Mtume Muhammad ndio mwana sayansi wa mwanzo kwenda katika mwezi, Na sio Nail Armstrong kama watu wanavyosema , Wazungu ni waongo

Mtume Muhammad ndio mwana sayansi wa mwanzo kwenda katika mwezi, Na sio Nail Armstrong kama watu wanavyosema , Wazungu ni waongo

Muhammad usimuweke kundi moja na mitume wakiyahudi ni tofauti kabisa

Muhammad ana mafundisho tofauti kabisa

Ni utovu wa nidhamu kumuweka Muhammad kundi moja na mitume na manabii wakutoka Israel

Ni uhaini kumuweka kundi moja na Yesu kristo
Hii ni fatwa au mtazamo wako kaka?

Mitume wote wapo kundi moja na wote wamepewa ujumbe mmoja unaosema kujisalimisha kwa mungu (uislamu) walichopishana ni kuzidiana kwa darja.

Hata katika mitume 5 watukufu zaidi kuliko wenzao (ulul azm) Yupo Yesu (Issa a.s)na Musa a.s na wote haya walitumwa kwa mayahudi.

Mungu atuongoze mimi na wewe.
 
Hii ni fatwa au mtazamo wako kaka?

Mitume wote wapo kundi moja na wote wamepewa ujumbe mmoja unaosema kujisalimisha kwa mungu (uislamu) walichopishana ni kuzidiana kwa darja.

Hata katika mitume 5 watukufu zaidi kuliko wenzao (ulul azm) Yupo Yesu (Issa a.s)na Musa a.s na wote haya walitumwa kwa mayahudi.

Mungu atuongoze mimi na wewe.
Muhammad hayupo kundi la mitume na manabii wa mwenyezi Mungu ndio maana mafundisho yake tofauti kabisa yanapinga hata na manabii waliotangulia

Kuhusu Yesu huyo ni special group,huyo ni zaidi ya nabii kwanza yeye anatuma na kuagiza mitume na manabii

Mathayo 23:34. Andiko hilo linasema:

"Kwa sababu hiyo, tazama, natuma kwenu manabii, wenye hekima, na waandishi
 
Muhammad hayupo kundi la mitume na manabii wa mwenyezi Mungu ndio maana mafundisho yake tofauti kabisa yanapinga hata na manabii waliotangulia

Kuhusu Yesu huyo ni special group,huyo ni zaidi ya nabii kwanza yeye anatuma na kuagiza mitume na manabii

Mathayo 23:34. Andiko hilo linasema:

"Kwa sababu hiyo, tazama, natuma kwenu manabii, wenye hekima, na waandishi
Nimekupata mzee baba.

Mungu atuongoze mimi na wewe katika njia sahihi.

Amani
 
Nimekupata mzee baba.

Mungu atuongoze mimi na wewe katika njia sahihi.

Amani
Amin ,mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa MAISHA yako hiyo ndio njia ya kuiona pepo

Yohana 14:6

"Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi
."
 
Back
Top Bottom