Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
HUJASOMA SIMULTANEOUS EQUATION

(John 14:8-9).
Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, YATUTOSHA.
Yesu akamwambia, MIMI NIMEKUWAPO PAMOJA NANYI SIKU HIZI ZOTE, WEWE USINIJUE FILIPO? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

MPAKA HAPA USHAMJUA BABA TAYARI.





Roho anena..




John 1:1-2
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.


John 1:14
Naye NENO alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

John 14:23
Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.

John 14:13-17.
Nanyi mkiomba lo lote KWA JINA LANGU, hilo nitalifanya, ILI BABA ATUKUZWE NDANI YA MWANA.
Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya. Ahadi ya kupewa Roho Mtakatifu
Mkinipenda, mtazishika amri zangu.
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa MSAIDIZI MWINGINE, ili akae nanyi hata milele; NDIYE ROHO WA KWELI; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye ATAKUA NDANI YENU.




...ENDELEA KUBISHA ....




Sent using Jamii Forums mobile app
SIMULTANEOUS EQUATION ipi ? lete swali halafu utuambie umetumia njia gani kusolve hesabu zako za kuunga unga , ahahahhahahhahah aibu tupu unajificha kwenye kichaka cha hesabu wakati , hesabu yenyewe inakukataa kweupe

Mjomba mbona unapata tabu, Yesu amewafundisha watu kumjua Baba, kwa mafunzo yake na matendo yake ni ujumbe tosha unaoweza kuzingatia na kumuheshimu Baba, mwisho wa siku alijitofautisha kuwa Yeya ni nani
1. Baba mkuu kuliko Yesu
2.Baba ndio Mungu wangu ndio Mungu wenu
3.Baba ndie Mungu alienituma
4.Baba ndie anaijua kiama , mimi Yesu siijui

hivi mbona unamlazimisha Yesu uongo ambao katu ajawai kuutamka
Swali; Yesu kasema Baba ndio Mungu wake, wapi alisema Yeye ni Mungu ?
 
Ukitajiwa Muhammad kuwa shoga, unakimbilia BUSARA! Akitajwa Yesu sawa! Big Hypocrites !!
Bewitched prophet follower! wake up!
Kuna vitu siwezi fanya mdogo wangu ,sijawai kumuita mtu shoga humu, nakusisitizia busara katu mtu afundishwi darasani, halafu ata ukimuita mtu shoga unapata furaha kwa nafsi yako, lakini huyo uliemuita ata huwezi mtoboa jicho ahahahahaahahahha ahahahahaahahahha ni vizuri kufurahisha nafsi yako
 
Hawawezi kubali , ndio maana nikamuambia sio kila jambo la dini linakubaliana na sayansi
Sawa mkuu, mshahara.
Halafu wewe unauelewa mzuri wa mambo ya Imani.
Hivi ninini kinachokufanya usiwe mwanafunzi wa Yesu mda wote huu ?
Yaani wewe unafaa sana kuwa Mchungaji wa kondoo za Kristo Yesu, Masihi pekee wa hii dunia yetu. Una uelewa mzuri wa Neno la Mungu
Unasubiri nini kubatizwa Uanze kazi ya kuihubiri Injiri ?
Kumbuka Yesu alisema,

" anayempenda Baba au Mama au ndugu au jamaa zake kuliko mimi hanifai "
" atakayenionea aibu mbele za watu nami nitamuonea aibu siku ile ya mwisho ya kuingia katika ufalme wa Mbingu "

Wakati wa Ukombozi ni Sasa, Chukua Hatua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
What else can i say then.....
-Mkojo wa Ngamia?
-Uji wa ngama na wa sunnah
-Mainzi waliotumbukizwa kwenye mkojo wa ngamia wenye bawa moja lenye dawa na lingine lenye ugonjwa?


NENO ni la Mungu.
NENO litadumu Milele na Milele.
NENO halitaharibika
NENO limetoka kwa Mungu.
NENo likawekwa kwa Maria. Likawa mesenja.
Neno ndio ROHO ya Mungu
ROHO inayoendelea kutoka kwa Mwenyezi moja kwa moja.

