Sababu hazikosekani mkuu, utaona tuKama wasipoelewa kwa mashahiri haya, basi tena hatuna namna ingine
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kichwaaa!!? chaaa........Sio mkia tu labda na kichwa kabisaa
Anza kwanza na yule wa awali[emoji1]Ndiwooooo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Shem nilikwambia hiyo avatar ubadilishe lakini na wewe ni mbishi.Sio mkia tu labda na kichwa kabisaa
Hizo huwa naziita dankiSingle touch double manifestations
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahsante mkuu@sweetle waniliza machozi yasiyo kwisha.
Kila siku nakueleza jinsi unavyo nipagawisha.
Bora uniweke wazi kama mapenzi yamekwisha.
Jf ni social media tu, ukitaka kuipa uhalisia saaaaana itakutesa tuMkuu nikifa kwa presha itakua ndio njia aliyonipangia Mungu.
Duuu mkuu umetisha avatar yako.sweetle waniliza machozi yasiyo kwisha.
Kila siku nakueleza jinsi unavyo nipagawisha.
Bora uniweke wazi kama mapenzi yamekwisha.
Demiss usiamini anacho kiandika, lengo lake ni kupata tunda.Aiseeeeeeeh siamini macho yangu
HahahhahaaaaaaaaaaAnza kwanza na yule wa awali[emoji1]
Vijembe waziwazi napigwa najiona!Demiss usiamini anacho kiandika, lengo lake ni kupata tunda.
Mfungie vioo kabisa, kwanza ni mtu hatari huko kitunda.
Usifanye makosa tena, huyo anachojua ni kudunda,
Karibu kwangu kwenye raha,Kwa huyo utaishia ofisini kwa Makonda.
Sasa watataka nini cha zaidi akati tumeshakuwa hadi Sharu Khan wa jf?Sababu hazikosekani mkuu, utaona tu
Amini amini nimekuimbia wewe!Aiseeeeeeeh siamini macho yangu
Tumia mkuu, vipange kwa mfumo wa shairiKwasisi tusiojua mashairi,tunaweza tukatumia methali na vitendawili?
makonda kitu gani? dawa feki kwa vidondaDemiss usiamini anacho kiandika, lengo lake ni kupata tunda.
Mfungie vioo kabisa, kwanza ni mtu hatari huko kitunda.
Usifanye makosa tena, huyo anachojua ni kudunda,
Karibu kwangu kwenye raha,Kwa huyo utaishia ofisini kwa Makonda.