Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Ujinga mzigo.pole mgalatia
 
Tunaaminishwa kwamba watu wanaomuabudu Mungu ni wenye kutakiana msamaha na husamehe wengine....

Mbona kwenye hili povu limekuwa jingi na hamuonyeshi hiyo attitude zaidi ya kuonyesha roho mbaya na visasi....?
 
Unaziona makanisani kwa wazungu! Umeziona katika maandiko ya biblia? Lakini sisi tumeona mpaka Mtume wenu Muddy ameandikwa kuwadanda vitoto vya miaka 9 na waarabu kupenda tigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu lazima kiandikwe kwenye biblia isingewezekana kila kitu kiandikwe hata wenyewe mnasema hivyo na ndiyo kuna mambo mengi sana yanafanywa na wakristo na hayapo kwenye biblia,halafu wazungu sio wakristo wale? Basi tungeona wazungu waislamu nao wakifanya hivyo misikitini ila hatuoni hivyo.
 
Tunaaminishwa kwamba watu wanaomuabudu Mungu ni wenye kutakiana msamaha na husamehe wengine....

Mbona kwenye hili povu limekuwa jingi na hamuonyeshi hiyo attitude zaidi ya kuonyesha roho mbaya na visasi....?
Maisha hayawezi kwenda kwa misamaha tu lazima na adhabu iwepo kwahiyo kila kitu kina nafasi yake.
 
Thamani ya kitu huwa tunakipa wenyewe na ndiyo maana pesa za zamani hazitumiki tumeziondoa thamani,pesa tunalazimishwa kuziheshimu hata kama unaona hazina thamani kwako ila ukichana unakuwa umefanya kosa kisheria. Hivyo ungekuwa kwenye nchi ambayo sheria zake zinakataza kuchana Qur'an basi pia ukichana haitaangaliwa kuwa unachukuliaje Qur'an kwamba ina thamani kwako au haina kitakachoangaliwa ni uvunjaji wa sheria uliyoufanya kama ilivyo kwa pesa.

Jana tu nilikuwa naangalia video za mapolisi wazungu wa marekani wakiwafanyia ukatili raia weusi huko marekani,hivyo ukatili ni tabia ya mtu tu sidhani kama wale ni waislamu.
 
Maisha hayawezi kwenda kwa misamaha tu lazima na adhabu iwepo kwahiyo kila kitu kina nafasi yake.
Wewe umepewa na nani mamlaka ya kimuadhibu?, utaadhibu wangapi?
 
Ukishafanya jinai yoyote na ukawa uko liable kushtakiwa, lazima usimame kazi. Kinachomsimamisha kazi ni kosa la jinai alilofanya, lakini kazini hana hatia, yaani hajafanya kosa ofisini. Kigumu kueleweka katika maelezo haya yote ni nini?
kifungu namba ngapi cha sheria za kazi kinatamka hayo au umetoka nayo nyumbani kwako?
 
Umenena kweli .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…