Can Somebody try to distinguish between Roho ya Mungu na Mungu?.

Can somebody drink a Camel Urine and try to distinguish The Allahs'Word and Allah?.



Sent using Jamii Forums mobile app

Neno ni la mungu hata wewe ni neno la mungu lakini si mungu


Neno "Masiya - Masihi"​

Neno jingine linalotumika na Wakristo kuipa uzito nadharia kwamba Yesu ni Mungu ni neno Masihi (Angalia Yohana 1:41). Neno Masiya ni la kiebrania lenye maana "Mtu wa Mungu aliyepakwa mafuta " na neno "Kristo" ni tafsiri tu ya kigiriki ya neno la Kiebrania "Masiya." Masihi au kristo, Kiebrania au Kigiriki - yote yana maana moja "Mtu wa Mungu aliyepakwa mafuta".

Neno hili hata hivyo, halikutumika kwa Yesu peke yake, limetumika kwa watu wengine kabla yake pia. Katika Zaburi 2:2, limetumika kwa Nabii Daudi na katika (Isaya 45:1) neno Masihi pia limetumika kwa Koreshi.

Wayahudi waliwaita Wafalme wao "Masiya" kwa dhana kwamba Mungu aliwapaka mafuta na kuwatawaza kuwa Wafalme. Wazo zima la neno Masiya ni la kiyahudi, lililotumika kwa mkombozi wa taifa ambaye waliamini kwamba, kwa msaada wa Mungu angewaokoa kutokana na uonevu na ukandamizaji wa watu wa Mataifa. Hata hivyo neno Masihi ndani yake halikuwa na maana ya uungu.
 
Sawa mkuu, mshahara.
Halafu wewe unauelewa mzuri wa mambo ya Imani.
Hivi ninini kinachokufanya usiwe mwanafunzi wa Yesu mda wote huu ?
Yaani wewe unafaa sana kuwa Mchungaji wa kondoo za Kristo Yesu, Masihi pekee wa hii dunia yetu. Una uelewa mzuri wa Neno la Mungu
Unasubiri nini kubatizwa Uanze kazi ya kuihubiri Injiri ?
Kumbuka Yesu alisema,

" anayempenda Baba au Mama au ndugu au jamaa zake kuliko mimi hanifai "
" atakayenionea aibu mbele za watu nami nitamuonea aibu siku ile ya mwisho ya kuingia katika ufalme wa Mbingu "

Wakati wa Ukombozi ni Sasa, Chukua Hatua.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndio rafiki mkubwa wa Yesu ndio maana kila siku nakataa udhariri mnaompa nabii huyu mkubwa kabisa wa Mungu
 
wee baba fatuma aka allah anaswali kala sigda makalio juu kanzu imenasa deki [emoji53] kaja mbwa kakumbuka mchezo wao wa kuingiliana kifisifisi ameanza kumshughulikia [emoji15] wee unaita kwa wanyama [emoji15] sawa umepatia [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] hapo imepenya gharama yake kata.3 [emoji117] View attachment 981919

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha ndio nini sasa Ahahahahaaaahqa kunywa maji mwanangu ahahahhahaahaaa
 
What else can i say then.....
-Mkojo wa Ngamia?
-Uji wa ngama na wa sunnah
-Mainzi waliotumbukizwa kwenye mkojo wa ngamia wenye bawa moja lenye dawa na lingine lenye ugonjwa?


NENO ni la Mungu.
NENO litadumu Milele na Milele.
NENO halitaharibika
NENO limetoka kwa Mungu.
NENo likawekwa kwa Maria. Likawa mesenja.
Neno ndio ROHO ya Mungu
ROHO inayoendelea kutoka kwa Mwenyezi moja kwa moja.

Can Somebody try to distinguish between Roho ya Mungu na Mungu?.

Can somebody drink a Camel Urine and try to distinguish The Allahs'Word and Allah?.



