Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Nilifika kwenye hapo anasema ana mashamba ya maparachichi nikaanza kucheka Sadaka za watu zimenunua shamba la maparachichi alafu anawapiga kayabayenza funika funika ili MCHEZO usijulikane ulivyo daaah Ila vichaa hawatoacha kwenda kumchangia mpaka anunue Ndege yake bunafsi
Juha Kazini.
 
Kwani sadaka unayppeleka kwenye dhehebu lako inaendaga wapi yaani mpumbavu anaamini yeye mwelevu tatizo ulishaaminishwa kwamba umasikini ni sifa,pili hacha kupotosha watu Mimi nilikuwepo hapo kanisani Mwamposa alikuwa anatoa somo hoteri na shamba lake la maparachichi alikuwa anatolea mfano tu kwamba watu wawekezd kwa ajili ya baadae anawafundisha waumini wake kuukataa umasikini kama wewe angekuwa anashida ya kuitangaza hoteri yake anavyo vituo vya redio na terevisheni angetangaza huko we kenge umasikini sio sifa acha UKUDA
Juha Kazini.
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Narudia wewe ni mpumbavu ni
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Wewe ni mpumbavu na ni mwana wa wapumbavu -- ayubu 30: 8 aliyekwambia watumishi wa mungu hawaruhusiwi kuwa na Mali au biashara ninani?? Tafuta Hela acha wivu wa kijinga umaskini sio sifa ya mungu wetu!!! Mungu alimwambia ibrahimu nitakubariki sana utakuwa tajiri wa fedha na dhahabu !! Mwamposa akiwa na Hela wewe kinakuuma Nini?? Ayubu na sulemani watu Hawa walikuwa na upako na pia walikuwa matajiri kupitiliza mungu aliwabariki sana!! Mungu wetu tunaemtumikia sisi huenda ni tofauti na huyo wa kwako wa kikatoliki!!! Na kwa maelezo Yako mwenyewe inaonekana unaabudu kanisa katoliki tofauti na sisi '' sisi tunamwabudu mungu sio kanisa Wala dhehebu !! Kwa jinsi ulivyonachuki na mwamposa na watumishi wengine wakilokole huwezi kukosa uchawi mwilini mwako !! Mtu mzima unajivunia dini ? Ni andiko Gani kwenye biblia linalotaja kanisa katoliki?? Yesu hujenga kanisa ndani ya mtu na sio kwenye majengo ya tope na bati na mbao za msonobari!! Ukue na uwe na Imani hujachelewa Bado yesu anakupenda
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu... Za kuambiwa changanya na za kwako...
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Huna akili kichwani, yaan Hiko kichwa kimebeba macho tu ata ubongo hakuna , Hiko kichwa ni adhabu kwa mwili,
Catholic Wana mashamba maheka na maheka ,..

Mashule, vitega uchumi kibao huna akili huoni chochote, Ila tunashukuru kwa Tangazo lako maana wengine hatukua tunajua,

KKKT Wana mashamba, msikilize Dr Eli kimaro alisema ana mashamba uko hawez kuajiri wa christo
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Wanayemuhubiria kwa kutoa mapepo kwa jina lake alikuwa maskini wa kutupa,yaani Yesu, Hata wanafunzi wake walikuwa maskini wa kutupa,lakini wao wamejikita kwenye utapele wa mafuta na maji ya upako
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Kwani hao maaskofu wa madhehebu hayo uliyotaja kutokuwa na biashara ndio kigezo kikuu madhehebu mengine lazima yafuate!pia kanisa kalianzisha yeye,sadaka inaingia kwenye account yake,ulitaka ile hela iwe inaenda wapi au afanyie nini,unaweza kukuta kama ni wajane,wagonjwa,wazee na wengine kote kwenye uhitaji wa misaada anatoa,na bado chenji inabaki nyingi tu,sioni kama kuna shida hapo kwenye kufanya biashara...
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Amepuuzia lile nenn huwezi kumtumikia mungu na mali.Ndiyo watumishi wakatoliki hawaowi nahawafanyi miradi lengo wawe bize ma huduma ukiwa na miradi,mke utatumia muda wako mwingi kuwajibika na familia na mali.Hao wastahili ya mwamposa mimi hata miumwehoi taabani siwezi kwenda kwao heri nife.
 
Kwani hao maaskofu wa madhehebu hayo uliyotaja kutokuwa na biashara ndio kigezo kikuu madhehebu mengine lazima yafuate!pia kanisa kalianzisha yeye,sadaka inaingia kwenye account yake,ulitaka ile hela iwe inaenda wapi au afanyie nini,unaweza kukuta kama ni wajane,wagonjwa,wazee na wengine kote kwenye uhitaji wa misaada anatoa,na bado chenji inabaki nyingi tu,sioni kama kuna shida hapo kwenye kufanya biashara...
Huna Akili.
 
Sawa unalipenda dhehebu lako ila ujue mambo yao ni ya Siri, ni ya kifalsafa zaidi. Huyu ameweka mambo wazi, waambie nao waweke mambo wazi. Utasikia Kuna mtu mwenye benki Uswise.
 
