Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Dini ni taasisi za kitapeli.

Wakatoliki wanatozwa sadaka za kujenga shule, hospitali, vituo vya afya halafu hawatibiwi bure wala kusomeshwa watoto wao bure kenye hizo shule wakati wamezijenga wao halafu wanamuona mwamposa mwizi.

Hizi dini zinapumbaza sana.
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Unawashwawashwa nami ukiwa wapi?
 
Mwamposa ni mpigaji kama wapigaji wengine hapa nchini, tena opportunist mkubwa sana asikuambie mtu. Wajinga ndio waliwao, ngoja aendelee kuwala taratibu hadi akili ziwakae sawa.
 
Illuminate prophets and prophetess wapo weengi wakutosha. Ni mwendo wa kutafuna kondoo na mbuzi, mbona kazi ipo.
 
Asee kweli ibada za Bulldozer hauzikosi zote!!! Au ndo Anakuitaga tomaso eti [emoji23]
 
Nilichogundua popoma unamfuatilia sana huyu mtumishi! Na bila shaka una lita za kutosha za kutosha za maji na mafuta! Usihame Kawe,ipo siku utapokea uponyaji wako
 
Kwani Kuna kitu amekosea hapo! Ama ni chuki binafsi zinatesa nafsi zetu????
Nilifika kwenye hapo anasema ana mashamba ya maparachichi nikaanza kucheka Sadaka za watu zimenunua shamba la maparachichi alafu anawapiga kayabayenza funika funika ili MCHEZO usijulikane ulivyo daaah Ila vichaa hawatoacha kwenda kumchangia mpaka anunue Ndege yake bunafsi
 
Kekundu Kekundu Kekundu Kekundu

Wajinga ndio waliwao....

Kuna mama aliniambia anifungulie kanisa tupige pesa za masikini nikagoma...
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Mkuu umekereka hatari....hii ndo JF usikereke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…