MTV Music Awards June 6th, 2014

Naam tulikuwa tunasubiri hiki kimbunga cha diamond kiishe na sasa ally kiba is coming to take over!!!


Aje tuone, mpaka afikie alipo mwenzie alinacha atakuwa kagutuka ndotoni, by the way be strong diamond z a splendid way 2 ure flying over, u'll done viva viva viva..
 
Wanaija muziki wao wa kawaida sana trust me bro,promotion ndio kila kitu jamaa wanapromoti sana mzk wao alfu kwenye tuzo za kupigiana kura kama hizi huwezi kuwaangusha coz population yao pia ni kubwa...

Diamond amejitahidi kiasi chake na anastahili pongezi lakini siafiki kwamba wingi wa wanigeria ni kigezo cha kuwapa ushindi! Unamfahamu Keinan Abdi Warsame ( K'naan) wa Ethiopia? Amekuwa akishinda tuzo despite kupambanishwa na wasanii toka nchi zenye population kubwa kuliko yake!! Kipaji na muziki mzuri kama vipo vitaonekana tu akaze buti..
 
ndomo ni mtz mwenzangu, ananiwakilisha kimataifa na wala hanifahamu maskini ya mungu na nilikuwa nataman achukue ila nilikuwa na hofu akichukua itakuaje? ingekuwa shida sana hapa mjini kwa upande flani bora alivyokosa!



Sugua goti kumwombea apate BET kihoro cha kushindwa si mchezo but kwa competition ile ndomo anasubiri sana
 
Hii kauli kuna wadau huku mtaani kwetu nimewaambia ila hawanielewi. wao wanasoma magazeti ya shigongo wakimaliza wanasikiliza clouds wakimaliza wanalala, sasa wanadhani diamond ni msanii mkubwa kuliko mafikizolo na davido.

dawa yenu tatizo moja la watanzania wengi akili zetu zimeharibiwa na maisha magumu hata 1+1= utambiwa 11!!!
 
Tumelamba tuzo ya gani?mtanzania mzungu huyu alichukua gamba la tanzania ili apate fursa kumiliki ardhi
Hivi kweli wabongo hawamjui huyu mhindi{ Ashish Thakkar}, huyu ndiye amenunua kituo cha oysterbay police anataka kujenga mall pale
 

dah! mkuu you are GREAT THIKER heshima kwako wingi wa wanaigeria sio kigezo cha sisi kukosa mtv awards I SALUTE YOU!!!!!
 

Dai atafute watu wenye weledi uliotukuka na wanaojua kufanya publicity, asilete urafiki kazini

HOD huwa akileta ishu ya Dai najikuta hata huyo Dai nachukia kazi zake ila kiukweli Dai anajua, jamaa amebadilisha aina ya muziki wa Tanzania

Arudi ajipange hasa, beefs na skendo zinaharibu sana kwenye kugawa mashabiki.
 
msomeni Edo hapa.....

 
dah! edo kaongea ukweli kaka wanaigeria ni watu wanaojivunia cha kwao sio wabongo kiukweli hata huyo diamond anaiga style za nigeria halafu anataka kushindana na davido inashangaza sana!!!!!
 
Bendera ya tz kimataifa itapeperushwa na injili kutoka tz wala sio muziki, au mpira au chochote kile tofauti na injili
Note hcho

Na wewe acha bange, nani kakwambia injili inatoka TZ?
 
Hivi Wa Ethiopia wako wangapi vile???

Tukirudi kwenye mada Diamond kaza buti; wewe bado ni hero na ni number one Tz! usione kina P Square wapo hapo walipo walikuwa wanapewa maneno ya kashfa haya usomayo humu cha mtoto....lakini leo hii hao hao wanaigeria waliokuwa wanawadharau wanawapigia salute....Kawaida yetu waafrika kukubalika home ni kazi kweli kweli...

Chukulia negative comments kama changamoto...ili utakapokuwa another level usome tena hizi comments uanze kuwacheka...


 
ila tuongee ukweli jamani hivi kweli tuzo ataacha kupewa mafikizolo ambaye kule nyumbani kwake apewe mtu mwingine??Sikutegemea sana hiki kitu, also Davido ypo mbali sanaa kuliko Diamond.
 
dah mazee imenipain sana kuona kijana wetu hajapata hata moja , ila am proud bado labda b.e.t atapata
 
Ivi huyo Dimond mnaesikitika kakosa anaimba nini cha ajabu... ukiangalia Mafikizoro utagundua ni typical south Africna music Ukimwangali Davido typical Nigerian music sasa Huwa napata shida kutambua huyu kijana wetu anaimba nini halafu kuna watu mnatoa pofu eti Davido wa kawaida sana show alizofanya Davido kwa Africa peke yake Diomond hata robo hafiki kumbuka kila anakoenda kufanya show anapata Mashabiki so ikitokea kupiga kula kama hivi ni lazima ashinde.... halafu jamani pia lugha nayo katika music inaplay big role. Kijana kajitahidi lakini safari yake kama ataendelea kubebwa na Mawingu Studio the only tuzo atakayobeba ni kili Awards Clouds ni washenzi sana wanamtumia dogo kujinufaosha badala ya kumtangaza kijana Africa nzima
 
mnafatilia vipindi vya mtv lakini? vinatoa sapot sana kwa naija na south a.
kuna top ten special kwa ajil ya naija.. special interviews kwa ajili ya naija.. hata kwenye spankin new kidogo kulikua na utata ila now ndo wana2pia macho kotekote..afu ukifatilia mtv inaonekana africa nzima.. angalieni schedule ya vipindi vyao then mlete mrejesho hapa..davido ataendelea kuchukua chake hadi bas!! mi ile naiita MTV NAIJA na sio Africa,maana hata east africa wametusahau dah!!

hapa matumain yapo bet.
 
Yaan kumshindanisha diamond na davido ni sawa na kushindanisha shule ya kata na Marian girls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…