Sent using Jamii Forums mobile app


Uungu wa Yesu:
Utumiaji wa Tafsiri Mbaya​

Mbali na majina, njia nyingine inayotumiwa na wakristo wanapojaribu kuthibitisha uungu wa Yesu ni kutafasiri vibaya baadhi ya vifungu vya aya za Biblia. Kuna vifungu viwili wanavyopenda sana kuvinukuu kwa kusudio hili:

1) Aya ya kwanza ni Yohana 10:30 ambapo Yesu anasema:

"Mimi na Baba yangu ni kitu kimoja".

Uchambuzi wa kiakili na kimantiki wa aya hii unaonyesha kwamba, Yesu anazungumza kwa jina la Mungu na sio kwamba yeye ni Mungu. Yesu na Mungu ni kitu kimoja kimadhumuni - sio kwa asili yao. Mkristo anaweza kuangalia zaidi katika Yohana 17:1-26:

"Baba saa imefika! Mtukuze mwanao ili naye akutukuze. Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa. Na uzima wa milele ndio huu, kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma--".

Katika dua hii ya Yesu inadhihirisha wazi kwamba yeye hakuwa Mungu bali alikuwa ni mja na Mtume wa Mungu.

Kuthibitisha wazo hili la kuwa kitu kimoja kimadhumuni (Yesu na Mungu) na si kwa asili yao. Hebu tuangalie aya kadhaa katika sura ya kumi na saba ya Yohana, aya ya kwanza ikiwa ni Yohana 17:8. Hapa Yesu anasema:

"Mimi nimewapa ule ujumbe ulionipa; nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako; na wanaamini kwamba wewe ulinituma".

Katika Yohana 17:11 kuna uthibitisho mwingine unaoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni kitu kimoja kimadhumuni (Yaani kuwapa uongofu wanadamu). Yesu anasema:

"Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa, tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi tulivyo mmoja".

Nukta hii ya kuwa pamoja imeelezewa zaidi katika Yohana 17:21-23.

Kwa kifupi maelezo ya Yesu yaliyo katika Yohana 10:30, hayajaribu kuthibitisha kuwa yeye ni Mungu bali yeye na Mungu ni kitu kimoja kimadhumuni, kama inavyoonekana katika aya zilizotajwa hapo awali katika Yohana 17.

2) Aya nyingine ambayo Wakristo wanapenda kuitumia ni Yohana 14:9. Ndani yake Yesu anamwambia Filipo:

"Aliyeniona mimi amemuona Baba".


Ni vizuri kwa Wakristo wanaotumia aya hii kuthibitisha uungu waYesu wakaangalia Yohana 5:37, ambapo Yesu anasema:

"Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Nanyi hamjapata kamwe kusikia sauti Yake, wala kuuona uso wake".

Kama Mkristo atakuwa hakuridhika na aya hiyo juu basi anaweza kuangalia Agano la Kale katika kitabu cha kutoka 33:20, Mungu anamwambia Musa:

"Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi".

Ili kuielewa vizuri aya hii ya Yohana 14:9, ni lazima tuiangalie kiusanifu: Kwa vile Yesu alikuwa ameleta ujumbe wa Mungu, kumuona na kumsikiliza yeye ilikuwa ni sawa na kuwepo Mwenyezi Mungu. Yesu alikuwa anafanya mambo kwa amri ya Mwenyezi Mungu - si kwamba yeye mwenyewe alikuwa Mungu. Hii inaonekana zaidi katika Yohana 8:19, ambapo Yesu anasema:

"Kama mngenijua mimi, hata Baba pia mngemjua".


Zipo aya nyingine zaidi ambazo mkristo anaweza kuzigeukia katika jitihada zake za kumpa Yesu Uungu, lakini zote si chochote ila ni kuzielewa vibaya au kuzitafsiri vibaya kwa ajili ya kutaka kusoma au kukiona kitu fulani ambacho kiuhalisia hakipo. Katika Yohana 17:3 tunaweza kuona kuwa Yesu hakuleta ujumbe mpya; hapa anasema:

"Ili wakujue wewe Mungu wa kweli na wa pekee na wamjue Yesu Kristo uliyemtuma".


