MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara


Ndio nimerusha na sitoacha kumshabikia Diamond. Ila ukweli lazima uwe ukweli. Wizkid nae anapiga kazi sana kwa muda pia na tuzo habebadi kihivyoooooi...Davido hayupo nae kabeba...nasikiliza pia miziki ya nchini kwao...kama hupendi songa mbele.

Naona bado unanitafuta utachoka tu na mimi.

Siishi maisha feki kama wewe kwa kufonoa na nyuma mengine.


Kashinda nimefurahi ulitaka nilie...

Nyie ndio eale mnahangaika huku kule mkiona mnashindwa badala ya kupiga buti na kuendelea kupaaa, mnaishia pyuuuuuuu
 
Back
Top Bottom