MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

hiyo hayupo wizkid kweli kama yupo tumeikosa tena ...tunabd watanzania tuzae sanaa nigeria wapo watu milion 900+ sisi tupo mil 45+ tutawashinda kweli
Nadhani licha ya kura huwa kuna vigezo vya kupigiwa kura na nchi nyingi zaidi ndo zina determine mshindi ka ilivo BBA
 
Back
Top Bottom