MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Alikiba kaingia kwa mbwembwe.......... ameingia amekaa kwenye kiti cha mfalme na nyuma ya hicho kiti kuna bendera ya Tanzania......... ila mavazi kama mganga wa kienyeji
Mi huwa nafurahi tu wakilitangaza taifa letu hayo mengine hata hao wasanii wengine wanaharibu vile vile sema kwa sababu mbongo mwenzetu huwa hatukosi cha kumlaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…