binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mkuu mambo yana kwenda kwa hatua hata Nigeria haikuwa rahisi..nakuhakikishia tuu kijana atatumia nafasi hii na hatokuangusha na utakuwa shuhuda hivi karibuni!
Mkuu...Ni lugha ya kawaida...lakini inahitaji juhudi na kujituma kuifahamu na kuiweza hasa ukizingatia mazingira aliyotoka Almasi....Ni lazima tukubali kwamba kijana ana juhudi na mchapakazi......akinuwia kitu anakifanyia kazi na anakipata...ndio maana sina wasiwasi ataishika dunia....Matter of time.
Naishi kwa kujitegemea....sitegemei mtu yeyote...Ni Mungu tu...sasa mkuu wewe nyumba unayoishi umepewa na mwanamke...Tuzo mmepewa kwa msaada wa wanawake walioachika na Almasi.....Mmefukuzwa kwenye nyumba mkakimbilia hifadhi kwa mwanamke.....
Hamjitumi kwa bidii ndio maana mnabaki na porojo tu ilihali hali zenu za kimaisha ni za kimasikini wa kutupwa
Huku wapi?kuwa realistic wewe, embu niambie african style ipi inayobamba huku, acha ushamba kila mahali wana tamaduni zao ndo maana ukiacha ujuaji mwingi ngoma za nje hata afrika hazibambi kama za ndani na maisha yao yote hawaezi kuteka soko la mziki wa huku afrika zaidi ya waafrika wenyewe, ndo maana diamond afrika anakubalika, na hata hao wanaomkubali nje ni waafrika 90%, take it from me afrika music for africans big tym, iwe diamond, davido, p-square na wengineo
I see wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yaani mimi ndio nimekuwa Ally Kiba? Kwahiyo wewe una ubia na mafanikio ya Diamond? Too low.
Bila kumtaja kiba nyeeeeeeeeg zisingekutoka ?
kwakua chibu ni mzee wa fursa,nami natoa ruksa ili liweze kutokea bonge moja la pin..?!
Kwakua kafunga milango ya collabo za nigeria bas mlango mpya wa collabo ndo anaubisha hodi taratiiibu!!!!