Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Wakristo akili zenu zinawatosha wenyewe. Mnakanyagana na kuuana kama ng'ombe kisa mafuta. Kufungwa huyu aliechana Qur'an imewauma zaidi kuliko yule alisababisha vifo vya watu kuachiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kukanyagana huwa kuna watu kila mwaka wanauana kwa kukanyagana wakimpiga mawe shetani nadhani Hawa ndio mang'ombe zaidi ya wale wamama wa moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mnavyosema Mungu kujitetea mnakusudia kulinda haki yake au status yake,sasa kuchanwa kwa karatasi yenye maandishi ya Qur'an je ni haki gani au status ambayo unaona Mungu wa waislamu ameshindwa kuilinda?
Ainuke ampige mwenyewe. Mwanadamu hawezi tenda haki hata siku moja.
 
UHURU JR,

Huwezi jilinganisha kielimu kati ya Waislam na wakristo Duniani utachekwa. Waislamu wanakurupuka ona waziri mzima anakurupuka hajui job description hata wewe mwenyewe umekurupuka ndio maana ulichojibu sikishangai ni kwasababu ya dini yako ilivyokufunza.

Mfano wa elimu linganisha tu shule za kikristo na kiislamu zipi zinafaulisha.

Pia jilinganishe tu hata wewe ulivyo unadhani una akili sawasawa?.

Nachoelewa mimi serikali haifungamani na imani yeyote. Kubali tu waziri amechemka
 
Waislam na dini yao huwa wanashangaza

Kuna mitahira ya kiislam eti inadai jamaa alipaswa ashushiwe jambia kichwani au auawe

Kisa maandishi ya waarabu waliokufa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app

Japo yule jamaa alilewa lakini alipiga dongo kali sana kwamba akichana hakuna mtume wala allah atakae mfanya chochote. Ni kweli ndio maana mihemko imetokea badala ya kuacha mungu wenu mwenyewe ajipiganie ninyi mbamsaidia mpaka kumfukuza kazi.
 
Kazini yuko salama hajavunja kifungu chochote, ila kama mtanzania, amevinja kifungu kwa kuhatarisha amani ya nchi, ambayo ni mbaya zaidi afadhali angeviunja kifungu cha kazi
Kwanini sasa amesimamishwa kazi?
 
Kwanini zinachomwa unavyodhani ?
Kwa sababu ya chuki za kidini walizonazo na wala hata haimstui mtu hata wakichoma millions of millions ya hizo bendera.

Ninyi jamaa kachoma makaratasi yenye maandishi ya kiarabu yaliyochapwa na printer ya mchina au mzungu (kafiri) kwa karatasi zilizoundwa na mashine za mzungu kinachowauma ni nini likichanwa?
 
Yule wa Morogoro aliyesema Yesu si Mungu mahakama ilimwachia huru. Nadhani na huyu naye itakuwa ivo ivo!!
Yule alichana biblia?,Kitabu anachofuata ndicho kinachombia Yesu si mungu,Je huyu jamaa mafundisho ya kuchana ameyapata huko katika biblia?....
 
Mwenye Quran yake katulia tuliiii ilipochanwa , wewe sheikh ubwabwa kelele za nini ?
Hao masheikh ubwabwa lazima wapige kelele maana ndiyo wenye kutumia hicho kitabu kinawahusu,na nimekwambia kwenye hicho kitabu hakisemi tu Qur'an ndiyo ya Mungu bali kumeeleza vingi tu kuwa ni vya Mungu.
 
Nani kalinganisha mkuu mie nazungumzia kinachotokea kwenye maisha halisi huku ambako watu wenye elimu wanapuliziwa dawa ya mbu makanisani,wananyweshwa Jik,wanauziwa chupi zenye picha ya manabii,wanagombea kukanyaga mafuta hadi kusababisha vifo.

Kuna vitu hata waislamu ambao ndio hawana elimu ila huwezi kuwaburuza kiasi hicho.
 

Kuna mambo mengi katika imani ya kiislamu yanafanyika hatusemi tu.
Alafu nahisi unayajua sana. Kasome suratul 2:229-231 inayoruhusu wanawake kuingiliwa nyuma. Hayo yanafanyika sana kuanzia kwenye madrasa. Ndio maana mashoga wengi sana ni waislam. Lakini uislamu ni dini ya kishirikina angalia waganga wa kienyeji wanapotangaza wanaweka kitabu hicho chenu
 
Hata haueleweki mara mashoga wengi waislamu mara uislamu ni dini ya kishirikina,mimi sipo hapa kwa ajiri ya kashfa za dini. Mie naeleza kitu ambacho ni cha kweli kipo wazi kila mtu anaona na si kashfa au kuongelea vibaya ukristo hata wakristo wenyewe huyaongelea.
 
Kwanini sasa amesimamishwa kazi?
Ukishafanya jinai yoyote na ukawa uko liable kushtakiwa, lazima usimame kazi. Kinachomsimamisha kazi ni kosa la jinai alilofanya, lakini kazini hana hatia, yaani hajafanya kosa ofisini. Kigumu kueleweka katika maelezo haya yote ni nini?
 
Hao masheikh ubwabwa lazima wapige kelele maana ndiyo wenye kutumia hicho kitabu kinawahusu,na nimekwambia kwenye hicho kitabu hakisemi tu Qur'an ndiyo ya Mungu bali kumeeleza vingi tu kuwa ni vya Mungu.
Mwenye kitabu chake katulia wewe mtumiaji kelele za nini ? QURAN inajisemea yenyewe kuwa ni ya Mungu , hivyo vyengine unavisemea wewe
 
Mwenye kitabu chake katulia wewe mtumiaji kelele za nini ? QURAN inajisemea yenyewe kuwa ni ya Mungu , hivyo vyengine unavisemea wewe
Unajua hata sioni point yako iko wapi maana hakuna nilipobisha kuwa Qur'an ni ya Mungu,sasa kama utaniambia hatutakiwi kuipigia kelele basi hoja hiyo itumike kwa vitu vyengine tunavyotumia ambavyo hiyohiyo inasema Mungu kaviumba navyo tusivipigie kelele.
 
Kama QURAN ni ya Mungu ilipochanwa kachukua hatua gani ? iweje mpambe awe na nguvu kuliko mwenye mali ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…