UlitakajeBirthday imebuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UlitakajeBirthday imebuma
Huyo dada ana hasira ya mondi kumtema zariUlitakaje
Huyo dada ana hasira ya mondi kumtema zari
Ulitakaje
Kama mondi ndo katemwa kwanini unamchukia mond sasa?Domo alitemwa
Si ni zarina ndie kamtema mondi?au ana hasira mondi kukubali kutemwa na ku move on?Huyo dada ana hasira ya mondi kumtema zari
Kama mondi ndo katemwa kwanini unamchukia mond sasa?
Si ni zarina ndie kamtema mondi?au ana hasira mondi kukubali kutemwa na ku move on?
Lini umeona Nina mchukia zari? Na nimchukie zari kwasababu zipi?Mbona wewe unamchukia zari kisa?
Lini umeona Nina mchukia zari? Na nimchukie zari kwasababu zipi?
Yeye alitaka mondi amuoa zari bahati mbaya mambo yakawa tofauti ndomaana Kila demu ataekuwa na diamond lazima amchukie ikiwemo tanasha.Si ni zarina ndie kamtema mondi?au ana hasira mondi kukubali kutemwa na ku move on?
Woyoo am team zari sina sababu ya kumshobokea domo. neeext!!!
Yaani nikasirike kisa eti zari kamtosa mondi? Hii tabia wanao wakina dada ila sio kwa wanaume labda kwa wanaume ambao wanatabia za kike Kama nihivyo unavyosema mbona simchukii joketi,wema au hamisa.kitu ambacho wewe unashindwa kujua ni kwamba Kama zari amefanya Jambo baya siwezi kusifia sio kwamba namchukia la hasha na Kama amefanya Jambo zuri nitamsifia ili ukigundua haitakupa shida kunielewa.Kamtosa domo. Comments zako nyingi zinajieleza
Yaani nikasirike kisa eti zari kamtosa mondi? Hii tabia wanao wakina dada ila sio kwa wanaume labda kwa wanaume ambao wanatabia za kike Kama nihivyo unavyosema mbona simchukii joketi,wema au hamisa.kitu ambacho wewe unashindwa kujua ni kwamba Kama zari amefanya Jambo baya siwezi kusifia sio kwamba namchukia la hasha na Kama amefanya Jambo zuri nitamsifia ili ukigundua haitakupa shida kunielewa.
duh ..adi nme hisi kichefu chefu
Nioneshee hizo uzi alafu angalia nilicho comment ni uongo au ukweli alafu usinisingizie eti nimemtukana zari tokea niingie jamiiforum sijawahi kumtukana mtu yoyote kwanza kabisa normally,Sina kawaida yakutukana matusi si jamiiforum Wala sehemu yoyote.Unabisha nini wakati nyuzi za kumhusu Zari hukosekani na matusi yako ya kizamani. Birthday ilibuma
Nioneshee hizo uzi alafu angalia nilicho comment ni uongo au ukweli alafu usinisingizie eti nimemtukana zari tokea niingie jamiiforum sijawahi kumtukana mtu yoyote kwanza kabisa normally,Sina kawaida yakutukana matusi si jamiiforum Wala sehemu yoyote.
Hivi we na wahuniii wa stend mnashida ganiNyegezi, kwangwaru, kanyaga, ichomekee kwa ndani, paka mate ni teleze and others mumble verses ni zaidi ya mavi