Hapa anatuambia kwamba ni lazima tumuamini Mungu mmoja tu na ambaye ni wa kweli na kwamba yeye, Yesu ni mjumbe tu aliyetumwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
 
Neno ni la mungu hata wewe ni neno la mungu lakini si mungu


Neno "Masiya - Masihi"​

Neno jingine linalotumika na Wakristo kuipa uzito nadharia kwamba Yesu ni Mungu ni neno Masihi (Angalia Yohana 1:41). Neno Masiya ni la kiebrania lenye maana "Mtu wa Mungu aliyepakwa mafuta " na neno "Kristo" ni tafsiri tu ya kigiriki ya neno la Kiebrania "Masiya." Masihi au kristo, Kiebrania au Kigiriki - yote yana maana moja "Mtu wa Mungu aliyepakwa mafuta".

Neno hili hata hivyo, halikutumika kwa Yesu peke yake, limetumika kwa watu wengine kabla yake pia. Katika Zaburi 2:2, limetumika kwa Nabii Daudi na katika (Isaya 45:1) neno Masihi pia limetumika kwa Koreshi.

Wayahudi waliwaita Wafalme wao "Masiya" kwa dhana kwamba Mungu aliwapaka mafuta na kuwatawaza kuwa Wafalme. Wazo zima la neno Masiya ni la kiyahudi, lililotumika kwa mkombozi wa taifa ambaye waliamini kwamba, kwa msaada wa Mungu angewaokoa kutokana na uonevu na ukandamizaji wa watu wa Mataifa. Hata hivyo neno Masihi ndani yake halikuwa na maana ya uungu.
Kivipi mimi niwe 'Neno la Mungu' wakati Nimeumbwa kama wanadamu wengine?.

NENO la Mungu is Indestructible.
ROHO inayoendelea kushuka kutoka kwa Mungu. Roho hii haina Ukomo.
ROHO hii ndiye Yesu Kristo.
Yesu ndiye Kristo.
Alikuwepo Jana, Yupo leo na hata milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wanaosema watatu nani[emoji351] [emoji351] hiyo ni Kauli ya kafir baba fatuma [emoji4] pekua kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo ukikuta aya inayo sema Mungu watatu iweke na Mimi nitaretardi na kuwa mchawi [emoji53] makafiri ni hawa [emoji117] View attachment 982108 kataa kama mtume ummi wa maarabu hahusiki[emoji15] [emoji53] anza kubweka View attachment 982112 [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app


The Lost Books of the Bible

Books Mentioned, But Not Found, In The Bible

There are twenty-two books mentioned in the Bible, but not included. The variation is due to possible double mentions using differing names for the same book.
Book of the Covenant

Exodus 24:7 And he took the book of the covenant, and read in the audience of the people: and they said, All that the Lord hath said will we do, and be obedient.
There are those that believe the Book of the Covenant is found in Exodus chapters 20 through 23. There are no authoritative sources for this text.


Book of the Wars of the Lord

Numbers 21:14 Wherefore it is said in the book of the wars of the Lord, What he did in the Red sea, and in the brooks of Arnon,
Certain sources believe that this is to be found by drawing text from several Old Testament books. There are no authoritative sources for this text.


Book of Jasher Here We have the entire book on this site Here

Joshua 10:13 And the sun stood still, and the moon stayed, until the people had avenged themselves upon their enemies. Is not this written in the book of Jasher? So the sun stood still in the midst of heaven, and hasted not to go down about a whole day.

2 Samuel 1:18 (Also he bade them teach the children of Judah the use of the bow: behold, it is written in the book of Jasher.)

The Manner of the Kingdom / Book of Statutes

1 Samuel 10:25 Then Samuel told the people the manner of the kingdom, and wrote it in a book, and laid it up before the Lord. And Samuel sent all the people away, every man to his house.

