cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,800
hapana kaka, ila si wote ambao huwa wanakuwa wazi kusema hawezi kuendelea na wewe just bcoz una watoto! siwezi kuwakana, siwezi kuwagawa, its either unakubali au unakataa, ndio maana watu waliodivorce wengi anakuwa na mtu wa kumgonga na DILDO zinakuwa zinahusika kwa sana! coz at the end of the u cant expect a .com guy to marry u, just for leisure na kila mtu asepe! ila kwa nchi za wenzetu, naona kama ni tofauti mfano mzuri ni bruce jenner na kris kardashian, alimkuta na watoto wa4 na bado maisha yakaendelea!Nisamehe sana ndugu yangu kama nimekuwa harsh kiasi hicho,
Ila nimeongelea yale ambayo mie nisingependa kumfanyia mtu wala kufanyiwa.
Kuna kosa hapo?
Babu DC!!