Hatari sana mkuu ππππOhoooπππ
Wewe nimeshakuambia ukiniacha ninunulie na jeneza maanake nitakufa hapo hapo.Sisi wa JF ndo tuliisha jibu huko huko X na tukayaacha huko, unataka nini tena?πππ
Sa itakuwaje?Hatari sana mkuu ππππ
π€£π€Hao ni watu wanajichatisha SIM 1 kwa SIM 2 kisha wanascreenshot na kuweka mtandaoni, ili tu waonekane wana wapenzi kumbe wapo hoi wanaigiza maisha kujifariji.
Kaka mwez wa 12 Mungu atupe uhaiMkuu.. send-off tayar?
Ww kupenda sio tatizo, tatizo huwa je mwenzako anakupenda? Hapo ndio matatizo yote yalipoNampenda sana, siwezi kumletea michezo ya kijinga.
Inawezekana ni kweli, huwa inategemea na hali ya aliyeanza kusema tuachane. Wale wa mkono mtupu huwa hata hawajibiwiHao ni watu wanajichatisha SIM 1 kwa SIM 2 kisha wanascreenshot na kuweka mtandaoni, ili tu waonekane wana wapenzi kumbe wapo hoi wanaigiza maisha kujifariji.
Hapa ni kutafuta tu pisi nyingine Used .... π₯Έ π₯Έ,Sa itakuwaje?
Nyinyi mashangazi huwa mnafanyaje βΊοΈβΊοΈMichezo ya Watoto wa afumbili...
Huyo kakutosa haraka huenda alikuwa anatafuta sababu tuHapa ni kutafuta tu pisi nyingine Used .... π₯Έ π₯Έ,
Ni wazi ulimpiga chini?, au ulikuwa unamtafutia sababu?hz mambo alinifanyie yule dem kilichomkuta anajutia mpaka kesho