Mtume Muhammad ndio mwana sayansi wa mwanzo kwenda katika mwezi, Na sio Nail Armstrong kama watu wanavyosema , Wazungu ni waongo

Mtume Muhammad ndio mwana sayansi wa mwanzo kwenda katika mwezi, Na sio Nail Armstrong kama watu wanavyosema , Wazungu ni waongo

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588

Mtume Muhammad ndio mwana sayansi wa mwanzo kwenda katika mwezi na akaenda mpaka mbingu ya mwisho katika safari yake ya israa na miraj.​

1736496617795.png



TAZAMA VIDEO SHEHE ANAFUNDISHA MSIKITINI KWAMBA MTUME MUHHAMAD NDIE MWANASAYANSI WA KWANZA AMBAYE ALIANZA KUFIKA MWEZINI KABLA YA NAIL AMSTRONG


 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

BURAQ.jpg
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Elia pia alipaa na farasi eti anaenda mbinguni 😁😁
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Jamaa alikuwa anawaza tuu mademu. Hilo jini farasi alilolipa sura ya kike sijui kama kweli lilimbeba hakulitafuna kweli njiani wakiwa wanaelekea huko mwezini?
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Wewe unadhani kwa jinsi alivyokuwa yule Mwamba angempanda huyo farasi agemuacha? Laiti angewahi kukutana naFarasi wa hivyo, leo tungekuwa na kifungu au hadithi ikiruhusu jambo.
 
Wewe unadhani kwa jinsi alivyokuwa yule Mwamba angempanda huyo farasi agemuacha? Laiti angewahi kukutana naFarasi wa hivyo, leo tungekuwa na kifungu au hadithi ikiruhusu jambo.

Wewe unadhani kwa jinsi alivyokuwa yule Mwamba angempanda huyo farasi agemuacha? Laiti angewahi kukutana naFarasi wa hivyo, leo tungekuwa na kifungu au hadithi ikiruhusu jambo.

Hadith ipo, huyo shehe mwenyewe hiyo stori kaitoa kwenye vitabu vya hadith za mtume, safari ya Miraj ni hadith kubwa sana ya mtume, waislamu wanafundishwa misikitini na madrassa
 
Thubutuu, alipata wapi akili hiyo? Alitumia chombo gani wakati simulizi za hadithi zinaonyesha yeye ali-specialize kwenye watoto wakali wenye macho makubwa kama kikombe?

alipaa kwa kutumia chombo cha ajabu. alipanda farasi mwenye mabawa anaitwa Buraq
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
🫣
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347

Mashehe wanakuwaga na ujinga sana
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Ingawa unaamini Yesu alisulibiwa mpaka akafa siku ya tatu akafufuka na kugeuka Mungu aliye hai
NB mtu kwa miaka thelathini alikuwa akimsaidia baba yake useremala na vibarua vingine kati ya miaka yake 33 ya uhai wake.
Pia unaamini boti lilibeba wanyama aina zote na kuelea huku Dunia nzima ikifunikwa na maji ya mvua.
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Soma haya kwa kutaka kuelewa (iwapo unataka) ila usisome kwa lengo la kutaka kubishana na haina haja ya kukashifiana.


Miaka 1400 iliyopita, Mtume Muhammad saw alikuwa anawalingania dini watu ambao hawajahi hata kuwaza kama kutakuja kitu kinaitwa simu au pikipiki wachilia mbali spaceship za Nasa tunazozijua mimi na wewe.


Hivi unadhani angewaambia watu wa kipindi kile amekwenda kwenye space kwa kutumia rocket wangemuelewa? Ilibidi utumike mfano wa usafiri ambao akili zao zingeweza kucomprehend.


Mitume wote walipewa nguvu ya kuwa na miujiza. Tumeona yesu alikuwa akifufua watu, Mussa alitenganisha bahari kwa kutumia fimbo. Sasa na katika miujiza ya Muhammad mmojawapo ni kupelekwa mbinguni na Mungu. Elewa maana ya kupelekwa, sio aliamua tu kwenda akaenda.


Hiyo picha ya huyo Farasi iliyowekwa ni imagination tu za watu. Maana swali rahisi za kujiuliza kama waliweza kupata picha ya farasi aliyemtumia mbona picha ya mtume mwenyewe hakuna aliyeweza kuichora?


Na hao wanaodai mtume alikuwa anapenda watoto wadogo waombe kuelimishwa kwanza. Mke wa kwanza wa mtume alikuwa na miaka takriban 40. na hakuoa tena mpaka alivyofariki.


Hizi hapa chini ni baadhi ya aya katika Quran ambazo mtume alishushiwa miaka 1400 iliyopita na hatimaye science yetu ya mzungu tunayoiamini imekuja kuthibitisha miaka 500 hadi 600 baadae.

1. “Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them” (Quran, 21:30) - Hapa tunaongelea big bang theory

2. “And We made the sky a protected ceiling, but they, from its signs, are turning away” (Quran 21:32). It is a scientific fact that the sky, with all of its gasses, protects the earth and life that is present on it from the harmful rays of the sun and solar wind.

3 "We sent down Iron with its great inherent strength and its many benefits for humankind” (Quran 57:25). According to M. E. Walrath, iron is not natural to the earth. Scientists state that billions of years ago, the earth was struck by meteorites.

4. “And it is He who created the night and the day and the sun and the moon; all [heavenly bodies] in an orbit are swimming” (Quran, 21:33). Although it was only a widespread belief in the 20th century amongst the astronomers, today it is a well-established fact that the Sun, the Moon, and all the other bodies in the Universe are moving in an orbit and constantly moving.

5. “And the heaven We constructed with strength, and indeed, We are [its] expander” (Quran, 51:47). According to the prominent physicist Stephen Hawking in his book ‘A Brief History of Time’, “The discovery that the universe is expanding was one of the great intellectual revolutions of the 20th century

Nisikuchoshe kwa ujumbe mrefu ila sisi kama waislamu ni LAZIMA tumeamrishwa Kumuamini Yesu na Injili ni katika vitabu vya Mungu.


Peace
 
shehe afundishwe kutenganisha mambo ya ki imani na ya ki sayansi, mwanaume mzima unaamini Mtume Muhhamad alienda mbinguni kwa kupaa na farasi mwenye mabawa anayeitwa BURAQ

umewai kuona wapi farasi ana mabawa anapaa?

IMAGINE HUYU FARASI KWENYE PICHA NDIE ALIMBEBA MTUME KUMPELEKA MWEZINI

View attachment 3197347
Aisee huogopi jambia
 
Back
Top Bottom