MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

nikikwambia ukweli ya kilichotokea kenya hutaweza vumilia we endelea na roho mbaya yako wewe na kedrick kwamba kiba hawezi kuimba na neyo
 
Last edited by a moderator:
nikikwambia ukweli ya kilichotokea kenya hutaweza vumilia we endelea na roho mbaya yako wewe na kedrick kwamba kiba hawezi kuimba na neyo


Wewe nae mbishi kama mshipa. Nani kasema Kiba hawezi kuimba na Neyo? Tunachosema hapa ni kwamba nyie ni waongo mnadanganya kwamba Neyo na Kiba are doing a collabo, which is a lie. You are a liar and stop it. Neyo is going to sing with Kiba, Wangeci, Flavor etc wote kwa pamoja just like he said it in his instagram post.
 

ingekua wao yupo kule msanii wao ndo yupo kule halafu akaenda mpambe wa kiba dahh
tungetukanwa mnook humu

ushauri tujifunze kuheshimiana tusidharauline jamanj u never know lini utamtamhtaji huyo kwenye shida au raha
au mtakutana mazingira gani
 
hhhhhahhhhhaaaaaaassas......!!!
hata project bado ni bonge la zaliiii!!!!mana kuna watu wanatamani hawapati ng'oooo!!
 
Kibakuli c anatembeaga n mademu wa mtaani wao kuzaa na msanii wanaona deal

Ebu peleleza sasa, mama watoto mmoja yupo UK, mwingine Upanga...mtarajiwa wetu Kidoti yupo naye Kenya.
Wewe mtoto wa kiume unatembea na mademu wa mtaani kwenu au mtaa wa jirani??
 

ingia bongo 5 kuna iyo story japo wamechelewa kuipaTA neyo kutaka collabo n diamond, p.square na vanessa mdee ya kiba kafabya tu kwasababu ya ela ya coke studio ila ana mpango wa kufanya nae kazi binafsi
 
sijakulazimisha ukubali usinilazimishe nikubali uongo wako kila mtu abaki na mawazo yake
ova
 
ingia bongo 5 kuna iyo story japo wamechelewa kuipaTA neyo kutaka collabo n diamond, p.square na vanessa mdee ya kiba kafabya tu kwasababu ya ela ya coke studio ila ana mpango wa kufanya nae kazi binafsi
kasikilize vizuri au kizungu kimekupitia kushoto kasema wasanii nje ya cokestudio atakaofanya nao collabo ndo hao
 
acha umbulula ww
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1439988017528.jpg
    26.8 KB · Views: 137
Eti Neyo kamfuata Ali Kiba.... endeleeni kuota :dance:

Mnaaibisha na uwezo wenu finyu.

View attachment 278149

ukitaka kuchangia mada anza mwanzo wa thread ndo uchangie hizi comment ni za wakenya na hiyo picha yako kuedit na ukaweka rangi sijui umetoa wapi
 

Attachments

  • 1439988263986.jpg
    38.8 KB · Views: 190
  • 1439988287441.jpg
    36 KB · Views: 157
  • 1439988306177.jpg
    38 KB · Views: 151
  • 1439988327827.jpg
    55 KB · Views: 143
  • 1439988343291.jpg
    76 KB · Views: 134
Soma hiyo kwanza
 

Attachments

  • 1439990995847.jpg
    59.4 KB · Views: 178
ukitaka kuchangia mada anza mwanzo wa thread ndo uchangie hizi comment ni za wakenya na hiyo picha yako kuedit na ukaweka rangi sijui umetoa wapi

i wish to know why he went there
who is he by the way?!!
over all matusi wanayomtukana aly binadamu tujifunze kubakisha maneno jamani
mnaona sasa aibu km hizi
all the way from tz to kenya kumfata neyo...
then last year coke project kwani hamkufanya na msanii wa kimataifa?
 

Ile collabo ya Chris brown and Ali kiba sijui hata iliishia wapi na ile ya diamond na usher.
 
kasikilize vizuri au kizungu kimekupitia kushoto kasema wasanii nje ya cokestudio atakaofanya nao collabo ndo hao

Sasa kasema ivyo ili coke studio wasijickie vibaya wame mletea watu ambao hawakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…