Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv ile collabo aliyotafutiwa na mzee wa magogoni iliishia wapi
Hv ile collabo aliyotafutiwa na mzee wa magogoni iliishia wapi
I like Diamond a lot bana, dogo anajua kutumia fursa ipasavyo
Wakati ilipo postiwa kwamba Diamond atatumbuiza jukwaa moja na Neyo mwenye MTV Mama mashabiki wa Diamond walivamia page ya Neyo na kumuomba kolabo na Diamond hadi Neyo mwenyewe alishangaa comments alizokua anazipa kwa kila post zilikua zaidi ya kawaida
Na alipotua tu South Africa mtu wa kwanza kumuulizia waonane naye ilikua ni Diamond, kama kawaida Domo hakifanya kosa na makubaliano ya kolabo yakafanyika palepale
Juzi kaja kwenye coke studio mashabiki wa King Kiba wakaanza kelele na le project ya koce studio eti ndio kolabo, wakaenda mbali na kudai eti walinzi wa Neyo walimtimua Salaam sk na kama sio King kiba angeadhirika........ Masikini hawakujua kinachoendelea, Chibu mtu mbaya sana kwa kuwatesa mashabiki wa Kiba
Nasikia hii kolabo ilitakiwa iwe sapraizi kama nana lakini kwasababu ya makelele ya wanazi wa King kiba ndio imebidi Chibu atupie insta kuwanyoosha
Cc Shardcole pwilo nifah kedrick Ms.Lincoln
I like Diamond a lot bana, dogo anajua kutumia fursa ipasavyo
Wakati ilipo postiwa kwamba Diamond atatumbuiza jukwaa moja na Neyo mwenye MTV Mama mashabiki wa Diamond walivamia page ya Neyo na kumuomba kolabo na Diamond hadi Neyo mwenyewe alishangaa comments alizokua anazipa kwa kila post zilikua zaidi ya kawaida
Na alipotua tu South Africa mtu wa kwanza kumuulizia waonane naye ilikua ni Diamond, kama kawaida Domo hakifanya kosa na makubaliano ya kolabo yakafanyika palepale
Juzi kaja kwenye coke studio mashabiki wa King Kiba wakaanza kelele na le project ya koce studio eti ndio kolabo, wakaenda mbali na kudai eti walinzi wa Neyo walimtimua Salaam sk na kama sio King kiba angeadhirika........ Masikini hawakujua kinachoendelea, Chibu mtu mbaya sana kwa kuwatesa mashabiki wa Kiba
Nasikia hii kolabo ilitakiwa iwe sapraizi kama nana lakini kwasababu ya makelele ya wanazi wa King kiba ndio imebidi Chibu atupie insta kuwanyoosha
Cc Shardcole pwilo nifah kedrick Ms.Lincoln
Wewe dada ni mjinga wa kupindukia, atakae kuoa wewe atakua ni mzigo sana, sasa akili ya hivi jamani?? doooh we ni jiwe kabisa.
Ila Chibu anajua kuwanyoosha team kiba jamani khaa
Yaani wote kimyaaaa
Mbwembwe zote kwisha wanaogopa hata kuchangia kudadeki
hizo habari zimeandikwa na blogs ya kenya mana wangeandika tz mngesema anachukiwa na kenya je mwambieni dogo aache sifa tena wamemuhurumia tu ila ilikuwa wampeleke mbali zaidi coz kama anaproject na neyo angetumia juhudi binafsi kumpata sio anasubiri coke wamlete ili apate mtelezo kafanya kosa kubwa sana dogo ile siku
Wewe pia unaamini diamond kakosea ? Si walikua na huo mpango wa collabo tangu walipokutana MTVMAMA.
mbona aliekuoa wewe hajalalamika
Wewe dada ni mjinga wa kupindukia, atakae kuoa wewe atakua ni mzigo sana, sasa akili ya hivi jamani?? doooh we ni jiwe kabisa.
Ina maana kama vile wanavyotuambia wazee wa sisiem vijana ni taifa la kesho sio.
???
mi nataka unijibu swali moja tu tusizunguke sana kwa nn meneja wa daimond alipiga picha na ali kiba wakati alishasema ni mwizi wanaiba nyimbo za daimond ili wauze chini ya Rockstr 4000presents
atunyoosheki sisi kiba4life nampa mwaka tu huyo jamaa soon tandale inamuita
sasa ina simamia kazi za nani rockstar jiongeze acha ubishiAliyeiba nyimbo si kiba ni management yake