*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.
Hii line hapa!

Na alipokuwa anasema maneno haya walimpigia makofi mengi na Amina Amina za kutosha.
 
Yaani kuwambia watu tena waumini wake wakitaka huduma za hotels waende kwenye hoteli yake ni tatizo?

Sisi ngozi nyeusi kuna mahali tulimkosea Mungu vibaya sana ndyo maana tumejawa na roho mbaya kupita maelezo
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Biblia inasema, "mtawatambua kwa matendo yao"
 
yule nyumbani kwake na waumini wake, anawaambia waumini wake mali zake wewe uliye nje unaumia..unashida gani ndugu yangu?, radio yakwake TV yakwake Hotel za kwake, mashamba yakwake..anawafundisha waumini wake mambo yote ya utafutaji...wewe unaumia nini. Pia ni kosa kufananisha madhehebu uliyoyataja na hili lake, utaratibu upo tofauti sana fuatilia utaona tu. Ila usiumie ndugu yangu haya mambo ni kawaida..sisi waumini hatuoni kosa lolote bali tunaona fahari sana pale tukifika mbeya tukaenda kulala kwa hoteli ya baba safi sana

Kwani hao maaskofu wa madhehebu hayo uliyotaja kutokuwa na biashara ndio kigezo kikuu madhehebu mengine lazima yafuate!pia kanisa kalianzisha yeye,sadaka inaingia kwenye account yake,ulitaka ile hela iwe inaenda wapi au afanyie nini,unaweza kukuta kama ni wajane,wagonjwa,wazee na wengine kote kwenye uhitaji wa misaada anatoa,na bado chenji inabaki nyingi tu,sioni kama kuna shida hapo kwenye kufanya biashara...
Unaweza kukuta?unamuuzia mgonjwa mafuta ya upako halafu unaenda kumpa mgonjwa mwingine hera?kwanza tuachane na hayo Yesu hakuwahi kuuza bidhaa yoyote ile ili amponye mgonjwa,hao ni wapigaji tu
 
Wanayemuhubiria kwa kutoa mapepo kwa jina lake alikuwa maskini wa kutupa,yaani Yesu, Hata wanafunzi wake walikuwa maskini wa kutupa,lakini wao wamejikita kwenye utapele wa mafuta na maji ya upako
Huna akili kabisa
 
"Nitakuwa ni Mjinga kama nikipumzika Kazi hii ya Kumtumikia Mwenyezi Mungu na kuwa Masikini hivyo kama unaenda Mkoani Mbeya karibu katika Hotel yangu kwani haina Gharama" amesema Mtume wenu Mwamposa.

*Na sijaishia tu kuwa na hiyo Hotel bali kwa sasa nina Shamba Kubwa Heka na Heka za Parachichi na sitoishia hapa nitakuwa navyo Vingi tu" amesema Mtume wenu Mwamposa.

"Kabla sijawa Mtumishi hivi nilikuwa Mfanyabiashara mkubwa tu nchini Zambia, Malawi na Kwingineko na nilivyoanza Kumtumikia Mungu hivi nikaacha ila kwa sasa nimerejea tena kuwa Mfanyabiashara hivyo nitakuwa Mtumishi na hapo hapo Mfanyabiashara na atakayenishangaa atakuwa Mjinga na ana Akili za Kuku" amesema Mtume wenu Mwamposa.

Chanzo: Mahubiri yake yanayoendelea hivi sasa na yako Mubashara katika Television Channel yake.

Kazi Kwenu Waumini wake ila MINOCYCLINE nawaonea mno Huruma na sasa hivi ameamua Kuwadharau wazi wazi huku akitambia Utajiri wake ambao kwa 99.9% umetokana na Sadaka zenu Masikini Wenzangu msiotaka Kusikia tunaowaokeeni ili asizidi Kuwapoteza na kuwafanya Mitaji yake.

Sijawahi Kusikia Maaskofu wa Katoliki, Lutheran, Anglican na hata wale wa Seventh Day ambao wana Hotels na Hostels zao pamoja na Biashara zao nyingi za Kitaasisi wakwa Madhabahuni wanafanya Promo za Biashara zao / Miradi yao kwa Waumini wao tena katikati ya Ibada.

Ndiyo maana nalipenda mno Dhehebu langu Kuu na Takatifu la Katoliki ( Roman Catholic ) kwani huku na kule kwa Lutherans na Anglicans ndiko kuna Ibada za Kweli, Ibada za Kistaarabu na Maendeleo ya Kiuhalisia na siyo ya Kishetani / Kiuchawi pamoja na Uongo na Utapeli mwingi.
Watanzania wengi hawafai kutetewa kama huamini katafute video ya Zumaradi alivyo achiwa.. [emoji23][emoji23][emoji23] Akili zao finyu zinafanya serikali iwatumie Hawa manabii kwenye maswala ya usalama wa taifa..

Wengine wachafu wanawatumia kutakatisha pesa yani hatari sana *****
 
Back
Top Bottom