Book of Samuel the Seer

1 Chronicles 29:29 Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer,

Nathan the Prophet

1 Chronicles 29:29 Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer,

2 Chronicles 9:29 Now the rest of the acts of Solomon, first and last, are they not written in the book of Nathan the prophet, and in the prophecy of Ahijah the Shilonite, and in the visions of Iddo the seer against Jeroboam the son of Nebat?

Acts of Solomon

1 Kings 11:41 And the rest of the acts of Solomon, and all that he did, and his wisdom, are they not written in the book of the acts of Solomon?

Shemaiah the Prophet

2 Chronicles 12:15 Now the acts of Rehoboam, first and last, are they not written in the book of Shemaiah the prophet, and of Iddo the seer concerning genealogies? And there were wars between Rehoboam and Jeroboam continually.

Prophecy of Abijah

2 Chronicles 9:29 Now the rest of the acts of Solomon, first and last, are they not written in the book of Nathan the prophet, and in the prophecy of Ahijah the Shilonite, and in the visions of Iddo the seer against Jeroboam the son of Nebat?

Story of Prophet Iddo

2 Chronicles 13:22 And the rest of the acts of Abijah, and his ways, and his sayings, are written in the story of the prophet Iddo.

Visions of Iddo the Seer

2 Chronicles 9:29 Now the rest of the acts of Solomon, first and last, are they not written in the book of Nathan the prophet, and in the prophecy of Ahijah the Shilonite, and in the visions of Iddo the seer against Jeroboam the son of Nebat?

Iddo Genealogies

2 Chronicles 12:15 Now the acts of Rehoboam, first and last, are they not written in the book of Shemaiah the prophet, and of Iddo the seer concerning genealogies? And there were wars between Rehoboam and Jeroboam continually.

Book of Jehu

2 Chronicles 20:34 Now the rest of the acts of Jehoshaphat, first and last, behold, they are written in the book of Jehu the son of Hanani, who is mentioned in the book of the kings of Israel.

Sayings of the Seers Here

2 Chronicles 33:19 His prayer also, and how God was intreated of him, and all his sin, and his trespass, and the places wherein he built high places, and set up groves and graven images, before he was humbled: behold, they are written among the sayings of the seers.

Book of Enoch Here

Jude 1:14 And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,

Book of Gad the Seer

1 Chronicles 29:29 Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer,

Epistle to Corinth Here

1 Corinthians 5:9 I wrote unto you in an epistle not to company with fornicators:

Epistle to the Ephesians (Missing)

Ephesians 3:3 How that by revelation he made known unto me the mystery; (as I wrote afore in few words, 4 Whereby, when ye read, ye may understand my knowledge in the mystery of Christ)

Epistle from Laodicea to the Colossians (Missing)

Colossians 4:16 And when this epistle is read among you, cause that it be read also in the church of the Laodiceans; and that ye likewise read the epistle from Laodicea.

Nazarene Prophecy Source

Matthew 2:23 And he came and dwelt in a city called Nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, He shall be called a Nazarene


Acts of Uziah

2 Chronicles 26:22 Now the rest of the acts of Uzziah, first and last, did Isaiah the prophet, the son of Amoz, write.

The Annals of King David

1 Chronicles 27:24 Joab son of Zeruiah began to count the men but did not finish. Wrath came on Israel on account of this numbering, and the number was not entered in the book of the annals of King David.

Jude, the Missing Epistle

Jude 1:3 Beloved, when I gave all diligence to write unto you of the common salvation, it was needful for me to write unto you, and exhort you that ye should earnestly contend for the faith which was once delivered unto the saints.

The following information was sent to me by brother Ibrahim Wilson; may Allah Almighty always be pleased with him.

DOES THE QURAN HOLD IN VALIDITY IN STATING THAT THE TORAH WAS LOST OR CORRUPTED?

I have been reading with interest the last few exchanges regarding the reading of Jeremiah 8:8.

JEREMIAH 8:8

"How can you say,We are wise, and the Law of the Lord is with us'? But, behold, the false pen of the scribes has made it into a lie,"

Note: ( Whenever you see that term 'law of the Lord' the Hebrew word is Torah.)

