MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Hv ile collabo aliyotafutiwa na mzee wa magogoni iliishia wapi

dah hatuwezi jua aisee mond mjanja sana na msiri ikija kwe mziki!! huwez jua akili zetu zinawaza mond feat neyo mambo yakageuka ka ilivyokuwa kwa wimbo wa nana hata hatukujua kabisa ilikuwa ka suprise flan hiv
 
Hivi kwa nini Diamond hajagombea Urais kupitia chama chetu cha kizalendo ACT, yaani angeshinda kwa kishindooo...

#Diamond ni mkubwa kuliko CCM na UKAWA...

#ndo nshasema... kama hutaki kanye west...

Wewe dada ni mjinga wa kupindukia, atakae kuoa wewe atakua ni mzigo sana, sasa akili ya hivi jamani?? doooh we ni jiwe kabisa.
 
Wewe dada ni mjinga wa kupindukia, atakae kuoa wewe atakua ni mzigo sana, sasa akili ya hivi jamani?? doooh we ni jiwe kabisa.

Hahahaaaa.....kichefu chefu kikikuzidia nusa kwapa...

#Act ndo habareeee..
 

mi nataka unijibu swali moja tu tusizunguke sana kwa nn meneja wa daimond alipiga picha na ali kiba wakati alishasema ni mwizi wanaiba nyimbo za daimond ili wauze chini ya Rockstr 4000presents
 
Last edited by a moderator:

hizo habari zimeandikwa na blogs ya kenya mana wangeandika tz mngesema anachukiwa na kenya je mwambieni dogo aache sifa tena wamemuhurumia tu ila ilikuwa wampeleke mbali zaidi coz kama anaproject na neyo angetumia juhudi binafsi kumpata sio anasubiri coke wamlete ili apate mtelezo kafanya kosa kubwa sana dogo ile siku
 

Attachments

  • 1440243356894.jpg
    26.8 KB · Views: 223
  • 1440243384586.jpg
    36 KB · Views: 215
  • 1440243436985.jpg
    38 KB · Views: 212
Last edited by a moderator:
Kiba ckumuona akiwa studio na neyo zaidi ya kumuona akiwa chumbani na neyo pwilo Shardcole

haha msimfananishe kiba na huyo boya wa tandale sasa mbona mnautukana neyo insta kisa hajampost daimond wakiwa pamoja haha
 
Last edited by a moderator:
we kedrick na Mayu kawaondoeni wenzenu insta kwenye page ya neyo wanatutia aibu tz
 

Attachments

  • 1440244067895.jpg
    62.1 KB · Views: 220
Last edited by a moderator:
Ila Chibu anajua kuwanyoosha team kiba jamani khaa
Yaani wote kimyaaaa
Mbwembwe zote kwisha wanaogopa hata kuchangia kudadeki

atunyoosheki sisi kiba4life nampa mwaka tu huyo jamaa soon tandale inamuita
 

Wewe pia unaamini diamond kakosea ? Si walikua na huo mpango wa collabo tangu walipokutana MTVMAMA.
 
mi nataka unijibu swali moja tu tusizunguke sana kwa nn meneja wa daimond alipiga picha na ali kiba wakati alishasema ni mwizi wanaiba nyimbo za daimond ili wauze chini ya Rockstr 4000presents

Aliyeiba nyimbo si kiba ni management yake
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…