Bwana Matumbo nilidhani ni mimi tu ninaewakubali wanavyovaa kumbe na ww umewaona, achana na mafikizolo wanapendeza sana!
Hiyo suti ya mshkaji hata mimi niliimezea mate sana aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Matumbo nilidhani ni mimi tu ninaewakubali wanavyovaa kumbe na ww umewaona, achana na mafikizolo wanapendeza sana!
davido best male award. diamond chali
Isingewezekana kushinda diamond platnumz wakat mshindani wake Davido ndiye aliyemtoa
ukumbi ulipiga kelele diamondiiii.....ila tuzo imeenda kwa Davido kama nilivyotarajia
Mbona ushaanza kumgeuka? Komaa hadi mwisho tuliwaonya tangia mwanzo domo hawezipita kwa wanaijeria au wa south.
Diamond hata kama amekosa tuzo lakini kitendo cha kuwa nominee tu ni credit kwake so keep it up Diamond
wabongo ushamba na shobo ndio zinazowasumbua.....ila ao wanaijeria mnaowapaisha hawana lolote jipya kututisha wana mzk wa kawaida sana,,sikilizeni muziki vizuri
wabongo ushamba na shobo ndio zinazowasumbua.....ila ao wanaijeria mnaowapaisha hawana lolote jipya kututisha wana mzk wa kawaida sana,,sikilizeni muziki vizuri
Tusubiri BET
Kwahiyo zote mbili kaangukia pua? Ila south kuna visu(watoto) wakareeee!
Me nashangaa mtangazaji kasema ni uganda wakati kwenye category yule muhindi inaonyesha ni mtanzania
Hahahahahaa mzungu wa mabwepande.
Ngololoooooooo Domoo piga mazoezi ya performance umepwayaaaaaa.
DAVIDO is hot bro na anafanya mziki mzuri na hizo tuzo watu ndio wanaopiga kura so he derseve it!
zote amekosa man...huu ndio muda wa wanafiki kutamba,maana walikuwa kimyaaa kuskilizia waanze kazi yao
halafu wanajua kusapotiana acha kabisa,sasa sisi milion 40,hapo hujatoa wasio na accsess ya internet