To me with all due respect to my Christian brethern I think what is stated is crystal clear. This will aslo hope to explain insh'Allah why Jesus a.s was always so hard on the SCRIBES!

I think for those who don't believe that the Torah was lost to posterity at one time would do good to read the following insh'Allah.

2 KINGS 22:8

"And Hiil-kiah, the high priest,said unto Shaphan, the scribe, I have found the book of the law in the house of the Lord. And Hil-kiah gave the book to Sha phan, and he read it."

"The accession of Josiah and his eagerness to restore the worship of Jehovah led to the renovation of the Temple, and in the course of this, B.C. 621, the book of Deuteronomy was discovered. The priest took it to the king, who joyfully welcomed it and set about putting its program of religious reformation into effect.

The dramatic story is told in 2 Kings 22 and 23. Josiah put a stop to the idolatrous practices of the people,..." (Edgar J. Goodspeed 'How came the Bible?' pgs22-23)

The Holy Quran is not the only book claiming that some previous scripture was lost! The Bible does, on occasion, mention books now lost to posterity.

EXAMPLES:

NUMBERS 21:14

"Wherefore it is said in the BOOK OF THE WARS OF THE LORD, What He did in the Red Sea, and in the brooks of Arnon..."
Has any one during an Archeological dig(to prove the Bible) found this little gem?

JOSHUA10:13

"...Is this not written in the BOOK OF JASHER?"

Does any one know where this book is?

I KINGS 11:41

"And the rest of the acts of Solomon, and all that he did, and his wisdom, are not written in the BOOK OF THE ACTS OF SOLOMON?"

Could someone let me know where this book is?

1 CHRONICLES 29:29
"Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written a BOOK OF SAMUEL THE SEER, and in the BOOK OF NATHAN THE PROPHET, and in the BOOK OF GAD THE SEER,.."
Does anyone know where I may find these original books?
WHERE ARE THE ABOVE MENTIONED BOOKS?
 
Kivipi mimi niwe 'Neno la Mungu' wakati Nimeumbwa kama wanadamu wengine?.

NENO la Mungu is Indestructible.
ROHO inayoendelea kushuka kutoka kwa Mungu. Roho hii haina Ukomo.
ROHO hii ndiye Yesu Kristo.
Yesu ndiye Kristo.
Alikuwepo Jana, Yupo leo na hata milele.

Sent using Jamii Forums mobile app


Uliumbwa vipi?? ulijifinyanga mwenyewe ?? au ulifinyangwa??
 
DOES THE QURAN HOLD IN VALIDITY IN STATING THAT THE TORAH WAS LOST OR CORRUPTED?

Mohammad atakua alichanganyikiwa.
Kuna siku mohammad aliitwa na wayahudi kulikua na kesi ya Mwanamke kutuhumiwa uzinzi. Mohammad akaomba apewe taurat. Akaitoa kwenye kava lake akaapa kwa kussema anaiamini torati na yule aliyeishusha yaani Mungu wa wayahudi.
Sasa Kurani gani iseme torati imeharibiwa?.
Inabidi uanze ku question Validity of Qur'an first.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohammad atakua alichanganyikiwa.
Kuna siku mohammad aliitwa na wayahudi kulikua na kesi ya Mwanamke kutuhumiwa uzinzi. Mohammad akaomba apewe taurat. Akaitoa kwenye kava lake akaapa kwa kussema anaiamini torati na yule aliyeishusha yaani Mungu wa wayahudi.
Sasa Kurani gani iseme torati imeharibiwa?.
Inabidi uanze ku question Validity of Qur'an first.


Sent using Jamii Forums mobile app


Ulikuwepo na wewe ??

Unaongelea torati ipi ???


 
Pia nataka nikupe Ilimu kuhusu Da'awah.
Nyie mnapojadili dini yenu ni lazima Mseme uongo kwakua wengi wenu ni dummies wa Qur'an. Na Uongo ndio unaoibeba Qur'an.

Tafsiri zenu mnazoweka kwenye mabano ni porojo tu. Hadithi na Kurani ya kiarabu haija wekwa hayo ma brackets. Na vitu vingi mnakwepa kwasababu vinaonyesha how absurdity the deen realy is.

