Vip wale walio hubiri uchomaji makanisa, na wakatekeleza??
Yule wa Morogoro aliyesema Yesu si Mungu mahakama ilimwachia. Nadhani na huyu naye itakuwa ivo ivo!![
/QUOTE]
Kwa Mkristo,ukisema Yesu siyo Mungu inakua umeudharau Ukristo. Kwa Uislam ukisema Issa Bin Mariam ni Mungu unakua umekufuru kadri ya Usilam unavyofundisha,kama ambavyo ukisema Ibrahim,Mussa,Muhamad,wote ni Wajumbe wa Mungu kwa ajili ya kutoa mahubiri ya kumjua Mungu,ila hawakuwa Miungu bali ni Messengers tu. Lakini hakua Muislam anayeweza kuchana Kitabu cha dini nyongine. Ili mradi jina au neno Mungu limo kitabuni,hairuhusiwi kuchana au kunajisi kitabu cha iman nyingine. Msimamo wa Uislam uko hivyo,ila kimitazamo hoja hiyo kila dini inachukulia ni sawa kwake.
Ila kuchana kitabu,Big Noo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna masihara mkuu, nimeuliza vikizeeka huwa mnavifanyaje? Nani huwa anavichapa?We chukulia tu masihara,icho kitendo alichokifanya ni cha uvunjifu wa amani katika jamii ya kilosa
Ujinga mtupu yaani kuna kitabu kisichochanwa duniani ? huwezi mzuia mtu kufanya atakalo jamani tubadilike
Ni kosa la kijinga sana hilo amefanya,kwa hio hata wakimsimamisha kazi ni sawa tu maana mtumishi wa umma akiwa mjinga hivo ni tatizo kubwaWamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
Hua kuna utaratibu wake,mfano kuna vile vipande vipande inatakiwa unachimbia shimo kisha unafukia,iyo yote ni kuondoa kule kupeperuka kwake ambapo vitaelekea sehemu ambapo hapastaili mfano kama chooni ndio maana wanafanya ivyoHakuna masihara mkuu, nimeuliza vikizeeka huwa mnavifanyaje? Nani huwa anavichapa?
Amesema, Hiyo kuran sio kitu chochote kwake na kama huyo mungu wenu ana uwezo wowote, ampasue basi hata jicho moja. I think he has a point there. Kwa nini tumtetee muumba?? Si alimuumba pia huyu kichaa?? Kwa nini basi asimpasue hata jicho moja tujue kuwa HACHEZEWI?Si angechoma biblia
Kimewakuta Nini ,maana kinachohusiana na diniUliza China kilichowakuta
Ndio dini yake haki inavyoelekezaNashangaa sn hadi sasa sijakia mazishi ya huyo kijana yanafanyika lini,waislam wa kilosa mnakwama wapi?yn hadi polisi wanakuja kijana bado yupo hai tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu anaefanya alitakalo kuna sheria zinatuzuia kufanya lolote tulitakalo.Ujinga mtupu yaani kuna kitabu kisichochanwa duniani ? huwezi mzuia mtu kufanya atakalo jamani tubadilike
Kitu cha kujifunza ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu jamaa!Kuna kitu cha kujifunza
Siyo sababu kufanya uhalifu.THIS PERSON IS HALF MIND...OR DRUNKER..