Unaona ujinga wenu? Kufukuzwa Kwake ni lazima na Magu alifanya vema. Kosa alilolifanya ni kuchana kitabu cha mtu mwingine, siyo kuchana Quran! Nyiye mnaokariri hamuelewi kutokana na ilimu ya madrasa. Hakuna kosa kuchana karatasi, ila kosa ni kuchana karatasi za mmiliki mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atarudishwa kazini huyu bwanaHaya sasa boss kamaliza kazi akafie mbele, Ashinde kesi au asishinde akatafute shamba la kulima. JPM kaisha maliza ubishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ikitokea mapigano ya kidini baina ya pande mbili za dini tofauti,serikali isiingilie kati kwa sababu serikali haifungamani na dini yoyote? Muwe mnatumia hakili kufikiriaKwanini iwe sahivi wakati Serikali haina dini?? Na kuchana kwake hicho kitabu kuna uhusiano gani na kazi yake??
#Bagwell
Huwezi kulinganisha watu wanaokanyagana makka na hao wanaokanyagana kisa mafuta ya nabii feki. Pure nonesense
Sent using Jamii Forums mobile app
Bosi katafuta kiki tu hapo..... uungwaji mkono.Haya sasa boss kamaliza kazi akafie mbele, Ashinde kesi au asishinde akatafute shamba la kulima. JPM kaisha maliza ubishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu lazima kiandikwe kwenye biblia isingewezekana kila kitu kiandikwe hata wenyewe mnasema hivyo na ndiyo kuna mambo mengi sana yanafanywa na wakristo na hayapo kwenye biblia,halafu wazungu sio wakristo wale? Basi tungeona wazungu waislamu nao wakifanya hivyo misikitini ila hatuoni hivyo.Unaziona makanisani kwa wazungu! Umeziona katika maandiko ya biblia? Lakini sisi tumeona mpaka Mtume wenu Muddy ameandikwa kuwadanda vitoto vya miaka 9 na waarabu kupenda tigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha hayawezi kwenda kwa misamaha tu lazima na adhabu iwepo kwahiyo kila kitu kina nafasi yake.Tunaaminishwa kwamba watu wanaomuabudu Mungu ni wenye kutakiana msamaha na husamehe wengine....
Mbona kwenye hili povu limekuwa jingi na hamuonyeshi hiyo attitude zaidi ya kuonyesha roho mbaya na visasi....?
Thamani ya kitu huwa tunakipa wenyewe na ndiyo maana pesa za zamani hazitumiki tumeziondoa thamani,pesa tunalazimishwa kuziheshimu hata kama unaona hazina thamani kwako ila ukichana unakuwa umefanya kosa kisheria. Hivyo ungekuwa kwenye nchi ambayo sheria zake zinakataza kuchana Qur'an basi pia ukichana haitaangaliwa kuwa unachukuliaje Qur'an kwamba ina thamani kwako au haina kitakachoangaliwa ni uvunjaji wa sheria uliyoufanya kama ilivyo kwa pesa.Wote tunajua pesa ni karatasi na ina thamani! Quran ina thamani kwetu au kwako? Kwetu sisi ni karatasi za maneno yakiarabu, kwisha! Kaka Quran haina thamani yeyote kwa wasio waislamu! Tunawaeshimu tu, sema dini yenu na nyinyi makatili wahed!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajalewa na hajachanganyikiwa, katumwa. Aliyemtuma kafanikiwa
Wewe umepewa na nani mamlaka ya kimuadhibu?, utaadhibu wangapi?Maisha hayawezi kwenda kwa misamaha tu lazima na adhabu iwepo kwahiyo kila kitu kina nafasi yake.
Mie nimesema kuwa lazima kuwe na adhabu na misamaha vyote vinahitajika kwa nafasi yake.Wewe umepewa na nani mamlaka ya kimuadhibu?, utaadhibu wangapi?
kifungu namba ngapi cha sheria za kazi kinatamka hayo au umetoka nayo nyumbani kwako?Ukishafanya jinai yoyote na ukawa uko liable kushtakiwa, lazima usimame kazi. Kinachomsimamisha kazi ni kosa la jinai alilofanya, lakini kazini hana hatia, yaani hajafanya kosa ofisini. Kigumu kueleweka katika maelezo haya yote ni nini?
Amepata wa kumuadhibu, amekosa wa kumsameheMie nimesema kuwa lazima kuwe na adhabu na misamaha vyote vinahitajika kwa nafasi yake.
Nani mwenye mamlaka wa kusamehe?Amepata wa kumuadhibu, amekosa wa kumsamehe
Binadamu mwwnye strong moral ethicsNani mwenye mamlaka wa kusamehe?
Uko sahihi.Na kukojolea je? Wengine hawajua quran ni nini, wanaweza chukua karatasi polini wakajipangusa baada kujisaidia polini, utawafanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna kitu hatari kama kuchezea au kukejeli imani za watu wengine.
haitoshi tu kufukuzwa kazi bali pia akikutikana na hatia afungwe gerezani ili iwe fundisho kwa wenye tabia za kudhihaki imani za wengine.
pia niwapongeze waislaam wa eneo hilo kwa kuonyesha subira na uvumilivu bila kuchukua hatua mkononi hakika mmeonyesha ukomavu sana !
Sent using Jamii Forums mobile app
Na amepewa na nani hayo mamlaka?Binadamu mwwnye strong moral ethics