[emoji3][emoji3]ya kule nanjilinjiMbona Sky Sports walitumia wiki nzima kuonesha game za Ali Kiba ila hatukusema.
Ali Kiba hapendi show off.
mziki si mashairi....kumbuka enz zile zakina awilo wanatamba ...tulikua hatuelewi lugha but mziki ulienda....akaja Cabo snoop na Windeck na prakata Dumba yake watu walizielewa...so jifunze zaidi nini maana ya mziki na nini maana ya poems au mashairi au tenziHao mtv base wangepata mashairi ya nash mc au dizasta wangejuta kupoteza muda wao kupiga mumble music
Unafanya dhambi kubwa sana kumfananisha msanii namba moja Africa na hao masela mavi.Hao mtv base wangepata mashairi ya nash mc au dizasta wangejuta kupoteza muda wao kupiga mumble music
Mkuu lugha isiyoeleweka unaipimaje? unaweza kuniambia maana ya kwangwaru?? Mziki wa nash ni moja ya mziki makini usio kua na shaka katika usahihi wa lughaDizasta vina au Nash ni wasanii wanaofanya muziki mgumu kutoka kwa lugha isiyofahamika na wengi.
Nash alisema Kwa isani ya promo mnarudi utumwani haujui siri yeyote unaandika kwa hisani ya kusikika hewani...kaandika kuhusu matumizi ya kiswahili kwenye fani ya ushahiri, chanini kingereza? Jiulize tumia akili maana fikra sahihi huja kwa lugha asili.Tanzania haina msingi mzuri wa Hip hop, Rosa ree huyu hapa anafanya kwa kizungu na Kiswahili kapepea sasa ni international Singer, anawashirikisha wasanii wa aina tofauti tofauti hata usipomuelewa utapenda melody
Kuna mtu anaitwa Phyno na Sarkodie hawa wote wanaimba kwa lugha za makabila yao ila wamepenyaa kwa sababu waliwashirikisha wasanii wakubwa, video wanafanya kali, melodies kali.
Nash Mc atamshirikisha Songa, Songa atamshirikisha Gifted son, Gifted son atamshirikisha Kimbunga, Kimbunga atamshirikisha Kalapina, Kalapina atamshirikisha Rais wa magwangala, Rais atamshirikisha One the incredible, One atamshirikisha Nik mbishi, Nik atamshirikisha Gheto ambassador, Geto anamcheki mansulii alafu wataaanza kujirudia hivyo hivyo
Nilikuwa nasubiri comment yako tu.Birthday imebuma
mziki si mashairi....kumbuka enz zile zakina awilo wanatamba ...tulikua hatuelewi lugha but mziki ulienda....akaja Cabo snoop na Windeck na prakata Dumba yake watu walizielewa...so jifunze zaidi nini maana ya mziki na nini maana ya poems au mashairi au tenzi
Nyegezi, kwangwaru, kanyaga, ichomekee kwa ndani, paka mate ni teleze and others mumble verses ni zaidi ya maviUnafanya dhambi kubwa sana kumfananisha msanii namba moja Africa na hao masela mavi.
Lugha katika sanaa wala haina mashiko we ushawahi kujiuliza chali champlin alivyo hit katika movie zake ambazo hazina sauti wala lugha?Lugha inayoeleweka na wengi mfano Kiingereza na Kifaransa.
kwani kwangwaru sio sehemu ya content??Kwangwaru sijui maana yake.
Ila content ya nyimbo naijua
sawa tuko pamojaKweli
Hapana mashairi yake yamekaa kimtaani sana na wala hayahitaji elimu kuyaelewa maana ndiyo culture ya hip hop ilipoanzia. Rejea kina pac kina biggie mashairi yao yamekaa ki gangsta yanayolenga changamoto zinazoikumba jamii.Hadhira anayoilenga Nash MC kwenye hiyo ngoma ni waswahili waliokwenda shule hata kidogo yule ambaye hajasoma hawezi muelewa Nash.
Kwaiyo umekubali kua ugumu wa lugha sio kigezo cha kukubalika international industry??Kaimba Kireno hakuna aliyeelewa maudhui ya ile ngoma TZ ila ilipendwa kwa sababu ya style yake ya uimbaji, dancing style na melody ya maana.
