MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Diamond ajifunze kitu kimoja tu, kuwa familia isiingilie maisha ya anayofanya.

Alichofanya mama yake na dada yake juu ya Zari kilimpotezea mashabiki wa kufa nae wengi tu. I mean wale wa kusema pia lazima wamapigie kula.

It's about time mama yakr akar pembeni, yaani hata kwa social media atoke.

Ila naona wamekaa kimya sijakutana na drama, bali wamechangia kumpotezea mashabiki.

Please nielewe nasema hivi si tu sababu ya kukosa tuzo but kwa mbeleni pia.
Waswahili mna midomo sana, huyu Diamond si juzi tu kapata tuzo Marekani?

Kwenye tuzo hizi kipengele walichomuweka Diamond kama angeshinda hata hizo tuzo zingekosa maana kabisa.
 
So mwaka huu hamna.....Picha za kulala na Tuzo....Hamna kwenda Airport..... Kuna Scorpion tu...na Mwalimu Msigwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Navy Kenzo-Awards Winning~0
Diamond Platnumz -Awards Winning~0
Yamoto Band-Awards Winning~0
Ali Kiba -Awards Winning~0
Vanessa Mdee-Awards Winning~0

Kwani Mbwana Samatta hakuepo kwenye Nomination...??
Huu mwaka ulikuwa mgumu Sana kwa wasanii wa tanzania wote walistahili kukosa
Tanzania hakuna chipukizi wa kumshinda tecno
Hakuna msanii wa kike wakushindana na yemi
Na hakuna msanii Tanzania anayemfikia hata kwa karibu wizkidayo tulistahili kukosa tunasafari ndefu hapo na davido hakuwepo ila we deserved it
 
Hili lilijulikana kwa hawa wabana pua wetu kuwa kuna siku watakuja kuumbuka kazi ya kurushiana madongo hakuna hata mmoja anayeweza kunata na beats liveee si timu ya kule wala ya pale.

Hivi hawamuoni Cristian Bela anavyonata na beats hata ukimkurupusha usingizini utampenda tu na sauti.

Wengi wa hawa wasanii hawakuimba mitaani kwenye bendi au kwenye kwaya au kaswida wala hawakuanza kuimba toka wakiwa watoto kama wale mastaa wa Marekani waliokuja kuchomoza kwenye Pop Idol, America Idol etc.

Kwa kuwa wameamua kuwa wanamuziki wasione aibu, kwanza wana pesa chafu, wawatafute wazee wetu wa muziki wajifunze kuimba liveee watafunika madhaifu yao wakiwa na bidii.

Huu ujanja ujanja wa kupika pika studio hautawafikisha mbali.
Kwa coment hii hujatenda haki kutaka kumfananisha super vocalist Cristian Bella na wasanii.

Ni lazima ufahamu kuna tofaiti kubwa kati ya Mwanamuziki na msanii


Cristian Bela ni level za kina Felle gola, Fally Ipupa, Jibe Mpiana and likes.

Christian Bella ni mwanamuziki, tofauri na hawa timu mavimavi wenu ni wasanii tu ambao kimuziki hawawawezi hata waimba kwaya wa makanisani ambao wanajifunza zile nota za musiki.
 
Waswahili mna midomo sana, huyu Diamond si juzi tu kapata tuzo Marekani?

Kwenye tuzo hizi kipengele walichomuweka Diamond kama angeshinda hata hizo tuzo zingekosa maana kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Diamond katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu, na wizkid katoa nyimbo ngapi bora mwaka huu?
Ifike mahali wasanii wa bongo wasitoe nyimbo kama mashindano, we want some quality songs na zinazodumu kwa muda mrefu.
Wizkid hatoi nyimbo ovyo ovyo ila akitoa anatoa jiwe la maana, namkubali sana tekno maana anatoa nyimbo mfululizo lakini mawe. Ila hawa ndugu zetu bongo, wanatoa nyimbo ovyo ili kuziangusha nyimbo za wasanii wengine na huo ndio ujinga wao.
Nimependa point yako
 
ila kiukwel hizi tuzo zina unaigeria mwingi na usouth Africa angalia hata muda waliopewa Alikiba na Diamond kuperfom na muda waliopewa wanigeria na wasouth, alafu ile category ya best videos waliangalia vigezo gani??
 
ila kiukwel hizi tuzo zina unaigeria mwingi na usouth Africa angalia hata muda waliopewa Alikiba na Diamond kuperfom na muda waliopewa wanigeria na wasouth, alafu ile category ya best videos waliangalia vigezo gani??
Hakunabupendeleo wwte katika tuzo mwaka jana mbna alichukua diamond na hamkusema kuwa tuzo ina utanzania mwing kikubwa ninkadri uteam unavokuwa ndo tunazid kuwapoteza wasanii wetu kwa kuwabwetesha na kujiona wasanii wakubwa na kupunguza juhudi zao kwa kulewa sifa
 
Pili, waachane na mambo ya singles au collabo, inawaletea pesa chafu, lakini kipimo cha mwanamuziki bora ni Album iliyo hit na ya kwake, na hakuna kingine. Maana ndiyo identity yake.

Ama sivyo wakubali kuwa watakuwa wanatengeneza mpunga kwa singles na collabo lakini vikombe hawatachukua maana hiyo ni sawa na " chenga twawala".

Sumu ya mwisho ni kuondoa huu ujinga wa timu fulani unless kama unawasaidia kutengeneza mpunga sawaa! Lakini hautawafikisha kokote kwenye tuzo za kimataifa.
Kwa hapa muziki wetu ulipo collabo ni muhimu kama sio lazima... nazungumia collaboration with international artists. Collabo inatumika kama kujitanua nje ya mipaka kitu ambacho kwa wasanii wa Tanzania majority bado ni local artists! Afadhali Diamond yeye anajivuta vuta lakini wengine bado sana! Hata huyo Diamond amefika alipo kwa ajili ya collabo! Hata huyo Starboy, ingawaje Ojuelegba ilimweka juu lakini collaboration na Drake pamoja na Chris Brown zilimpaisha maradufu ya pale alipokuwa! Na ingawaje nilipendelea tuzo achukue Diamond lakini deep inside my hear nilifahamu Starboy deserved all trophies mbele ya Chibu!

Kwahiyo collabo ni muhimu sana. About album, I don't give a shit... muziki umebadilika sana and no body cares about albums!
 
Back
Top Bottom