Mtumie mpenzi wako text hii "it's over me and you " halafu screenshot tuone majibu yake

Mtumie mpenzi wako text hii "it's over me and you " halafu screenshot tuone majibu yake

Unaweza kutuma hivyo ukashangaa unajibiwa "bora umejiongeza nilikuwa natafakari tutaachana vipi, haya mahusiano mema" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ukaanza kubembeleza ๐Ÿ˜‚
Ukiangalia hizo screenshot, kuna moja mwanamke kalipokea kwa furaha kama unavyoeleza, nadhani alikuwa kishachoka.

Kuna demu mmoja ana matusi huyo, anataka kitu, agongwe kwanza ndiyo wavunje relation, ni mhuni af mbabe.

Wengine wote waliobaki ni mwendo wa kulilia love tu, ingawa screen shot zimejirudia rudia sana lakini zimeonesha asilimia kubwa wameguswa na kutia akili.
 
Not Me, Me No
1729004182283.jpg
 
Ukiangalia hizo screenshot, kuna moja mwanamke kalipokea kwa furaha kama unavyoeleza, nadhani alikuwa kishachoka.

Kuna demu mmoja ana matusi huyo, anataka kitu ndiyo wavunje relation, ni mhuni af mbabe.

Wengine wote ni mwendo wa kulilia love, ingawa zimejirudia rudia.
Kama mahusiano yako hayana afya sishauri vijana wafanye hivyo๐Ÿ˜‚
 
I'd love for you to give it a go, but I just want to say that it might not be for everyone!
 
Back
Top Bottom