Hapa mzee umeyumba inaonekana unabisha bila kua na hata reference, nilikuacha nikajua utafanya edit hapa ujikoseo mwenyewe lakini nilichokijua hukuandika kwa bahati mbaya.Original version haina viewers B6 bali remix aliyomshirikisha Justin Bieber.
Alafu ile ngoma hata ingeimbwa kisukuma ina melody kali.
Ngoma gani ya Nash ina melody ya maana?
hapa nazungumzia mashairi mzee sio mixing na blah blah zakibana pua, mziki ukishindwa kuufanya uwe mzuri kwa mashairi bila kutegemea mixing hustaili kuitwa msanii hapo sifa inaenda kwa prodyuza.Beats za Duke zile kavuuu hazina hata mixing ya maana.
hapa hoja yako imekosa nguvu kwasababu imesimama katika msingi potofu kudhani kwamba despacito ya remix ndiyo ina views billion 6Tumependa melody aina ya uimbaji uliotumika ukimjumlisha na Justin ndo balaa jingine.
Ukishasema malugha tofauti tofauti hapo unajikosoa mwenyewe kua mziki sio lugha, hivyo hata nash kwa lugha ya kiswahili anauwezo wakutusua na watu wakafanyia cover na remixIle ngoma ina remix na cover za kutosha kwa malugha tofauti tofauti, ngoma gani ya Nash utaitengenezea cover kwa beats zake?
we umesema lugha ngumu inafanya mziki usitambulike halafu tena unasema enriquei akiimba kispanish lazima nipende. Nikueleweje mbona undefined sana kama sigara kali??Enrique Iglesias anaimba lugha zaidi ya nne ila hata akiimba hicho kispanish lazima utapenda tu maana anaimba vizuri ma anatumia beats kali.
ma teenager ndio wanaofat beats ila ma legends hufata mashairi, na ndio maana utaona legend wa hip hop anahesabika kama tupac japokua beats zake ni mbovu kulinganisha na huyo lamarKendrick Lamar anaimba Hip Hop ila hatumii beats za ajabu ni rahisi kusikilizika na hata asiyependa huo muziki
kimashairi au kimdundo??Ngoma ya Nash unaweza kuilinganisha angalau na Ngoma ya Fid Q Mwanza?
Madee aliimba Hip Hop hailipi wala haiuzi.
Yeye nani bwana kama kina Joh walikuwa wagumu Fid lakini now wame switch kuja kwa commercial Hip Hop.
Yes lazima meneja akupangie si anataka arudishe pesa yake.
yaliyo nyuma ya pazia katika ishu ya meek mill hadi kupelekea kufungwa jela ni swala la ugomvi kati yake na police aliyetaka kuwa manager wake lakini yeye hakutaka na ndio maana hizo diss track kwa mapolis zilikua hazikauikianachokitaka ambacho sio interest yake
Meek Mill alikuwa akiimba Gang rap yani ile ngumu akawa hana mbele wa nyuma kazi ikawa kuwachania polisi tu akikamatwa sasa hivi unaiona Hip Hop anayofanya?
Melody kali yani daaah! Sikiliza ngoma za kikorea au kwetu Japan melody tamuuu
naongea ukweli sidharau na tukianza ku confess nani aliyedharau utagundua ni yule jamaa aliyewaita hip hop artists masela mavi.Mzee hizi ni dharau na roho mbaya + chuki za kishamba.
Young Lunya anaimba Real gang hip hop alitaka kufanya remix ya Kanyaga we unaita ma.vi seriously?
Beats sio kitu hata singeli wanazo, huyo jamaa yako ana beats hadi ya taarabu. Kama una interest na beats basi sikiliza dubsteps au msikize marshmallow na allan walker ila ukitaka mashairi huko huyakutiBeats za hizo ngoma unazisikia sikia vipi yani?
Mshauri Nash akagonge beats kwa producers wanaoeleweka afuate mfano wa Baba Shaka Zulu Gosby
mziki si mashairi....kumbuka enz zile zakina awilo wanatamba ...tulikua hatuelewi lugha but mziki ulienda....akaja Cabo snoop na Windeck na prakata Dumba yake watu walizielewa...so jifunze zaidi nini maana ya mziki na nini maana ya poems au mashairi au tenzi
Ila mkuu dizasta yule jamaa ni moto mwingne aisee ila basi tu.Hao mtv base wangepata mashairi ya nash mc au dizasta wangejuta kupoteza muda wao kupiga mumble music
Hiii population ni ya duniani tu au na mbinguni na kwingineko?,6.4B....daahhhh!!!!Lugha katika sanaa wala haina mashiko we ushawahi kujiuliza chali champlin alivyo hit katika movie zake ambazo hazina sauti wala lugha?
kwani kwangwaru sio sehemu ya content??
sawa tuko pamoja
Hapana mashairi yake yamekaa kimtaani sana na wala hayahitaji elimu kuyaelewa maana ndiyo culture ya hip hop ilipoanzia. Rejea kina pac kina biggie mashairi yao yamekaa ki gangsta yanayolenga changamoto zinazoikumba jamii.
