Yesu akasimama kando ya kitanda chake akaiamuru ile homa imtoke. Homa ikamtoka yule mama. Akaamka mara moja akaanza kuwahudumia. 40 Jua lilipokuwa likichwa, wote waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi mbalimbali waliwaleta kwa Yesu. Akamgusa kila mgonjwa, akawaponya wote.

sasa ulitaka nimuabudu huyu kibudu mwenzako mpenda ngono na mwenye kupagawa na pepo?
Alishindwa mtibu kipofu na mwisho alimfukuza kama takataka.

Wacha umbea kusoma barua ya Theophilus. Wewe inakuhusu nini , kisoda wahed.
 
Nakubaliana na wewe kwamba YESU ktk Hali yake ya UUNGU KAMILI Thubutu huwezi hata kumkaribia hata kumgusa [emoji106]
Ndiyo mafundisho ya unayemwabudu Shoga Cesare Borgia ??
 
Ndiyo mafundisho ya unayemwabudu Shoga Cesare Borgia ??

IMG_20181111_154738_668.jpg
[emoji38] [emoji38]
 

wewe ni yahudi wa iringa au singida ???

mbona unakimbia kufanya mkate mtakatifu ???
Kila siku unatwanga maji unaloana msuli hadi pu"**"m manake sharia ya msuli usivae na chupi [emoji15] [emoji12] nasoma kichwani mwako naona network bado ipo kisilamu kisla [emoji12] umeleta ayat za Biblia Takatifu ili zitetee Ujinga bado unaonekana ni zwazwa tu [emoji15] [emoji12] [emoji53] Hizo aya hakuna Mkristo anae zibishia [emoji106] YESU kaongea Akiwa ktk Hali yake ya KIBINADAMU KAMILI [emoji117] View attachment 929718 mbona mnakuwa kama piriton hamuhoji pale YESU alipokuwa NENO [emoji351] [emoji344] [emoji117] View attachment 929733

Wakristo mnadai kwamba Yesu alikuwa Mungu kama ulivyomnukuu katika Yohana 1:1 “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu”.

Hayo ni maneno ya Yohana na si maneno ya Yesu,

vile vile, neno la kwanza la Kigiriki kwa ajili ya Mungu ni “HOTHEOS” ambalo linamaanisha “Mungu” likiwa na M kubwa, wakati neno la pili la Kigiriki kwa ajili ya Mungu ni “TONTHEOS” ambalo linamaanisha “mungu” likiwa na “m” ndogo.

Je, huko si kukosa uaminifu kwa wale waliotafsiri Biblia ya Kigiriki?

Je, nukuu hiyo ya Yohana 1:1 iliyotambuliwa na kila mwanazuoni wa Kikristo aliyeisoma Biblia kwamba imeandikwa na Myahudi aitwae Philo Alexandria kabla ya Yesu na Yohana?

Je, neno “god” au “TONTHEOS” pia halikutumika kuashiria wengine kama ilivyo katika Wakorinto 2 4:4 (Na Shetani ndie) mungu wa ulimwengu huu na katika Kutoka 7:1 “Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom