Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Watanzania tujifunze kuchangia mada bila kutumia mihemko wala jazba. Endapo tukikuta kuna utata sehemu basi tusiwe watu wa kumsemea muhusika na badala yake tuchangie kwa busara.

Sheria za Tanzania ziko wazi dhidi ya mtu yeyote anaefanya kitendo cha kufedhehesha au kuharibu mali/ kufedhehesha au kuchafua imani za wengine. Hivyo ni bora kuangalia sheria za nchi zinasemaje na sio kupayuka tu, mwisho wa siku unachangia ujinga na kujiona shujaa kumbe unajidharaulisha kwa kuchangia pumba.

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
[emoji377]
 
ziloi,
Mkuu tatizo watu wa dini sio wote linapokuja swala kama hili utanguliza ushabiki kuliko uhalisia.
 
Kichaa anacho mamako. Nakuambia unitajie kifungu cha sheria za kazi kilichovunjwa unatukana? Mbwa koko wewe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
msihangaike nae huyu mtu wamwachie hata leo mtaani tutamuhukum haki yake iliyo sahihi kuliko hao polisi.machafuko yanaweza kuanza kidogo ndani ya nchi kama tabia kama hizi zikiachwa bila kuchukuliwa hatua
 
Kama ni ile video nilobahatika kuiyona Akichana huku anatemea mate na kukanyaga basi huyo bwana anahaki ya kuwekwa ndani kwanza kwa usalama wake pia na kuwapa ahueni waislam kuona mwenye kosa kapewa Adhabu. kwakweli Hata kama umkristo au huna Mambo ya dini kama mimi ule ujinga huezi ku u support kabisa..
Tuacheni ushabiki tueshimu imani za watu huyo alizidisha mihemko yake ya kupenda ukristo wake hadi kuamua ujinga alofanya..
Anabahati yuko Tz maana angekuwepo huko kwa wenzetu ingetangazwa kesho anachinjwacha dharani
Hahaha anaeza tokea mwarabu mmoja Aseme atakae pata kichwa chake ana $1,000,000
 
Serikali imemficha Mahabusu hadi tarehe 20 Feb, kukwepa Mkono wa Umma!

Waziri yupo sahihi kunsimamisha kwa kosa la uchochezi na kukosa Maadili

Mtumishi wa namna yake hawezo kuwa Muadilifu hasa ikitokea anapaswa kumpa haki Muislam dhidi ya asie Muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kakosea mbona wale waliotamka mwenzao auwawe hawakamatwi na kufichwa mahabusu kwakukosa maadili dhidi ya binadamu mwenzao.
 
Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo.

RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha Juzuu Amma ambacho ni sehemu ya Quran Tukufu.

“Maleki ni Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, alionekana akichana na kuchoma kitabu hicho Kitakatifu cha dini ya Kiislamu, kitendo ambacho kiliwakasirisha Waumini wa dini hiyo na wananchi waliokuwa maeneo hayo na kuamua kutoa taarifa kwa Polisi” RPC Mutafungwa.

Muheshimiwa Jafo amesema, Mtumishi huyo yuko chini ya ofisi ya Rais na jambo alilofanya halileti afya kwa jamii. Muheshimiwa Jafo amemtaka mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilosa kumsimamisha kazi mtumishi huyo pia afanye uchunguzi na kamati au mamlaka yake ya nidhamu iweze kuchukua hatua kadiri atakavyoona inafaa mara baada ya uchunguzi huo

ilikuwa haina haja kunfunga .ila kumuelimisha .hata vitabu vyote vya quraan ukivichana bado imehifadhiwa kwenye vifua bus waumini. Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ilikuwa haina haja kunfunga .ila kumuelimisha .hata vitabu vyote vya quraan ukivichana bado imehifadhiwa kwenye vifua bus waumini. Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Swala la kuwekwa ndani ni kwa ajili ya usalama wake.
2. Sheria za nchi hazikubaliani na kitendo alichokifanya.

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Tuwekee kifungu cha sheria kinachoonyesha hayo aliyotenda ni kosa la jinai.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200207_175155.jpeg


ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Back
Top Bottom