Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Dini ni taasisi za kitapeli.

Wakatoliki wanatozwa sadaka za kujenga shule, hospitali, vituo vya afya halafu hawatibiwi bure wala kusomeshwa watoto wao bure kenye hizo shule wakati wamezijenga wao halafu wanamuona mwamposa mwizi.

Hizi dini zinapumbaza sana.
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Unawashwawashwa nami ukiwa wapi?
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Mwamposa ni mpigaji kama wapigaji wengine hapa nchini, tena opportunist mkubwa sana asikuambie mtu. Wajinga ndio waliwao, ngoja aendelee kuwala taratibu hadi akili ziwakae sawa.
 
Illuminate prophets and prophetess wapo weengi wakutosha. Ni mwendo wa kutafuna kondoo na mbuzi, mbona kazi ipo.
 
Asee kweli ibada za Bulldozer hauzikosi zote!!! Au ndo Anakuitaga tomaso eti [emoji23]
 
Nilichogundua popoma unamfuatilia sana huyu mtumishi! Na bila shaka una lita za kutosha za kutosha za maji na mafuta! Usihame Kawe,ipo siku utapokea uponyaji wako
 
Kwani Kuna kitu amekosea hapo! Ama ni chuki binafsi zinatesa nafsi zetu????
Nilifika kwenye hapo anasema ana mashamba ya maparachichi nikaanza kucheka Sadaka za watu zimenunua shamba la maparachichi alafu anawapiga kayabayenza funika funika ili MCHEZO usijulikane ulivyo daaah Ila vichaa hawatoacha kwenda kumchangia mpaka anunue Ndege yake bunafsi
 
Kekundu Kekundu Kekundu Kekundu

Wajinga ndio waliwao....

Kuna mama aliniambia anifungulie kanisa tupige pesa za masikini nikagoma...
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Mkuu umekereka hatari....hii ndo JF usikereke.
 
Back
Top Bottom