inaruhusu kuua mtu kama huyu anaeidhihaki dini ya mwenzake.Dini inaruhusu kuua?
Huyo mtumishi amevunja kifungu kipi cha sheria za kazi? Unaweza kututajia hicho kifungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
msihangaike nae huyu mtu wamwachie hata leo mtaani tutamuhukum haki yake iliyo sahihi kuliko hao polisi.machafuko yanaweza kuanza kidogo ndani ya nchi kama tabia kama hizi zikiachwa bila kuchukuliwa hatuaKichaa anacho mamako. Nakuambia unitajie kifungu cha sheria za kazi kilichovunjwa unatukana? Mbwa koko wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuni kama huo hiyo ndiyo stahili yake.
Maana ni kosa la jinai,kwa hiyo ukiwa na kesi mahakamani taratibu za kazi ni lazima usimamishwe kazi.
Mimi ni mkristo ila hizo ni tabia za kipagani hazikubaliki
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sahihi..utachanaje kitabu kitakatifu cha Mungu?tuheshimu imani za watu
Kama kakosea mbona wale waliotamka mwenzao auwawe hawakamatwi na kufichwa mahabusu kwakukosa maadili dhidi ya binadamu mwenzao.Serikali imemficha Mahabusu hadi tarehe 20 Feb, kukwepa Mkono wa Umma!
Waziri yupo sahihi kunsimamisha kwa kosa la uchochezi na kukosa Maadili
Mtumishi wa namna yake hawezo kuwa Muadilifu hasa ikitokea anapaswa kumpa haki Muislam dhidi ya asie Muislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ghadhabu tu! Ila tumeusiwa kukatazana mabaya na kuamrishana mema.
ilikuwa haina haja kunfunga .ila kumuelimisha .hata vitabu vyote vya quraan ukivichana bado imehifadhiwa kwenye vifua bus waumini. AlhamdulillahMtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo.
RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha Juzuu Amma ambacho ni sehemu ya Quran Tukufu.
“Maleki ni Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, alionekana akichana na kuchoma kitabu hicho Kitakatifu cha dini ya Kiislamu, kitendo ambacho kiliwakasirisha Waumini wa dini hiyo na wananchi waliokuwa maeneo hayo na kuamua kutoa taarifa kwa Polisi” RPC Mutafungwa.
Muheshimiwa Jafo amesema, Mtumishi huyo yuko chini ya ofisi ya Rais na jambo alilofanya halileti afya kwa jamii. Muheshimiwa Jafo amemtaka mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilosa kumsimamisha kazi mtumishi huyo pia afanye uchunguzi na kamati au mamlaka yake ya nidhamu iweze kuchukua hatua kadiri atakavyoona inafaa mara baada ya uchunguzi huo
1. Swala la kuwekwa ndani ni kwa ajili ya usalama wake.ilikuwa haina haja kunfunga .ila kumuelimisha .hata vitabu vyote vya quraan ukivichana bado imehifadhiwa kwenye vifua bus waumini. Alhamdulillah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulikuwa hufahamu kuwa hilo ni kosa fanya na wewe ujifunze kwa vitendo. Si kosa tu ni UPUMBAVU na hauungwi mkono hata na wasio wa imani yake.Wamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
Kwa usalama wake bora wamuhamishe huko aliko na tusijue yupo wapi.watu kama hawa wanapaswa kushughulikiwa kwa kunyongwa
Tuwekee kifungu cha sheria kinachoonyesha hayo aliyotenda ni kosa la jinai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia vyema kanuni za maadili ya utumishi wa umma kama unajua kusoma.Hii ni mihemko isiyokuwa na maana ktk utumishi wa umma. Amemsimamisha kazi kwa kutumia kifungu kipi cha sheria za kazi? Kuna mahali pameandikwa kuwa mtumishi wa umma akichana kohorani asimamishwe kazi? Aache hizo. Analogia Malenga,
Sent using Jamii Forums mobile app