Mtungie shairi lenye ubeti mmoja au zaidi mwanadada umpendaye hapa JF

I prefer nisitungiwe shairi kuliko utungiwe ubeti very tasteless afu unalazimika kusema asante kuua soo.

Daadeqi.

Sikubali nakushushua weeeee ujiongeze.

Watasema maneno ya mkosaji but poa tu😛😛
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huyi bwana nitaanza kumfatilia

mbalizi1 anaonekana hajambo.

KWA AJILI YAKO HII..

*Maumivu yasiyokwisha, daima chozi lanidondoka,
*Hata upendo ukiusitisha, kwako katu sitoondoka,
*Yaani hata ukinitisha, siwezi kuogopa,
*Japo napandwa na presha, ninapohisi umenichoka,

*We ndio yangu safina, mwokozi kwenye gharika,
*Bandari salama, NATIA nanga bila shaka,
*Panapo dhahama, mwili wako unanifunika,
*Penzi likienda mrama, naahidi nitawajibika,
 


Hahaaa. Aisee.

Na usiogope mwaya nakupa 'A' yako safi
 
@sweetlee mkubalie mwenzio basi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan umeambiwa umtungie umpendaye ukamtungia sungura [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…