Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Nani kakwambia ni ya Mungu wakati makaratasi yamechapishwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sema huelewi sababu umekaririshwa na ilmu ya madras..[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome sura ya ushoga na walatigo suratul 2:229-231. Wacha kelele kelele hapa [emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja Quran siyo ya Mungu. Nipe ushahidi alisema nani, aliandika nani na ilichapishwa na nani. Pia, mlete Allah kutoa ushahidi kwenye BBC kwamba maneno yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Imeingia hiyo.
 
Kama QURAN ni ya Mungu ilipochanwa kachukua hatua gani ? iweje mpambe awe na nguvu kuliko mwenye mali ?
Qur'an ni yale maneno hivyo kilichochanwa ni zile karatasi zenye hayo maneno, na hayo maneno(Qur'an) kuwa kwenye hizo karatasi ni kazi ya waislamu mwenye. Nafikiri ungekuwa na hoja mkuu kama ishu ingekuwa ni kuiharibu Qur'an hapo ndipo hoja yako ingekuwa na mashiko maana mwenyewe Mungu ameeleza kuwa atailinda Qur'an.
 
Hoja Quran siyo ya Mungu. Nipe ushahidi alisema nani, aliandika nani na ilichapishwa na nani. Pia, mlete Allah kutoa ushahidi kwenye BBC kwamba maneno yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huyo Allah unamjua alivyo ili hata akiletwa uweze kutambua kuwa ndiye yeye na si mwengine?
 
Iwe kwenye magome au makaratasi itabaki kuwa QURAN ya Mungu , swali ilipochanwa huyo Mungu kachukua hatua gani ? maana wapambe mnalia sana kuliko mwenye mali
 
Qur'an ni maneno sasa unachana vp?
Muandika thread katupotosha , kumbe ni karatasi ndio imechanwa yeye anasema QURAN, wapuuzi polisi wanamkamataje mtu kwa kuchana kakaratasi kakufungia maandazi !!!
 
Muandika thread katupotosha , kumbe ni karatasi ndio imechanwa yeye anasema QURAN, wapuuzi polisi wanamkamataje mtu kwa kuchana kakaratasi kakufungia maandazi !!!
Kwani Qur'an ni nini mkuu? Maana isije ikawa tunabishana kumbe hiyo Qur'an yenyewe hata hujui ni kitu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…