Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Kitu cha kujifunza ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu jamaa!
Hata wewe umeumbwa na Mungu lakini cha ajabu zaidi Chakula unajitafutia mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nayo ni kauli ya chuki!Wao akina nani?Kitendo hicho kimefanywa na mtu mpuuzi mmoja tu,ambaye ni msomi wa kiwango cha degrii.Elimu wala haijampa ukombozi wowote zaidi ya ajira

Mtu huyo hata ukimpima kwenye ukristo hafai kabisa.

Kitendo cha wewe kuanza kuwajumuisha watu wengine kwa kujiapiza iko siku ni kuonesha huna tofauti na huyo aliyechana kitabu cha imani yako.

Binafsi nalaani sana kitendo hicho cha kishenzi na anastahili kuadhibiwa.
dunian sijawah sikia mwislamu kachana bible ila wao dah ipo cku

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo tu cha yeye kuwekwa mahabusu hadi kesi itakapokuja kusomwa iyo tarehe 20 ameshapoteza sifa ya kuwa mtumishi wa Umma,
 
Oooooh My god!! amechana heshima yake na amechana karatasi yenye maandishiya Qurani...Hyo ni Provocation isiyo na tija !! QURAAN ipo ndani ya mioyo ya Waumini na haitoweza kunyakuliwa au kuchanwa !! Tunapo hifadhi Quraan tunaiweka kifuani na kuitumikia.....Waisalm tuwe wavumilivu na tuondoe jazba !!
Uhuni huu wa uchokozi haukuanza leo.... walishindwa wengi miaka 1441 iliyopita
Tumemsamehe aalipwa na mwenye msahafu.

[emoji173]️[emoji173]️[emoji173]️[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo.

RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha Juzuu Amma ambacho ni sehemu ya Quran Tukufu.

“Maleki ni Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, alionekana akichana na kuchoma kitabu hicho Kitakatifu cha dini ya Kiislamu, kitendo ambacho kiliwakasirisha Waumini wa dini hiyo na wananchi waliokuwa maeneo hayo na kuamua kutoa taarifa kwa Polisi” RPC Mutafungwa.

Muheshimiwa Jafo amesema, Mtumishi huyo yuko chini ya ofisi ya Rais na jambo alilofanya halileti afya kwa jamii. Muheshimiwa Jafo amemtaka mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilosa kumsimamisha kazi mtumishi huyo pia afanye uchunguzi na kamati au mamlaka yake ya nidhamu iweze kuchukua hatua kadiri atakavyoona inafaa mara baada ya uchunguzi huo

Walio na akili wanajuwa nini kinaendelea wasio na jicho la tatu wanaelewa kile wamekielewa pasipo tafasiri.
 
Huyo jamaa ni kwa nini hajavaa viatu?
Afrika wanaishi manyani mkuu! Hao polisy kule CCcP moshi huwa wanasoma/fundishwa sana mambo ya haki za binadamu pamoja na haki za mtuhumiwa ila hapo utakuta wamempiga sana tu na kumvua viatu!Yaani ni kama mang'ombe fulani hivi ambayo hayana nyuma wala mbele!
 
Kitendo tu cha yeye kuwekwa mahabusu hadi kesi itakapokuja kusomwa iyo tarehe 20 ameshapoteza sifa ya kuwa mtumishi wa Umma,
Nani amesema ikiwa hivyo anakua ameshapoteza sifa hizo?

dodge
 
Kitu cha kujifunza hapa ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu mwenye uwezo wote na nguvu zote? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu mwenyewe!
 
Back
Top Bottom