Mtume Wenu Mwamposa afanya 'Promotion' ya Hotel yake ya Mkoani Mbeya katikati ya Ibada Tanganyika Packers Kawe leo

Watu walisharogwa-brainwashed na walishakubali kuwa ni wajinga acha tapeli Mwamposa awakande mchana kweupe.
 
Unaweza kukuta?unamuuzia mgonjwa mafuta ya upako halafu unaenda kumpa mgonjwa mwingine hera?kwanza tuachane na hayo Yesu hakuwahi kuuza bidhaa yoyote ile ili amponye mgonjwa,hao ni wapigaji tu
Wewe wasema...
 
Unaweza kukuta?unamuuzia mgonjwa mafuta ya upako halafu unaenda kumpa mgonjwa mwingine hera?kwanza tuachane na hayo Yesu hakuwahi kuuza bidhaa yoyote ile ili amponye mgonjwa,hao ni wapigaji tu
dukani yale maji unanunua shilingi ngapi?.....kwa kanisa yale maji yapo kanisani kwa ajili ya wale ambao walisahau kununua wananunulia pale, wewe nenda na maji yako watayaombea alafu utayatumia. Dhana ya kusema watu wanauziwa maji ni dhana ya watu wasiojitambua tu.......dukani yanauzwa buku pale yanauzwa buku...pale kinachotolewa na ukombozi tu, maji nenda nayo hata kama ni ya chooni watayaombea utayatumia na utapona tu 😀
 
Umetisha sana
 
Hivi huwa unamsikiliza kwa nia ya kuupata ujumbe wa uzima wa milele anaohubiri au unamfatlia ili kuikosoa huduma yake? Hii ni mara ya pili naona unaleta nyuzi za kukukera kuhusu huyu mtume wa waja.
Mwamposa hajawahi kuhubiri kuhusu uzima wa milele,mwamposa ibada zake ni juu ya utajirisho,umaarufu na mafanikio.
 
Sipni shida kupromote kwenye vyanzo vyake vya mapato.
 
Wivu Tuu LIONE
 

Mkuu makanisa yote ya kikristo yanaendeshwa kwa michango, shukran, faini, sadaka na zaka za waumini!

The common denominator ni waumini kukamuliwa! Wanufaika wakiwa wote ni wachungaji, mapadre, makasisi, wainjilisti na maaskofu!
 
Piga mahubili, na fanya biashara, hakuna ubaya, ametengeneza ajira, ni somo zuri kwa waumin wake, wajue kwamba Mungu anabariki kazi ya mikono yako, haiwezekani na itakuwa ni matusi makubwa, una uwezo na talent ya kuwa mfanyabiashara,na una uwezo wa kuhubili, harafu uache kutengeneza pesa kwa talanta alizokupa Mungu!
Anachofanya Mwamposa ni somo kubwa kwa waumini wake, waache kuwa kama mazombi, kushinda kanisani saa 8!, wakatafute pesa,wakati wao wamefunga biashara zao wapo kanisani, Pastor wao, yeye anapiga pesa kupitia kwenye hotel yake.
 
huyo nabii wa uongo endeleeni kumpa sadaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…