Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
So hapo kwenye akili za kuku kama alikuwa nakwambia Wewe

USSR
 
We jamaa vipi? Unataka mchungaji awe hohehahe kisha ahubiri habari za kubarikiwa kinadharia? Kama yeye hana hizo baraka si ataonekana tapeli fulani hivi? Hebu tulia muache nabii ahubiri baraka kwa mifano halisi
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Biashara matangazo. Unataka kila siku atangaze maji na mafuta tu?
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Watanzania tuna tatizo kubwa kwenye afya ya akili.

Kutokana na tatizo hilo, Tanzania sasa ni shamba la bibi. Mtu akijiita tu mtume, basi utajiri ni haki yake.

Hizo zote ni DES kasoro majina na ofisi.
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Gentamycine to the world again.
 
yule nyumbani kwake na waumini wake, anawaambia waumini wake mali zake wewe uliye nje unaumia..unashida gani ndugu yangu?, radio yakwake TV yakwake Hotel za kwake, mashamba yakwake..anawafundisha waumini wake mambo yote ya utafutaji...wewe unaumia nini. Pia ni kosa kufananisha madhehebu uliyoyataja na hili lake, utaratibu upo tofauti sana fuatilia utaona tu. Ila usiumie ndugu yangu haya mambo ni kawaida..sisi waumini hatuoni kosa lolote bali tunaona fahari sana pale tukifika mbeya tukaenda kulala kwa hoteli ya baba safi sana
 
Una bidii sana kufautilia mahubiri ya huyu jamaa. Soon nawe utakuwa mfuasi wake tena kindaki ndaki maana unamkubali kiaina.
 
Back
Top Bottom