Ndio maana neno swalat kwa kiarabu mlibadili kwa lugha za wengine iwe blessing kuonyesha how scumpbag you are. Mnahofia kukuta allah. Malaika wake wote ana mswalia mohammad.
Sasa kuna nyingine inaonyesha Mohammd, Allah na malaika wake wote wanataka kumchangia mke wa mohammad aliyemfumania mohammad akimla mwanamke kwenye kitanda cha mkewe halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unabisha nini sasa hapo?. Unataka kukataa kua Mohammad hajaapa kwa torati?

Kwanza Onyesha hiyo aya ya qur'an inayokataa Taurat kua ineharibiwa.
Ili tuweze ku note the contradictions vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona unakimbia maswali??

Ulikuwepo na wewe??

Unaongelea Torati ipi??
 
What else can i say then.....
-Mkojo wa Ngamia?
-Uji wa ngama na wa sunnah
-Mainzi waliotumbukizwa kwenye mkojo wa ngamia wenye bawa moja lenye dawa na lingine lenye ugonjwa?


NENO ni la Mungu.
NENO litadumu Milele na Milele.
NENO halitaharibika
NENO limetoka kwa Mungu.
NENo likawekwa kwa Maria. Likawa mesenja.
Neno ndio ROHO ya Mungu
ROHO inayoendelea kutoka kwa Mwenyezi moja kwa moja.

Can Somebody try to distinguish between Roho ya Mungu na Mungu?.

Can somebody drink a Camel Urine and try to distinguish The Allahs'Word and Allah?.



Sent using Jamii Forums mobile app
Roho Takatifu Ni Nini?

Jibu la Biblia
Roho takatifu ni nguvu za utendaji za Mungu. (Mika 3:8; Luka 1:35) Mungu huituma roho yake kwa kuelekeza nguvu zake mahali popote anapotaka ili kutimiza mapenzi yake.—Zaburi 104:30; 139:7.

Katika Biblia, neno “roho” limetafsiriwa kutokana na neno la Kiebrania ruʹach na neno la Kigiriki pneuʹma. Mara nyingi, maneno hayo hurejelea nguvu za utendaji za Mungu, au roho takatifu. (Mwanzo 1:2) Hata hivyo, Biblia pia hutumia maneno hayo kwa njia nyingine:

Pumzi.—Habakuki 2:19; Ufunuo 13:15.
Upepo.—Mwanzo 8:1; Yohana 3:8.
Nguvu inayotendesha viumbe hai.—Ayubu 34:14, 15.
Mwelekeo wa mtu au mtazamo wake.—Hesabu 14:24.
Mungu na viumbe wenye miili ya roho kama malaika.—1 Wafalme 22:21; Yohana 4:24.
Maana hizo zote zinatoa wazo la kitu kisichoonekana na wanadamu ambacho hufanya mambo yanayoweza kuonekana. Vivyo hivyo, roho ya Mungu, “kama tu upepo, haionekani, si kitu halisi, na ina nguvu.”—An Expository Dictionary of New Testament Words, by W. E. Vine.

Biblia pia hurejelea roho takatifu ya Mungu kuwa “mikono” au “vidole” vyake. (Zaburi 8:3; 19:1; Luka 11:20; linganisha Mathayo 12:28.) Kama tu msanii anavyotumia mikono na vidole vyake kufanya kazi zake, Mungu ametumia roho yake kutokeza vitu kama hivi:

Ulimwengu.—Zaburi 33:6; Isaya 66:1, 2.
Biblia.—2 Petro 1:20, 21.
Miujiza iliyofanywa na watumishi wake katika nyakati za kale na pia kazi yao ya kuhubiri kwa bidii.—Luka 4:18; Matendo 1:8; 1 Wakorintho 12:4-11.
Sifa nzuri zinazoonyeshwa na watu wanaomtii.—Wagalatia 5:22, 23.

