Mtungie shairi lenye ubeti mmoja au zaidi mwanadada umpendaye hapa JF

Mtungie shairi lenye ubeti mmoja au zaidi mwanadada umpendaye hapa JF

sweetle waniliza machozi yasiyo kwisha.
Kila siku nakueleza jinsi unavyo nipagawisha.
Bora uniweke wazi kama mapenzi yamekwisha.
 
Demiss usiamini anacho kiandika, lengo lake ni kupata tunda.
Mfungie vioo kabisa, kwanza ni mtu hatari huko kitunda.
Usifanye makosa tena, huyo anachojua ni kudunda,
Karibu kwangu kwenye raha,Kwa huyo utaishia ofisini kwa Makonda.
makonda kitu gani? dawa feki kwa vidonda

Kila Siku ubungo maji anafanya kazi kama punda,

Demiss mtoto laini haitaji zako fujo chokochoko na dhoruba,

Usiku ukiingia atalala mororo kwenye lake tumba..

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji53]
 
Back
Top Bottom