pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
ndo alivyokwambia hivyo huyo neyo? kina mr flavour iceprince wote ni undergroundNeyo hawakubali wasanii alio imba nao coke studio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo alivyokwambia hivyo huyo neyo? kina mr flavour iceprince wote ni undergroundNeyo hawakubali wasanii alio imba nao coke studio
ndo alivyokwambia hivyo huyo neyo? kina mr flavour iceprince wote ni underground
Hiyo ya .kiba .ni yake ....???au ya coca ?
Hahahaha mwenzako kiba na neyo toka jana saa 6 za usiku wameanza kuingiza vocal, pop it in
Ya coca
Kwavile kiba habebekiafadhali nifah umestaafu huku
HISTORIA IPO HIVIII....ALIKIBA NDO MSANII WA KWANZA KUIMBA PAMOJA NA WASANII WAWILI WA DUNIA....haitafutika hadi mnakufa...iwe ya koka kola iwe ya peps fursana au azam kola ishu n kwamba kiba ndo wa kwanza kufanya hivyo hapa TANZANIA...anayebisha aje..
Laiti kama Domo angekua na uzazi madhubuti toka alipoanza uzinzi angekua na watoto 7, mademu zake walikua wanatoa sana mimba.Kabla hajawa na huyu mama wa kiganda.
Sijui hiyo collabo ya Neyo na Kiba imetoka wapi it seems hata Neyo himself doesn't know he is in Nairobi to record a collabo na Ali Kiba.
View attachment 278153