Acha kupayuka wewe mjaHiyo quran aliichania kwenye eneo la kazi kiasi huyo waziri aingilie kati au kafanya hivyo kisa ni muislamu?
Siku hizi dish likiyumba unachana quran au sio mbn hakunywa sumu kama dish limeyumba
Jaribu na weweNilikuwa nasikia ukichana hio unakuwa chizi, kumbe fix tu!
Sina sababuJaribu na wewe
Subiri! Maumivu ya kichwa huanza pole pole amesimamishwa kazi baadae stress, baadae Dish kamili linacheza!!!Nilikuwa nasikia ukichana hio unakuwa chizi, kumbe fix tu!
Corona haijaanza leo kutokea china, mataahira wengi huhusisha corona na mambo ya kijinga ila ukweli ni kua sio mara ya kwanza kutokea.Uliza China kilichowakuta
Aliempeleka Mahakaman hadi kunyimwa dhamana sio JAFFU
Hata hivyo hajafukuzwa, kasimamishwa
Atapewa barua ya makosa yake na mnaweza kumsaidia kujibu hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Shusha munkari sheikh kosa lake ni lipi?Acha kupayuka wewe mja
Kosa hata ulitendee chooni bado nikosa tu
Jafo yukonsawa 200%
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooooh My god!! amechana heshima yake na amechana karatasi yenye maandishiya Qurani...Hyo ni Provocation isiyo na tija !! QURAAN ipo ndani ya mioyo ya Waumini na haitoweza kunyakuliwa au kuchanwa !! Tunapo hifadhi Quraan tunaiweka kifuani na kuitumikia.....Waisalm tuwe wavumilivu na tuondoe jazba !!
Uhuni huu wa uchokozi haukuanza leo.... walishindwa wengi miaka 1441 iliyopita
Tumemsamehe aalipwa na mwenye msahafu.
Uliza China kilichowakuta
Chanzo chake walichana kitabu tukufu
Unajua sifa na qualifications za kuwa mtumishi wa uma kwanza, ujifunze kuConnect dot.Do you know the reason behind the whole saga? Kuchoma kohorani na kusimamishwa kazi vinahusianaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hilo pigia mstari
Unajua sifa na qualifications za kuwa mtumishi wa uma kwanza, ujifunze kuConnect dot.
Portfolio | 2020
Kwa usalama wake bora wamuhamishe huko aliko na tusijue yupo wapi.watu kama hawa wanapaswa kushughulikiwa kwa kunyongwaHivi hapo kuna sheria yoyote ya kazi aliyokiuka. Mimi nadhani kukamatwa ni sawa ila kusimamishwa kazi inahusianaje na hilo tukio. Lazima viongozi wetu wawe wanaangliq sheriq zaidi badala ya utashi wao binafsi