MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Lazima umkane; si mmekosa tuzo! Kutokuwepo sio hoja kv hata nyinyi wakati mnabishana tangu ucku, mimi ndo kwanza nilikuwa nilikuwa nakula ujana! Hata kwenye hii thread yenyewe nimekuja kwa mara ya kwanza asubuhi na kukuta watu wapo kwenye sherehe... sherehe ya "mabao mwatufunga lakini chenga twawala!"
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa binamuu!
 
Akili yako inalingana na ule utafiti 1 kati ya wa4 ni CHIZI Au na hiyo Avatar yako, basi tuseme Magufuli ni rais wa awamu ya kwanza au Tanzania hapajawahi kuwa na rais. (maana ukisema paliwahi,basi unaongea historia)
Sasa history inakusaidia nini wewe? Utaendelea kujisifia ooooh zamani nilikua tajiri, wakati huna hata jero mfukon
 
,,usilalie Bahati ya mtu mlango wazi!! Aloperform vizuri anafahamika,,ni basi tuu, ukiwa die-hard fan wa mtu hata black itaiita white!!!tukubalini tuu! Sometimes shits happen u know,aliepanic kapanic alieimba vizuri kaimba vizuri!!!
Hivi alipafom wimbo gani cc sohwa
 
Sasa history inakusaidia nini wewe? Utaendelea kujisifia ooooh zamani nilikua tajiri, wakati huna hata jero mfukon
Wewe vipimo vya akili vinakuhusu, kwahiyo hakuna matajiri wa zamani na hadi sasa bado ni matajiri ....... Maana DIAMOND hizo tuzo ukienda WCB utazikuta, ila wewe ulivyo Zombi umetolea mfano usioendana. Kwahiyo tunasema anazo hizo tuzo na ukienda WCB utazikuta,sio kitu kilichoyeyuka.
 
Nashindwa kuelewa kwanini simkubali diamond siku hizi tofauti na zamani halafu Ali kiba ananivutia kimtindo,
Wakati nilikuwa simpendi zamani.....

Cha ajabu nimekuwa nikimpenda / kumkubali.
{ AYODEJI IBRAHIM BALOGUN } a.k.a wiz kid.
Nashindwa kuelewa kwa kweli, big up kwa wote walio shiriki na kupata na waliokosa uwepo wenu pia umechangia kwa kiasi Fulani.
Diamond
Ali kiba
V.money
Yamoto band
Navy kenzo
 
Hahaaaaaaa jamani mi utimu ushuzi nilishaaucha bora kabisa maana hizi timu kumponda mmoja sijui ndo wanafikiri kumtamfanya mwingine awe juu ka wizkid, bora tu wawe wanakosa na hujuma zifike mwisho na upuuzi wakuenezeana chuki.
 
Waambie hawa wajinga wajinga humu kina matola wanaojiona ma genius!
Kiba aonyeshe yake ya miaka ya nyuma tuone kashinda nini kimataifa zaidi ya yale mabati 7 yenye kutu ya Kilimanjaro awards aliyopigiwa debe na kina wema
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] Mondi bhana...
 
HAYAKUWA 7 YALIKUWA MA5, ANAYESHIKILIA REKODI HIYO YA KUCHUKUA YALE MATAKATAKA NI DIAMOND YEYE NDIO ALIYACHUKUA 7 NA HUWA HAYAHESABII KAMA ALIWAHI KUCHUKUA UCHAFU ULE.
20% alichukua 5 so ni vizuri tukimpanga na Kiba.
 
Kwa hiyo tukusaidie nn????
 
Hahaaaaaaa jamani mi utimu ushuzi nilishaaucha bora kabisa maana hizi timu kumponda mmoja sijui ndo wanafikiri kumtamfanya mwingine awe juu ka wizkid, bora tu wawe wanakosa na hujuma zifike mwisho na upuuzi wakuenezeana chuki.
Ila jua kuwa DIAMOND kakosa mtv kapata AEA 1 NA AFRIMA 1.Kwahiyo DIAMOND mtoe kwenye furaha yako kwa kudhani amekosa,ila kama vipi nuna maana kapata kwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…