Yaani Bora ungesema mashairi ya mrisho mpoto ndiyo ningekuelewa
Kwaiyo umekubali kua ugumu wa lugha sio kigezo cha kukubalika international industry??
Unafikiri watu wote wanaomsikiza koffie olomide wanajua maana ya ekotite?? Lakini mbona watu wanaskiza ngoma zake japokua lugha ni ngumu kwao?
Hapa mzee umeyumba inaonekana unabisha bila kua na hata reference, nilikuacha nikajua utafanya edit hapa ujikoseo mwenyewe lakini nilichokijua hukuandika kwa bahati mbaya.
Despacito original ina views bilion 6.4
hapa nazungumzia mashairi mzee sio mixing na blah blah zakibana pua, mziki ukishindwa kuufanya uwe mzuri kwa mashairi bila kutegemea mixing hustaili kuitwa msanii hapo sifa inaenda kwa prodyuza.
Wengi wenu hua mnafata biti na ndio maana hata mkiimbiwa kwangwaru kwwnye beat linalokita utaipenda tu
Ukitaka beats na mixing nenda kasikize trap
Nchi ambayo mamaneja ni ma-demager
Eti trap beats ndo kipenzi cha mateenager
hapa hoja yako imekosa nguvu kwasababu imesimama katika msingi potofu kudhani kwamba despacito ya remix ndiyo ina views billion 6
.
Ukishasema malugha tofauti tofauti hapo unajikosoa mwenyewe kua mziki sio lugha, hivyo hata nash kwa lugha ya kiswahili anauwezo wakutusua na watu wakafanyia cover na remix
we umesema lugha ngumu inafanya mziki usitambulike halafu tena unasema enriquei akiimba kispanish lazima nipende. Nikueleweje mbona undefined sana kama sigara kali??
.
ma teenager ndio wanaofat beats ila ma legends hufata mashairi, na ndio maana utaona legend wa hip hop anahesabika kama tupac japokua beats zake ni mbovu kulinganisha na huyo lamar
kimashairi au kimdundo??
Hivi unaelewa kua fid Q saizi kapunguza fleva ya hip hop amekua sio fid Q yule wa zamani?
hip hop haiuzi au wewe ndio huuzi??
Wanakuambia zoea msoto ili ushinde komaa na msoto maana msoto ndio utaokufua na katika gemu sio wote watamaliza dakika tisini. Rejea ule usemi ule unaosema kua baada ya sungura kushindwa kuzichuma ndizi akasemaje??? Alisema sizitaki mbichi hizi, na hivyi ndivyo alivyofanya madii
Amenikuta nafanya mziki gani mpaka akashawishika kuni dhamini?? Na kwanini anipange kunilazimisha nifanye
Kama anataka arudishe pesa zake awekeze kwenye madini au miradi mingine sio uwekeze halafu uue talent ya mtu na siku zote mtu anayeweka maslahi mbele kuliko kujali interest ya mtu huyo ni snitch. Sasa hip hop na usnitch wapi na wapi??
yaliyo nyuma ya pazia katika ishu ya meek mill hadi kupelekea kufungwa jela ni swala la ugomvi kati yake na police aliyetaka kuwa manager wake lakini yeye hakutaka na ndio maana hizo diss track kwa mapolis zilikua hazikauiki
.
Mbona unanichanganya tena? kikorea na kijapani ni lugha ngumu na wewe umesema lugha ngumu haifanyi mziki ukubalike international halafu unaniambia nisikilize ngoma za kikorea nikueleweje??
View attachment 1221958View attachment 1221961
Sasa wewe ulishindwaje kuja hapa nakutumbia haya acha wivu wa kikeMbona Sky Sports walitumia wiki nzima kuonesha game za Ali Kiba ila hatukusema.
Ali Kiba hapendi show off.