Roho takatifu si mtu

Inaporejelea roho ya Mungu kama “mikono,” “vidole,” au “pumzi” yake, Biblia inaonyesha kwamba roho takatifu si mtu. (Kutoka 15:8, 10) Mikono ya msanii haiwezi kufanya kazi bila akili au mwili wake; vivyo hivyo, roho takatifu ya Mungu hutenda tu anapoielekeza. (Luka 11:13) Pia Biblia hulinganisha roho ya Mungu na maji na kuihusianisha na vitu kama vile imani na ujuzi. Ulinganifu huo huonyesha kwamba roho takatifu si mtu.—Isaya 44:3; Matendo 6:5; 2 Wakorintho 6:6.
 
Roho Takatifu Ni Nini?

Jibu la Biblia
Roho takatifu ni nguvu za utendaji za Mungu. (Mika 3:8; Luka 1:35) Mungu huituma roho yake kwa kuelekeza nguvu zake mahali popote anapotaka ili kutimiza mapenzi yake.—Zaburi 104:30; 139:7.

Katika Biblia, neno “roho” limetafsiriwa kutokana na neno la Kiebrania ruʹach na neno la Kigiriki pneuʹma. Mara nyingi, maneno hayo hurejelea nguvu za utendaji za Mungu, au roho takatifu. (Mwanzo 1:2) Hata hivyo, Biblia pia hutumia maneno hayo kwa njia nyingine:

Pumzi.—Habakuki 2:19; Ufunuo 13:15.
Upepo.—Mwanzo 8:1; Yohana 3:8.
Nguvu inayotendesha viumbe hai.—Ayubu 34:14, 15.
Mwelekeo wa mtu au mtazamo wake.—Hesabu 14:24.
Mungu na viumbe wenye miili ya roho kama malaika.—1 Wafalme 22:21; Yohana 4:24.
Maana hizo zote zinatoa wazo la kitu kisichoonekana na wanadamu ambacho hufanya mambo yanayoweza kuonekana. Vivyo hivyo, roho ya Mungu, “kama tu upepo, haionekani, si kitu halisi, na ina nguvu.”—An Expository Dictionary of New Testament Words, by W. E. Vine.

Biblia pia hurejelea roho takatifu ya Mungu kuwa “mikono” au “vidole” vyake. (Zaburi 8:3; 19:1; Luka 11:20; linganisha Mathayo 12:28.) Kama tu msanii anavyotumia mikono na vidole vyake kufanya kazi zake, Mungu ametumia roho yake kutokeza vitu kama hivi:

Ulimwengu.—Zaburi 33:6; Isaya 66:1, 2.
Biblia.—2 Petro 1:20, 21.
Miujiza iliyofanywa na watumishi wake katika nyakati za kale na pia kazi yao ya kuhubiri kwa bidii.—Luka 4:18; Matendo 1:8; 1 Wakorintho 12:4-11.
Sifa nzuri zinazoonyeshwa na watu wanaomtii.—Wagalatia 5:22, 23.

Roho takatifu si mtu

Inaporejelea roho ya Mungu kama “mikono,” “vidole,” au “pumzi” yake, Biblia inaonyesha kwamba roho takatifu si mtu. (Kutoka 15:8, 10) Mikono ya msanii haiwezi kufanya kazi bila akili au mwili wake; vivyo hivyo, roho takatifu ya Mungu hutenda tu anapoielekeza. (Luka 11:13) Pia Biblia hulinganisha roho ya Mungu na maji na kuihusianisha na vitu kama vile imani na ujuzi. Ulinganifu huo huonyesha kwamba roho takatifu si mtu.—Isaya 44:3; Matendo 6:5; 2 Wakorintho 6:6.
Ndugu si Kweli. Roho Mtakatifu ni halisi kabisa ni Person ama Mtu. Ndiye Mwalimu. Sio Pumzi wala Nguvu ama vyovyote unavyotaka kuelewa.

Inawezekana zile zinazoitwa Roho Saba za Mungu zikaendana na Theory yako. Lakini sio Kwa Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu ni personality kamili atokaye kwa Baba na Mwana.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom