acha uchawiDiamond keshamaliza mziki wake aisee mwakani hatowika tena wizkid atakuwa male act tena mwakani na pia ndiyo artist of the year
perfect!kweli mkuu diamond hawezi kushinda hizi tuzo maana hapa bongo ana kura chache sana nadhani ni wakati wa kujifunza kuweka muziki wake mbali na mapenzi
Hahaaaa Jana sauti ilikua haitoki anaimba ka analia hata RAIA hawakumwelewa. Wasanii wetu wanakuzwa na kick za kiufuska na timu ila uwezo wao bado mdogo kwa kweli wa Nigeria kwa Africa wanaongoza kukubalika sanaKwahiyo jana alipatwa na kiharusi cha Mdomo...
Mkuu kama kitu hujui bola uulize na sio kubisha tu ikiwa ata utoaji wa tuzo haujaangalia, tuzo ya best collaboration imeenda kwa Dj maphorisa, wizkid and dj buckz na hao wote wamepwa tuzo moja moja, sasa we umekazana kubisha tuSi kweli
We are talking about a current issue, ukitaka history nenda makumbushoLakini at least diamond alishawahi kushinda mtv awards, kukosa mwaka huu haiziondoi alizopata mwaka jana tayari ana history yake. Kiba sasa!
Bwah bwah! Tunune wakati mwenzenu hizo tuzo keshawahi kuchukua! Btw, let's keep it this way: "E bhana jana Ali Kiba kapiga bonge la show... show la karne ambalo halijapata kutokea duniani!" Does it change anything? Sana sana ukienda kwa mashabiki wa WizKid watakuambia Starboy kapiga bonge la show! Ukienda kwa mashabiki wa Yemi Alade nao watakuwa Yemi kapiga show la kufa mtu and so on!Mkuu madale mmenuna
Afike mahali aelewe tofauti ya dancer na mwimbaji,live performance sasa hivi ndo habari ya mjiniJana both Diamond na Kiba wamefanya shows,
Vipi tena nini kimemsibu Diamond anatetemeka sauti haitoki anaurukaruka watu wanashindwa kujua nani ni dancer nani muimbaji.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Na ukizingatia walivaa sare utofauti ni lile koti lake la blue yani aliimba kwa kutetemeka hadi huruma
Engage your brain before speaking. Who told he has to be either or? So in your life you ve never seen a singer who also dances? Diamond is a singer and a dancer. Now sit down!Sasa yeye dancer au singer
uko vizuri kwenye kujitetea!!timu mondiiWhy Team Mond? Tangu zamani nimeshakuambia na wala sijawahi kuficha kwamba mimi ni shabiki wa Diamond kwa sababu ni shabiki wa mafanikio relying on facts and figure and I don't give a shit on emotions! Kwa tukio la jana, what I wanted ni kuona tuzo ngapi and not otherwise... statistic and figures manake hata leo hii ukianzishwa mjadala Afrika nani ali-perform vizuri; kila mmoja atakuwa na jibu lake based on emotions lakini ikiulizwa nani kachukua Best Artist wooooooote, jibu ni moja tu!
Diamond kazoeya venue kubwa mbona sasa alikua anatetemeka jukwaani hadi akawa haeleweki?Bwah bwah! Tunune wakati mwenzenu hizo tuzo keshawahi kuchukua! Btw, let's keep it this way: "E bhana jana Ali Kiba kapiga bonge la show... show la karne ambalo halijapata kutokea duniani!" Does it change anything? Sana sana ukienda kwa mashabiki wa WizKid watakuambia Starboy kapiga bonge la show! Ukienda kwa mashabiki wa Yemi Alade nao watakuwa Yemi kapiga show la kufa mtu and so on!
But anyway, I can understand you guys... King HAJAWAHI kupata venue kubwa kama ya jana kwahiyo mna kila sababu ya kujivuna! Kwa mashabiki wa Diamond waliozoea venues kama zile bila kusahau MIJIMITUZO MIKUBWA MIKUBWA kama ile ya Best African Act, Best Act (Worldwide); katu hawawezi kuona suala la performance ni big issue!!!! So, I can understand you guys... si vibaya kujivuna hata kwa kidogo upatacho ingawaje mnaonekana kiroja kushangilia kitu ambacho hakipo!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maneno ya kujiteteaAcheni kujiongopea kuwa sababu ya kukosa eti ni kutokana na timu hakuna kitu kama hicho, kwanza mjue tu kuwa kura si muamuzi wa hizo tuzo (maamuzi ya kura ni 30%) ila majaji ndio wenye uamuzi wa mwisho, kwahiyo hapo timu HAZIJAATHIRI CHOCHOTE NA HAVINA UHUSIANO, ILA UMOJA NI KITU MUHIMU KIUBINADAMU SI KWAAJILI YA TUZO TU,ILA KWA MAISHA KIUJUMLA. KUMBUKENI DIAMOND ALIZICHUKUA HIZI TUZO KUKIWA NA KAMPENI YA "KURA ZOTE KWA WIZKID" NA AKACHUKUA.
Alikiba alivaa koti la suti mlegezoNimeipenda suti ya kiba [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ndio hilo koti la suti,naomba kma kuna mtu anajua yanapopatikana anielekeze jamaniAlikiba alivaa koti la suti mlegezo